Mwamposa Buldoza anazo nguvu za kweli

Mwamposa Buldoza anazo nguvu za kweli

Ni kwamba kuna wanaoona wanachofanya hao manabii ni nguvu kutoka kwa MUNGU na wengine huona ni UCHAWI na si nguvu kutoka kwa Mungu, kwahiyo hayo makundi mawili hukubaliana kuwepo miujiza na kwamba kuna Mungu na pia uchawi upo na ndio maana wanabishana mitazamo kwenye chanzo cha nguvu ya hiyo miujiza kutoka kwa hao manabii kwamba ni kutoka kwa Mungu au Uchawi.
Ila pamoja na hayo pia ipo hoja ya kwamba hao manabii wakati mwengine wanafoji tu shuhuda za miujiza kwa maana haikufanyika hiyo miujiza au wanaigiza tu kwa kuonesha muujiza fulani kumbe maigizo tu ili kuwaaminisha watu.

Msimamo wangu binafsi katika hili ni kwamba hawa manabii hutumia uchawi na pia wakati mwengine hubuni shuhuda za uongo au kufanya maigizo tu na kudanganya ni miujiza.
Na kuna wengine wanaona hizo ni sanaa na ndio maana wametoa hoja zao kuwa kama ni kweli basi akajaribu kuifanya hiyo miujiza ICU pale Muhimbili
 
Na kuna wengine wanaona hizo ni sanaa na ndio maana wametoa hoja zao kuwa kama ni kweli basi akajaribu kuifanya hiyo miujiza ICU pale Muhimbili
Hoja ya kwenda kufanya hiyo miujiza hospitali ni hoja nzuri hata mimi naunga mkono maana jinsi wanavyotutangazia na kutaka kutuaminisha hiyo miujiza basi ilitakiwa tuone wakienda huko hospitali na kuwaponyesha wagonjwa kwa hiyo miujiza maana watu wa dini huwa wanaendaga hospiali kuwatembelea wagonjwa na kuwapa zawadi mbalimbali hivyo inawezekana kutumia nafasi hiyo kuwaombea na kuona miujiza ya wagonjwa kupona.

Lakini pia pamoja na hayo hoja ya kuwepo Mungu na kuwepo uchawi ipo pale pale.
 
Hoja ya kwenda kufanya hiyo miujiza hospitali ni hoja nzuri hata mimi naunga mkono maana jinsi wanavyotutangazia na kutaka kutuaminisha hiyo miujiza basi ilitakiwa tuone wakienda huko hospitali na kuwaponyesha wagonjwa kwa hiyo miujiza maana watu wa dini huwa wanaendaga hospiali kuwatembelea wagonjwa na kuwapa zawadi mbalimbali hivyo inawezekana kutumia nafasi hiyo kuwaombea na kuona miujiza ya wagonjwa kupona.

Lakini pia pamoja na hayo hoja ya kuwepo Mungu na kuwepo uchawi ipo pale pale.
Mpaka waende hospitali maana yake hukubaliani na masimulizi ya watu

Kama hukubaliani tafsiri yake ni kuwa hayo mambo hayana uhalisia
 
Na kuna wengine wanaona hizo ni sanaa na ndio maana wametoa hoja zao kuwa kama ni kweli basi akajaribu kuifanya hiyo miujiza ICU pale Muhimbili
Sorry sijajua wewe ni wa imani gani, ila nitaongea kwa mujibu wa imani ya ki Kristo ukimuangalia Yesu alivyo kuwa akitenda kwa asilimia zaidi ya 98% ya miujiza yake alikuwa hamfuati mtu na kumtendea muujiza bali alikuwa zake mitaani busy kueahubiria watu jinsi wanavyo kombolewa, kuponywa na kuokolewa kutoka kwenye mateso na vifungo vya nguvu za giza, yaani anafundisha na kuwajaza wale watu matumaini na imani hadi mtu mwenye shida anaamini kuwa daah kumbe uponyaji ni jambo la wazi na jepesi namna hii, basi anamfuata Yesu na kuomba atendewe ndipo utendaji unafanyika. Na mara kadha wa kadha alikua akinukuliwa akitamka maneno haya IMANI YAKO IMEKUPONYA.

