Artifact Collector
JF-Expert Member
- Mar 7, 2019
- 6,617
- 10,205
Sio lazima utengeneze tatizo, tafuta suluhisho ya matatizo yaliyopo utasaidia watu na utatengeneza utajiriTengeneza tatizo, tatua tatizo na watu watakupenda na kukufuata!
Mwaga mapepo yako, yakemee mapepo yako!
Hivi wale waislamu huko kwa Mwamposa huwa wanaamini Mungu Yesu ndio hutenda ile miujiza?Kama wagonjwa wataamini wataponywa
Kama wapo anaowaponya wakienda kusali/kuombewa kwake, kwanini viwete na walemavu wengine bado wamejazana mjini au baada ya kufanikiwa siku hizi hapiti tena mjini akawaona na kuwaponya?Alianzia huko, anahubiri Mitaani, kama Wahubiri wa Mtaani tukiwaona Mijasho inawatoka, Biblia mkononi, tunawaona Wendawazimu, Mwamposa kaanzia huko....!
Mpaka Mke wake alimkimbia enzi zake wakati akimtafuta Mungu.... Choka Mbaya, Nguo Kauka nikuvae, ulizia habari zake.
ufunuo wa Yohana tutasemaje maana Yesu alishapaa ila Yohana yeye anatoa unabii wa mambo yajayo.Paul aliandika yaliyokuwepo , Yani kilikuwa na manabii sio watakuja manabii,
Baada ya Yesu ni mitume, wachungaji, wainjilisti , mapadre n.k hakuna nabii
kama huamini achana nayo,amini unavyoona wewee maana mwisho wa siku hii ni imani kila mtu anaamini anachojua yeyeKama wapo anaowaponya wakienda kusali/kuombewa kwake, kwanini viwete na walemavu wengine bado wamejazana mjini au baada ya kufanikiwa siku hizi hapiti tena mjini akawaona na kuwaponya?
Sasa ndio maana Mwamposa anajitangaza kwenye vyombo mbalimbali na kuwaambia watu wa dini zote waende kanisani kwake kupokea miujiza (sio waombe majumbani) ingekuwa ni issue ya imani yako tu kwa Mungu basi angehimiza watu kuombea hata majumbani.HUYO HAKUA NA IMANI KWA MUNGU ALIENDA KUMUAMINI MWAMPOSA
Mungu na uchawi ni the same scriptsUkiona mtu anapinga sana uwepo wa Mungu ujue ni mchawi au wakala wa shetani😂
Ajabu ni kwamba ni vitu vilivyo kwenye uhalisia wa maisha ya watu.Mungu na uchawi ni the same scripts
Utajuaje huu ni uhalisia na sio umechezwa mind illusion?Ajabu ni kwamba ni vitu vilivyo kwenye uhalisia wa maisha ya watu.
Hongeraa mahubiri yakee mazurii yanakukomazii kujijengea imanii mwenyewe barikiwa mkuuView attachment 2335702
Ninayo collection ya mahubiri ya mchungaji mbaga zaidi ya 50, nimesubscribe mahubiri tv mmoja kati ya wahubiri ninaowapenda mnoo kwa imani yangu.
Imani, Imani, Imani.....!Kama wapo anaowaponya wakienda kusali/kuombewa kwake, kwanini viwete na walemavu wengine bado wamejazana mjini au baada ya kufanikiwa siku hizi hapiti tena mjini akawaona na kuwaponya?
Wakala mwamposa hadi jf?Apostle kuna miujiza huku, nini kimetokea mkaka alikua hatembei miaka 30 baada ya maombi ameanza kutembea,
halleluyaaaaaaaaa, nani mtenda miujiza yeeeeeesu.
Nilikua nikisikia hivyo nabadilisha channel nilijua ni uongo tu.
Juzijuzi hapa kuna issue ilitokea ikanifanya nianze kumfatilia mwamposa buldozer, ndugu yangu hapa mtoto wake alikua anauguaugua yuko dhohofu akaamua kuanza kufatilia mwamposa vipindi vyake.
