Mwamposa asingekuwa nabii wa Mungu, angeporomoka kabisa baada ya watu 20 kuuawa kwa kukanyagwa kanisani kwake

Mwamposa asingekuwa nabii wa Mungu, angeporomoka kabisa baada ya watu 20 kuuawa kwa kukanyagwa kanisani kwake

Kila mjanja ana mjanja wake. Kila mtu ana madhabahu yake anayoitolea sadaka kwa moyo wa kupenda na wa furaha.

Wengine michepuko ndio madhabahu zao, huko wanajipukutisha kichizi, wanatoa hadi senti ya mwisho na hawapewi hata asante.

Wengine bar ndio madhabahu yao, wanamaliza kila kitu huko, wanaambulia karibu tena.

Yaani maisha ndio yako hivyo
Kwamba kila mtu ashinde mechi zake au?
 
Wewe ni mjinga na mpumbavu.
Mungu si Mungu wa hasara,.
Mtume Paul alipokuwa akihubiri kijana mmoja alianguka toka ghorofani akafa lakini Paul alimfufua kisha akaendelea kuhubiri Injili.
Injili ya Yesu haina hasara na vifo vya kipumbavu.
Soma Matendo 20:9-11.
Amkeni enyi wajinga

Mwambie huyo. Mwampoasa anatangaza mkutano Bukoba, Jumapili wanakufa watu 19 siku tatu kabla ya mkutano kuanza. Mimi Kama mtumishi ningehairisha mkutano kwanza , lakini yeye ameendelea bila huruma.
 
Nipe kifungu kutoka kwenye Biblia kinachosema ni marufuku watu kufa kwenye nyumba ya BWANA.

Mathayo 7:21-23. Sio wote waniitao Bwana wataingia paradiso Bali wale watendao Mapenzi ya Mungu aliye juu.

Swali la kujiuliza, ni Mapenzi ya Mungu watu wakakanyagane kwenye kusanyiko lake Mungu mwenyewe ashindwe kuwalinda?. Hapana.
 
Hata Yesu walimwita muongo, kwanza muujiza wa kwanza tu Yesu anabadili maji kuwa wine, dahdahdeki.

Yesu alikuwa anajichanganya na machangudoa, wezi, wakwepa kodi na watu wa aina zote.

Mwamposa angekuwa ni nabii feki, leo angekuwa amesha sambaratika kimoja. Akifa mtu mmoja tu ni Big issue, vipi wafe wagu 20?

Maneno yenu wapinga Kristo hayana cha kumfanya Mwamposa.
Iandaliwe documentary apelekewe kilema wa kweli amuombee.. yani asitafute yeye wala kutupanga kwa njia yoyote tuone kama hamja tafutana

Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
 
Hata Yesu walimwita muongo, kwanza muujiza wa kwanza tu Yesu anabadili maji kuwa wine, dahdahdeki.

Yesu alikuwa anajichanganya na machangudoa, wezi, wakwepa kodi na watu wa aina zote.

Mwamposa angekuwa ni nabii feki, leo angekuwa amesha sambaratika kimoja. Akifa mtu mmoja tu ni Big issue, vipi wafe wagu 20?

Maneno yenu wapinga Kristo hayana cha kumfanya Mwamposa.
Hizo habari zenu za kukamata wajinga msiwe mnazileta huku kwa great thinkers..

Mungu yupo.. lakini wewe na mwamposa wako ni matapeli kwasababu mnatumia jina la Mungu kufanya biashara ya maji na mafuta!!

Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
 
Mwambie huyo. Mwampoasa anatangaza mkutano Bukoba, Jumapili wanakufa watu 19 siku tatu kabla ya mkutano kuanza. Mimi Kama mtumishi ningehairisha mkutano kwanza , lakini yeye ameendelea bila huruma.
Hawa watu ni wapumbavu.
Alikuja tapeli Bushiri kabla hajamaliza kuhubiri MV . Nyerere ikaua mamia ya watu. Ikumbukwe Jana yake aliitabiria mema Tanzania.
Hawa watu Mungu hajawatuma
 
Back
Top Bottom