Hii inakuambia kwamba, nguvu ambayo ilikuwa inatumika kumfanya mtu apone ni kutoka ndani ya mtu yule yule bali Yesu alikuwa anafanya kama kuiboost maana watu wengi hata leo hii wanahisi kana kwamba muujiza ni jambo gumu kweli kweli kutokea na linatokea mara chache sana, lakini kumbe sivyo, kwahiyo Yesu alicho fanya ni kama kuwabadilisha watu mtazamo wao na kuwaambia jambo lile walilokua wana liona gumu sana kuwa ni jepesi mnoooo, basi mtu asikiaye habari hizi anazipokea na kuziamini, mbona chapu tu anapokea uponyaji, yaani hata kama alikuwa kiwete miguu imelegea kabisa, anakuja Yesu anamuambia "ndugu yangu hii miguu yako ni mizima kabisa wala haipo kama vile unavyo hisi, hivyo simama utembee, kiwete yule akiona ni Yesu aliye muambia neno lile ana lipokea na kuamini alafu anasimama papo hapo bila kuchelewa, unakuta huyoo anaenda watu wanabakinm midomo wazi.

Labda nikuambie kwa mfano huu ambao hata mimi nimeutumia mara kadhaa na umetenda kazi, ipo hivii, ukiamini haiweezekani basi hamna namna hicho kitu kita wezekana na ukiamini kuwa ina wezekana na uka focus, hakika itawezekana.

Watu huwa tuna waamini sana wataalamu (wasomi) kuwa wao wanajua vitu vingi hivyo ukipewa ushauri na msomi au mtu aliye fanikiwa katika angle fulani huwa tunaupokea haraka na kuuamini ule ushauri kuliko ushauri wa mtu mwingine tu.

Mfano wewe una umwa homa alafu ukaenda kwa daktari alafu dk hata bila kukupima akakwambia hauna homa yeyote ile rudi tu nyumbani kula vizuri, fanya mazoezi na upumzike kwa wakati utapona. Nawewe utaupokea ule ushauri kwa imani kwamba kama dct kasema hivi basi ni kweli, utaenda nyumbani na baada ya mda utajikuta kweli umepona.

Na kwa upande mwingine dct akikupa maneno ya kutisha hatakama ulikuwa na kijihoma kidogo utajikuta homa inazidi kupanda kwa kasi hadi unazidiwa.......

Sasa nachotaka kusema ni hiki, wahenga waliposema mwenye shida amfuate mganga walikua na maana kubwa sana, maana ile tu kitendo cha kutoka kwenda kwa fulani ni kwamba una imani ya uhakika kwamba nikienda pale nita saidiwa, kwaiyo kilicho kufanya usaidiwe ni ile imani yako kwamba nikienda kwa fulani nitasaidiwa.

Kitendo cha mchungaji kwenda kumponya mgonjwa hospital hakitawezekana kama mgonjwa mwenyewe hajaamini kuwa nikiombewa nitapona. Kinacho mpasa mchungaji akifika hospital awafundishe wale watu kwa upole na utaratibu mkubwa jinsi mambo ya uponyaji yanavyo tendeka, jinsi watu wanavyo weza kupokea uponyaji kisha wale watu watao amini ndio wao wenyewe watake kwamba mtumishi niwekee mkono uniombee nipone.

Sio mchungaji atoke alikotoka na kuanza kuombea kila mtu, huo ni upuuzi na ni matumizi mabaya ya nguvu za Mungu.

ANYWAYS MAMBO YA IMANI YANA MTU NA MTU, NI NGUMU SANA KWAMBA WATU WOTE TUTAKAA NA KUKUBALIANA KITU KIMOJA HIVYO, HUWA NAPENDA PIA KILA MTU ASIMAME NA LILE ANALO LIONA NI JEMA NA SAHIHI KWAKE YEYE.

Nina mengi ya kusema kuhusu hili ila kuandika kunachosha kwa yeyote anaetaka ufahamu zaidi juu ya hili anitafute kwa 0620181872
 
Apostle kuna miujiza huku, nini kimetokea mkaka alikua hatembei miaka 30 baada ya maombi ameanza kutembea,

halleluyaaaaaaaaa, nani mtenda miujiza yeeeeeesu.

Nilikua nikisikia hivyo nabadilisha channel nilijua ni uongo tu.

Juzijuzi hapa kuna issue ilitokea ikanifanya nianze kumfatilia mwamposa buldozer, ndugu yangu hapa mtoto wake alikua anauguaugua yuko dhohofu akaamua kuanza kufatilia mwamposa vipindi vyake.

Akawa anafatilia maelekezo mfano unachukua maji unayaombea kwa imani (maji yoyote hata ya nyumbani kisimani au bombani), kitu cha ajabu kikatokea mtoto akatoa haja kubwa mbegu ya fenesi kuubwa, baada ya mda mtoto akaanza kupata nafuu.

