Mwamposa huyu mtoa shuhuda wako anayejifanya ni Mkongo amekosea Script ya uongo na maelekezo yako ya Kitapeli?

Eti Zahir Zorro na Pauline Zongo ni wacongo! Hata Huyo Papi Kocha japo baba yake ni Mcongo halisi lakini mama yake ni Mtanzania na amezaliwa Tanzania hivyo hana lafudhi yoyote ya kikongo acha hao kina Zahir na Pauline,jamaa ni tutusa fulani lakini linajifanya juwaji sana!
 
Usiombe ukatize kwenye 18 za Popoma🤣🤣🤣🤣🤣 utasagiwa kunguni hadi nyanya chungu uziite ndulele🤣
 
Biashara ya mwenzio usililalie mlango wazi, wateja wapo wa kutosha fungua nawe huduma upange script vizuri.
Ye tayari ana wateja wa kutosha wa uhakika wapiga kelele kama wewe ni SAwa na sisimizi.
Kuhani Mussa, Goedevi, Mwamposa, zumaridi wapo kimya walishajitengenezea brand awasumbuki kuwajibu wapiga kelele.
Tuache wivu KWA biashara za watu.
 
Wendawazimu na Wapumbavu wa aina yako huwa hawanisumbui na wala hawanipotezei muda wangu hapa JamiiForums.
 
Watakuja kusema nawe ni Muumini mkuu watanzania wanapenda kuona ukifa maskini kama anaona ni rahisi afanye na yeye hio biashara
 
E bwana eee na huku upo
 
Ninakaa kimya kwa kuzingatia "maisha ni mchezo" mpaka sasa keshaporomosha hoteli ya kisasa iliyojengwa na mazuzu.
 
Sidhani kama wakiristo wote wanafurahishwa na huyu bwana?? Kuna wengi Wana akili zao nzuri washaona haya ni maigizo na jamaa anajitajirisha kupitia wao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…