Mwamposa Buldoza anazo nguvu za kweli

Mwamposa Buldoza anazo nguvu za kweli

Barua kwa wakorintho Paulo ametaja unabii ni karama mojawapo we unasema haupo nani muongo ndo nikasema hujui biblia
1 Wakorintho 12:4 - 11
“Basi pana tofauti za karama; bali Roho ni yeye yule. Tena pana tofauti za huduma, na Bwana ni yeye yule. Kisha pana tofauti za kutenda kazi, bali Mungu ni yeye yule azitendaye kazi zote katika wote. Lakini kila mmoja hupewa ufunuo wa Roho kwa kufaidiana. Maana mtu mmoja kwa Roho apewa neno la hekima; na mwingine neno la maarifa, apendavyo Roho yeye yule; mwingine imani katika Roho yeye yule; na mwingine karama za kuponya katika Roho yule mmoja; na mwingine matendo ya miujiza; na mwingine unabii;
Paul alifundisha yaliyokwisha fanyika
 
Ndio hakuna nabii baada ya yesu yote yalikamilika hakuna habari mpya ya yajayo , Yesu pale msalabani alisema imekwisha hii alikamilisha unabii na kusema el el lama sabachthani aya maneno aliyatamka kukamilisha unabii ulioandikwa
Paulo amekuja baada ya YESU na kupitia barua aliyowaandika 1 wakorintho 12: 4-11 amesema unabii ni karama mojawapo kumbe unabishana na biblia Tena kumbe napoteza mda
 
Mwamposa siyo Nabii. Yeye ni mtume, kwa maana ni mtu aliyeitwa kwa kazi ya kueneza neno la Mungu kwa watu wote wenye dini na wasio na dini. Na msingi wake mkuu wa mafundisho yake ni Biblia.

Pia huwaombea wote waĺiozongwa na "giza" ili wawe "mwanga" tele.
Giza = magonjwa, mapepo, kutofanikiwa, umasikini, ulevi, laana, huzuni, kilio, chuma ulete n.k.
Mwanga (nuru) = Afya, furaha, utajiri, roho ya kumjua na kumpenda Mungu, mafanikio, familia bora, uzao n.k.
 
Paulo amekuja baada ya YESU na kupitia barua aliyowaandika 1 wakorintho 12: 4-11 amesema unabii ni karama mojawapo kumbe unabishana na biblia Tena kumbe napoteza mda
Paul aliandika yaliyokuwepo , Yani kilikuwa na manabii sio watakuja manabii,

Baada ya Yesu ni mitume, wachungaji, wainjilisti , mapadre n.k hakuna nabii
 
Sawa. Peleka sadaka, matoleo, mbegu ya kupanda na ada ya maji ya upako
 
Leta kitabu Cha nabii baada ya yesu tusome unabii wake
Hujui biblia kasome kwanza biblia unaletewa mistari kwenye biblia unabaki unashangaa shangaa unaambiwa leta mistari kussuport unachosema huna Sasa sikupoteza mda tusichoshane hujui biblia na husomagi biblia huo ndo ukweli
 
Hujui biblia kasome kwanza biblia unaletewa mistari kwenye biblia unabaki unashangaa shangaa unaambiwa leta mistari kussuport unachosema huna Sasa sikupoteza mda tusichoshane hujui biblia na husomagi biblia huo ndo ukweli
Leta kitabu Cha nabii wako tukisome , mbona rahisi sana, alafu useme kwenye biblia kiweke wapi
 
Alafu nabii anakanisa ? Yupo na biblia anasoma unabii wakina yeremia 😂😂😂😂
Samweli alifanya kazi (ikiwemo unabii) iliyomshinda Eli, Elisha alimalizia kazi ya eliya kupitia unabii, same kwa yeremia alitilia mkazo unabii karibu wote alioua
sema isaya na huu ni uthibitisho mwingine hujui biblia
 
Back
Top Bottom