Ikabidi prakatuba etumba etumba nianze kufanya research juu ya huyu mwamposa, aisee kiukweli hata Kama anatumia uchawi Mimi sijui, lakini matendo anayoyafanya yeye na wewe endapo ukipractise kwa miezi 6 utaanza kuona utofauti maishani mwako kwanini

Jamaa anazo ibada mbili, j.2 asubuhi na jioni, usiku pia kuna operation komboa familia kuanzia saa 4, usiku saa 8 jamaa yupo live, asubuhi saa 2 jamaa yuko live yaani ni maombi tu alafu ni kila siku hiyo ndio daily routine yake.

Hivi niwaulize sisi wengi daily routine zetu asubuhi hatusali tunaingia job, jioni tunapitia bar usiku tunasali kidogo au hatusali kabisa, mtoto wako anapata mapepo huwezi hata kumuombea maana ukianza kuomba pepo anaweza kukupiga makofi na kukucheka.

Siwazi saana kuhusu njia zake za maji na mafuta kwenye kupiga hela lakini nikichojifunza anakutengenezea wewe kua na imani kwamba endapo nikitumia haya maji basi nitapona....kwenye biblia kuna mifano mingiii Sana kuhusu manabii waliotumia vitu mbalimbali kwenye uponyaji

Anachofanya mwamposa ni kwamba ali-invest mda wake kumtafuta Mungu akapata hii power then kwa sababu yeye ni mjanja mjanja anatumia nguvu alizo nazo kupiga hela.
sawasawa na wewe unalima mashamba mwisho wa siku upate faida kwa investment uliyofanya.

Tunachokoswa sisi naona ni Imani, Imani yako ndio inakuponya sio mwamposa mwamposa yuko kati tu pale kuiboost imani yako maana ukisikia tu mafundisho yake Unapata nguvu ya kiroho.

Mwamposa haponyi anaeponya ni Mungu anachotaka kwako ni imani tu

Siku moja alitoa siri akasema ombeni sala ya baba yetu ulie mbinguni Mara 5 asubuhi, mchana na usiku na saa 8 usiku ukiweza kuamka Kama dozi vile kwa imani, utaanza kubadilika Kiroho.

Wengi wetu hatukumbuki Mara ya mwisho kuomba sala ya baba yetu, anaweza kua anapiga hela Sana kwenye sadaka lakini Mimi naona acha awapige tu maana yeye kagundua siri ambayo wengi hawaijuiii.

Kundi kubwa la watu wanaotoka usukumani wengine hata kiswahili Hawajuii wanaenda kushuhudia awezi kuwapanga wote wale but wengi imani zao ndio zimewaponya narudia Mwamposa ni catalyst tu amegundua ukweli ulipo ni IMANI TU NDIO UFUNGUO WA UPONYAJI, MTU KWENDA KWA MWAMPOSA ANAJUA ANAENDA KUPONA ameshahamini tayar, kumbe mwamposa haponyi ila imani ya wenye matatizo ndio inawaponya.

Nawatakia maandalizi mema ya Sabato.
WAJINGA NDIO WALIWAO[emoji1784]
Washaangamia wamekosa maarifa.
 
Sorry sijajua wewe ni wa imani gani, ila nitaongea kwa mujibu wa imani ya ki Kristo ukimuangalia Yesu alivyo kuwa akitenda kwa asilimia zaidi ya 98% ya miujiza yake alikuwa hamfuati mtu na kumtendea muujiza bali alikuwa zake mitaani busy kueahubiria watu jinsi wanavyo kombolewa, kuponywa na kuokolewa kutoka kwenye mateso na vifungo vya nguvu za giza, yaani anafundisha na kuwajaza wale watu matumaini na imani hadi mtu mwenye shida anaamini kuwa daah kumbe uponyaji ni jambo la wazi na jepesi namna hii, basi anamfuata Yesu na kuomba atendewe ndipo utendaji unafanyika. Na mara kadha wa kadha alikua akinukuliwa akitamka maneno haya IMANI YAKO IMEKUPONYA.