Akawa anafatilia maelekezo mfano unachukua maji unayaombea kwa imani (maji yoyote hata ya nyumbani kisimani au bombani), kitu cha ajabu kikatokea mtoto akatoa haja kubwa mbegu ya fenesi kuubwa, baada ya mda mtoto akaanza kupata nafuu.
Ikabidi prakatuba etumba etumba nianze kufanya research juu ya huyu mwamposa, aisee kiukweli hata Kama anatumia uchawi Mimi sijui, lakini matendo anayoyafanya yeye na wewe endapo ukipractise kwa miezi 6 utaanza kuona utofauti maishani mwako kwanini
Jamaa anazo ibada mbili, j.2 asubuhi na jioni, usiku pia kuna operation komboa familia kuanzia saa 4, usiku saa 8 jamaa yupo live, asubuhi saa 2 jamaa yuko live yaani ni maombi tu alafu ni kila siku hiyo ndio daily routine yake.
Hivi niwaulize sisi wengi daily routine zetu asubuhi hatusali tunaingia job, jioni tunapitia bar usiku tunasali kidogo au hatusali kabisa, mtoto wako anapata mapepo huwezi hata kumuombea maana ukianza kuomba pepo anaweza kukupiga makofi na kukucheka.
Siwazi saana kuhusu njia zake za maji na mafuta kwenye kupiga hela lakini nikichojifunza anakutengenezea wewe kua na imani kwamba endapo nikitumia haya maji basi nitapona....kwenye biblia kuna mifano mingiii Sana kuhusu manabii waliotumia vitu mbalimbali kwenye uponyaji
Anachofanya mwamposa ni kwamba ali-invest mda wake kumtafuta Mungu akapata hii power then kwa sababu yeye ni mjanja mjanja anatumia nguvu alizo nazo kupiga hela.
sawasawa na wewe unalima mashamba mwisho wa siku upate faida kwa investment uliyofanya.
Tunachokoswa sisi naona ni Imani, Imani yako ndio inakuponya sio mwamposa mwamposa yuko kati tu pale kuiboost imani yako maana ukisikia tu mafundisho yake Unapata nguvu ya kiroho.
Mwamposa haponyi anaeponya ni Mungu anachotaka kwako ni imani tu
Siku moja alitoa siri akasema ombeni sala ya baba yetu ulie mbinguni Mara 5 asubuhi, mchana na usiku na saa 8 usiku ukiweza kuamka Kama dozi vile kwa imani, utaanza kubadilika Kiroho.
Wengi wetu hatukumbuki Mara ya mwisho kuomba sala ya baba yetu, anaweza kua anapiga hela Sana kwenye sadaka lakini Mimi naona acha awapige tu maana yeye kagundua siri ambayo wengi hawaijuiii.
Kundi kubwa la watu wanaotoka usukumani wengine hata kiswahili Hawajuii wanaenda kushuhudia awezi kuwapanga wote wale but wengi imani zao ndio zimewaponya narudia Mwamposa ni catalyst tu amegundua ukweli ulipo ni IMANI TU NDIO UFUNGUO WA UPONYAJI, MTU KWENDA KWA MWAMPOSA ANAJUA ANAENDA KUPONA ameshahamini tayar, kumbe mwamposa haponyi ila imani ya wenye matatizo ndio inawaponya.
Nawatakia maandalizi mema ya Sabato.
Nguvu ya Mungu ipo na inatendaApostle kuna miujiza huku, nini kimetokea mkaka alikua hatembei miaka 30 baada ya maombi ameanza kutembea,
halleluyaaaaaaaaa, nani mtenda miujiza yeeeeeesu.
Nilikua nikisikia hivyo nabadilisha channel nilijua ni uongo tu.
Juzijuzi hapa kuna issue ilitokea ikanifanya nianze kumfatilia mwamposa buldozer, ndugu yangu hapa mtoto wake alikua anauguaugua yuko dhohofu akaamua kuanza kufatilia mwamposa vipindi vyake.
Akawa anafatilia maelekezo mfano unachukua maji unayaombea kwa imani (maji yoyote hata ya nyumbani kisimani au bombani), kitu cha ajabu kikatokea mtoto akatoa haja kubwa mbegu ya fenesi kuubwa, baada ya mda mtoto akaanza kupata nafuu.