Hii inakuambia kwamba, nguvu ambayo ilikuwa inatumika kumfanya mtu apone ni kutoka ndani ya mtu yule yule bali Yesu alikuwa anafanya kama kuiboost maana watu wengi hata leo hii wanahisi kana kwamba muujiza ni jambo gumu kweli kweli kutokea na linatokea mara chache sana, lakini kumbe sivyo, kwahiyo Yesu alicho fanya ni kama kuwabadilisha watu mtazamo wao na kuwaambia jambo lile walilokua wana liona gumu sana kuwa ni jepesi mnoooo, basi mtu asikiaye habari hizi anazipokea na kuziamini, mbona chapu tu anapokea uponyaji, yaani hata kama alikuwa kiwete miguu imelegea kabisa, anakuja Yesu anamuambia "ndugu yangu hii miguu yako ni mizima kabisa wala haipo kama vile unavyo hisi, hivyo simama utembee, kiwete yule akiona ni Yesu aliye muambia neno lile ana lipokea na kuamini alafu anasimama papo hapo bila kuchelewa, unakuta huyoo anaenda watu wanabakinm midomo wazi.

Labda nikuambie kwa mfano huu ambao hata mimi nimeutumia mara kadhaa na umetenda kazi, ipo hivii, ukiamini haiweezekani basi hamna namna hicho kitu kita wezekana na ukiamini kuwa ina wezekana na uka focus, hakika itawezekana.

Watu huwa tuna waamini sana wataalamu (wasomi) kuwa wao wanajua vitu vingi hivyo ukipewa ushauri na msomi au mtu aliye fanikiwa katika angle fulani huwa tunaupokea haraka na kuuamini ule ushauri kuliko ushauri wa mtu mwingine tu.

Mfano wewe una umwa homa alafu ukaenda kwa daktari alafu dk hata bila kukupima akakwambia hauna homa yeyote ile rudi tu nyumbani kula vizuri, fanya mazoezi na upumzike kwa wakati utapona. Nawewe utaupokea ule ushauri kwa imani kwamba kama dct kasema hivi basi ni kweli, utaenda nyumbani na baada ya mda utajikuta kweli umepona.

Na kwa upande mwingine dct akikupa maneno ya kutisha hatakama ulikuwa na kijihoma kidogo utajikuta homa inazidi kupanda kwa kasi hadi unazidiwa.......

Sasa nachotaka kusema ni hiki, wahenga waliposema mwenye shida amfuate mganga walikua na maana kubwa sana, maana ile tu kitendo cha kutoka kwenda kwa fulani ni kwamba una imani ya uhakika kwamba nikienda pale nita saidiwa, kwaiyo kilicho kufanya usaidiwe ni ile imani yako kwamba nikienda kwa fulani nitasaidiwa.

Kitendo cha mchungaji kwenda kumponya mgonjwa hospital hakitawezekana kama mgonjwa mwenyewe hajaamini kuwa nikiombewa nitapona. Kinacho mpasa mchungaji akifika hospital awafundishe wale watu kwa upole na utaratibu mkubwa jinsi mambo ya uponyaji yanavyo tendeka, jinsi watu wanavyo weza kupokea uponyaji kisha wale watu watao amini ndio wao wenyewe watake kwamba mtumishi niwekee mkono uniombee nipone.

Sio mchungaji atoke alikotoka na kuanza kuombea kila mtu, huo ni upuuzi na ni matumizi mabaya ya nguvu za Mungu.

ANYWAYS MAMBO YA IMANI YANA MTU NA MTU, NI NGUMU SANA KWAMBA WATU WOTE TUTAKAA NA KUKUBALIANA KITU KIMOJA HIVYO, HUWA NAPENDA PIA KILA MTU ASIMAME NA LILE ANALO LIONA NI JEMA NA SAHIHI KWAKE YEYE.

Nina mengi ya kusema kuhusu hili ila kuandika kunachosha kwa yeyote anaetaka ufahamu zaidi juu ya hili anitafute kwa 0620181872
Siamini katika imani ya dini
 
Ni kama hii michezo ya bahati nasibu wanaoshinda ni kidogo sana kuliko walioliwa, kuna watu tunawajua wao ni hodari sana wa kwenda huko wanajua ratiba zote na za kanisani kwa Mwamposa na wana imani kweli na miujiza ya Mwamposa ila wanaishia kusimulia shuhuda za wengine tu wao hadi leo hawana ushuhuda wao binafsi toka waanze kwenda huko kwa Mwamposa.
Tatzo upunguani wa akili ndio unawasumbua hata hilo wanashinndwa kujiuliza!
 
Wajanja waliowah mjini wamegundua watu wanashida nying sana wanahitaj uvumbuz wa matatzo yao kuliko kumhitaj Yesu na wakaamua kuja na huduma fake ili kujizolea Swadaka za bure.
Watu hawahitaj kwenda mbinguni wala kuyajua maandiko wao wanahitaj mseleleko imewapasa wapigwe kisawasawa.
 
Unajiponya mwenyewe, You are the master of your Life/destiny.