Ikabidi prakatuba etumba etumba nianze kufanya research juu ya huyu mwamposa, aisee kiukweli hata Kama anatumia uchawi Mimi sijui, lakini matendo anayoyafanya yeye na wewe endapo ukipractise kwa miezi 6 utaanza kuona utofauti maishani mwako kwanini
Jamaa anazo ibada mbili, j.2 asubuhi na jioni, usiku pia kuna operation komboa familia kuanzia saa 4, usiku saa 8 jamaa yupo live, asubuhi saa 2 jamaa yuko live yaani ni maombi tu alafu ni kila siku hiyo ndio daily routine yake.
Hivi niwaulize sisi wengi daily routine zetu asubuhi hatusali tunaingia job, jioni tunapitia bar usiku tunasali kidogo au hatusali kabisa, mtoto wako anapata mapepo huwezi hata kumuombea maana ukianza kuomba pepo anaweza kukupiga makofi na kukucheka.
Siwazi saana kuhusu njia zake za maji na mafuta kwenye kupiga hela lakini nikichojifunza anakutengenezea wewe kua na imani kwamba endapo nikitumia haya maji basi nitapona....kwenye biblia kuna mifano mingiii Sana kuhusu manabii waliotumia vitu mbalimbali kwenye uponyaji
Anachofanya mwamposa ni kwamba ali-invest mda wake kumtafuta Mungu akapata hii power then kwa sababu yeye ni mjanja mjanja anatumia nguvu alizo nazo kupiga hela.
sawasawa na wewe unalima mashamba mwisho wa siku upate faida kwa investment uliyofanya.
Tunachokoswa sisi naona ni Imani, Imani yako ndio inakuponya sio mwamposa mwamposa yuko kati tu pale kuiboost imani yako maana ukisikia tu mafundisho yake Unapata nguvu ya kiroho.
Mwamposa haponyi anaeponya ni Mungu anachotaka kwako ni imani tu
Siku moja alitoa siri akasema ombeni sala ya baba yetu ulie mbinguni Mara 5 asubuhi, mchana na usiku na saa 8 usiku ukiweza kuamka Kama dozi vile kwa imani, utaanza kubadilika Kiroho.
Wengi wetu hatukumbuki Mara ya mwisho kuomba sala ya baba yetu, anaweza kua anapiga hela Sana kwenye sadaka lakini Mimi naona acha awapige tu maana yeye kagundua siri ambayo wengi hawaijuiii.
Kundi kubwa la watu wanaotoka usukumani wengine hata kiswahili Hawajuii wanaenda kushuhudia awezi kuwapanga wote wale but wengi imani zao ndio zimewaponya narudia Mwamposa ni catalyst tu amegundua ukweli ulipo ni IMANI TU NDIO UFUNGUO WA UPONYAJI, MTU KWENDA KWA MWAMPOSA ANAJUA ANAENDA KUPONA ameshahamini tayar, kumbe mwamposa haponyi ila imani ya wenye matatizo ndio inawaponya.
Nawatakia maandalizi mema ya Sabato.
Ni kwamba kuna wanaoona wanachofanya hao manabii ni nguvu kutoka kwa MUNGU na wengine huona ni UCHAWI na si nguvu kutoka kwa Mungu, kwahiyo hayo makundi mawili hukubaliana kuwepo miujiza na kwamba kuna Mungu na pia uchawi upo na ndio maana wanabishana mitazamo kwenye chanzo cha nguvu ya hiyo miujiza kutoka kwa hao manabii kwamba ni kutoka kwa Mungu au Uchawi.Utajuaje huu ni uhalisia na sio umechezwa mind illusion?
Humu humu nawashuhudia nyinyi kwa nyinyi mkibishana, wengine wanasema ni real na wengine wanabisha kuwa ni uongo
Na wewe nimekuona ukibisha tena kwa kutoa na mifano kabisa kuonesha sio kweli hayo madai
Sasa kama ni uhisia kwanini wenyewe kwa wenyewe mmeingia kwenye mzozo mkipingana juu ya habari hizo?