Sculptor of your own sculpture, You have a chisel(Mind) use it to sculpt your self.

Sculpting is the act it should be learned , Sculpting yourself Never ends ,It is a continual process, moment to moment, day to day, .

🫂
 
Mpaka waende hospitali maana yake hukubaliani na masimulizi ya watu

Kama hukubaliani tafsiri yake ni kuwa hayo mambo hayana uhalisia
Mbona nimefafanua vizuri tu mkuu kwamba msimamo wangu ni kwamba hutumika uchawi na uongo pia.
 
Apostle kuna miujiza huku, nini kimetokea mkaka alikua hatembei miaka 30 baada ya maombi ameanza kutembea,

halleluyaaaaaaaaa, nani mtenda miujiza yeeeeeesu.

Nilikua nikisikia hivyo nabadilisha channel nilijua ni uongo tu.

Juzijuzi hapa kuna issue ilitokea ikanifanya nianze kumfatilia mwamposa buldozer, ndugu yangu hapa mtoto wake alikua anauguaugua yuko dhohofu akaamua kuanza kufatilia mwamposa vipindi vyake.

Akawa anafatilia maelekezo mfano unachukua maji unayaombea kwa imani (maji yoyote hata ya nyumbani kisimani au bombani), kitu cha ajabu kikatokea mtoto akatoa haja kubwa mbegu ya fenesi kuubwa, baada ya mda mtoto akaanza kupata nafuu.

Ikabidi prakatuba etumba etumba nianze kufanya research juu ya huyu mwamposa, aisee kiukweli hata Kama anatumia uchawi Mimi sijui, lakini matendo anayoyafanya yeye na wewe endapo ukipractise kwa miezi 6 utaanza kuona utofauti maishani mwako kwanini

Jamaa anazo ibada mbili, j.2 asubuhi na jioni, usiku pia kuna operation komboa familia kuanzia saa 4, usiku saa 8 jamaa yupo live, asubuhi saa 2 jamaa yuko live yaani ni maombi tu alafu ni kila siku hiyo ndio daily routine yake.

Hivi niwaulize sisi wengi daily routine zetu asubuhi hatusali tunaingia job, jioni tunapitia bar usiku tunasali kidogo au hatusali kabisa, mtoto wako anapata mapepo huwezi hata kumuombea maana ukianza kuomba pepo anaweza kukupiga makofi na kukucheka.

Siwazi saana kuhusu njia zake za maji na mafuta kwenye kupiga hela lakini nikichojifunza anakutengenezea wewe kua na imani kwamba endapo nikitumia haya maji basi nitapona....kwenye biblia kuna mifano mingiii Sana kuhusu manabii waliotumia vitu mbalimbali kwenye uponyaji

Anachofanya mwamposa ni kwamba ali-invest mda wake kumtafuta Mungu akapata hii power then kwa sababu yeye ni mjanja mjanja anatumia nguvu alizo nazo kupiga hela.
sawasawa na wewe unalima mashamba mwisho wa siku upate faida kwa investment uliyofanya.

Tunachokoswa sisi naona ni Imani, Imani yako ndio inakuponya sio mwamposa mwamposa yuko kati tu pale kuiboost imani yako maana ukisikia tu mafundisho yake Unapata nguvu ya kiroho.

Mwamposa haponyi anaeponya ni Mungu anachotaka kwako ni imani tu

Siku moja alitoa siri akasema ombeni sala ya baba yetu ulie mbinguni Mara 5 asubuhi, mchana na usiku na saa 8 usiku ukiweza kuamka Kama dozi vile kwa imani, utaanza kubadilika Kiroho.

Wengi wetu hatukumbuki Mara ya mwisho kuomba sala ya baba yetu, anaweza kua anapiga hela Sana kwenye sadaka lakini Mimi naona acha awapige tu maana yeye kagundua siri ambayo wengi hawaijuiii.

Kundi kubwa la watu wanaotoka usukumani wengine hata kiswahili Hawajuii wanaenda kushuhudia awezi kuwapanga wote wale but wengi imani zao ndio zimewaponya narudia Mwamposa ni catalyst tu amegundua ukweli ulipo ni IMANI TU NDIO UFUNGUO WA UPONYAJI, MTU KWENDA KWA MWAMPOSA ANAJUA ANAENDA KUPONA ameshahamini tayar, kumbe mwamposa haponyi ila imani ya wenye matatizo ndio inawaponya.

Nawatakia maandalizi mema ya Sabato.
 
Kuna nyakati unaweza sema mungu yupo nawe kumbe upo na setani
 
Back
Top Bottom