Kati ya wewe na hao wengine, yupi anazungumza uhalisia na yupi ni muongo?
Apostle kuna miujiza huku, nini kimetokea mkaka alikua hatembei miaka 30 baada ya maombi ameanza kutembea,
halleluyaaaaaaaaa, nani mtenda miujiza yeeeeeesu.
Nilikua nikisikia hivyo nabadilisha channel nilijua ni uongo tu.
Juzijuzi hapa kuna issue ilitokea ikanifanya nianze kumfatilia mwamposa buldozer, ndugu yangu hapa mtoto wake alikua anauguaugua yuko dhohofu akaamua kuanza kufatilia mwamposa vipindi vyake.
Akawa anafatilia maelekezo mfano unachukua maji unayaombea kwa imani (maji yoyote hata ya nyumbani kisimani au bombani), kitu cha ajabu kikatokea mtoto akatoa haja kubwa mbegu ya fenesi kuubwa, baada ya mda mtoto akaanza kupata nafuu.
Ikabidi prakatuba etumba etumba nianze kufanya research juu ya huyu mwamposa, aisee kiukweli hata Kama anatumia uchawi Mimi sijui, lakini matendo anayoyafanya yeye na wewe endapo ukipractise kwa miezi 6 utaanza kuona utofauti maishani mwako kwanini
Jamaa anazo ibada mbili, j.2 asubuhi na jioni, usiku pia kuna operation komboa familia kuanzia saa 4, usiku saa 8 jamaa yupo live, asubuhi saa 2 jamaa yuko live yaani ni maombi tu alafu ni kila siku hiyo ndio daily routine yake.
Hivi niwaulize sisi wengi daily routine zetu asubuhi hatusali tunaingia job, jioni tunapitia bar usiku tunasali kidogo au hatusali kabisa, mtoto wako anapata mapepo huwezi hata kumuombea maana ukianza kuomba pepo anaweza kukupiga makofi na kukucheka.
Siwazi saana kuhusu njia zake za maji na mafuta kwenye kupiga hela lakini nikichojifunza anakutengenezea wewe kua na imani kwamba endapo nikitumia haya maji basi nitapona....kwenye biblia kuna mifano mingiii Sana kuhusu manabii waliotumia vitu mbalimbali kwenye uponyaji
Anachofanya mwamposa ni kwamba ali-invest mda wake kumtafuta Mungu akapata hii power then kwa sababu yeye ni mjanja mjanja anatumia nguvu alizo nazo kupiga hela.
sawasawa na wewe unalima mashamba mwisho wa siku upate faida kwa investment uliyofanya.
Tunachokoswa sisi naona ni Imani, Imani yako ndio inakuponya sio mwamposa mwamposa yuko kati tu pale kuiboost imani yako maana ukisikia tu mafundisho yake Unapata nguvu ya kiroho.
Mwamposa haponyi anaeponya ni Mungu anachotaka kwako ni imani tu
Siku moja alitoa siri akasema ombeni sala ya baba yetu ulie mbinguni Mara 5 asubuhi, mchana na usiku na saa 8 usiku ukiweza kuamka Kama dozi vile kwa imani, utaanza kubadilika Kiroho.
Wengi wetu hatukumbuki Mara ya mwisho kuomba sala ya baba yetu, anaweza kua anapiga hela Sana kwenye sadaka lakini Mimi naona acha awapige tu maana yeye kagundua siri ambayo wengi hawaijuiii.
Kundi kubwa la watu wanaotoka usukumani wengine hata kiswahili Hawajuii wanaenda kushuhudia awezi kuwapanga wote wale but wengi imani zao ndio zimewaponya narudia Mwamposa ni catalyst tu amegundua ukweli ulipo ni IMANI TU NDIO UFUNGUO WA UPONYAJI, MTU KWENDA KWA MWAMPOSA ANAJUA ANAENDA KUPONA ameshahamini tayar, kumbe mwamposa haponyi ila imani ya wenye matatizo ndio inawaponya.
Nawatakia maandalizi mema ya Sabato.