Bitoz Jobiso
JF-Expert Member
- Sep 27, 2022
- 925
- 1,202
wanaangamia kwa kukosa maarifa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muumini naona umetia timu,Nilikua najiuliza Kwa nini wanakuita popoma Leo ndo nmepata majibu. Aisee waache wanaume wenzio watafute pesa kama ni rahisi na wewe fanya
Ananunua 2800, anauza kwa 12000Maji, mafuta hayana jipya pale anafanya biashara ya maji kwa kupata faida kubwa sana ,
Usiombe ukatize kwenye 18 za Popoma🤣🤣🤣🤣🤣 utasagiwa kunguni hadi nyanya chungu uziite ndulele🤣Kaanza kwanza Kujitambulisha kuwa Yeye ni Mkongo ( kutoka DRC ) kisha akaanza Kuzungumza kwa Lafudhi Feki ya Kikongo baadae akajisahau akarejea katika Lafudhi yake ya Asili ya Wanawake wa Kiuswahilini wa Temeke Mtongani.
Mwamposa Mimi GENTAMYCINE nimekaa na kuishi na Wakongo na labda tu nikuambie Mkongo hata akae Tanzania miaka 50 bado tu ile Lafudhi yake ya Kibandeko Nangai ( Kikongo ) itaendelea tu kubakia Ulimini mwake.
Mfano hai ninao Mwamposa mtafute Mwanamuziki Nyoshi El Sadaat au Papi Kocha au Dada Pauline Zongo au Mzee Zahoro kaa nao japo wameishi, wameoa na wamezaa hapa Tanzania kwa miaka mingi ila ile Lafudhi yao ya Kikongo ipo vile vile tu.
Hivi unapata Ujasiri gani Kuwahadaa Watu ( hasa Waumini wako ) hapo Kanisani Kwako?
Haya tena Mwamposa kuna Kijana Mmoja ameshuhudia hapo kasema kuwa alikuwa amefungwa Jela na katoka baada ya Kutumia Maji na Mafuta unayoyaombea na Kuwauzia kwa Tsh 1000 kwa Chupa wakati Wewe Kiwandani unayanunua kwa Tsh 400 tu.
Mwamposa najua utanichukia na unanichukia kweli kweli GENTAMYCINE Mimi ila kwa Kujiridhisha zaidi kutokana na Mtandao wangu mkubwa nilionao wa Watendaji Waandamizi mbalimbali nchini ni kwamba si kweli kuwa huyo Kijana alitoka Jela kwa msaada wa Maji na Mafuta yako ya Uwongo na Kweli bali kumbe Wiki Mbili kabla Yeye kwenda Mahakamani na hata kuanza kukujua na kutumia Vitu vyako unavyowauzia alishajulishwa na Watu wa Gerezani alikokuwa kuwa anaenda Kuachiwa
Kwanini unapenda Uwongo Uwongo Wewe Baba tena ukijifanya unalitumia na unalitaja sana Jina la Yesu Kristo na Mwenyezi Mungu? Unapata faida gani?
Halafu wenye Akili Kubwa kukuzidi na tunaojua mambo tukikuambia kuwa hawa Watoa Ushuhuda wako hapo Kanisani huwa Unawapanga na Kuwafundisha cha Kusema ili Wawavutie Mamburula wengine unakataa, unakasirika na mpaka Wengine unatufungia Kula na Kunywa ili Mabaya yatupate ila ndiyo Kwanza tu mazuri na mema ya Mwenyezi Mungu ( Mungu wa Kweli ) yanatutokea tu.
Haya niambie GENTAMYCINE umejisikiaje huyo Dada aliyejitambulisha kuwa ni Mkongo kuanza Kutuigizia kuongea kwa Lafudhi Feki ya Kikongo na baadae akakukumbuka kuwa Yeye ni Mtanzania tena Mswahili tu wa Tandale na Temeke na kuanza Kuongea kwa Kiswahili chake Sanifu kabisa alichokibobea?
Hebu mwogope Mungu basi Okay?
Wendawazimu na Wapumbavu wa aina yako huwa hawanisumbui na wala hawanipotezei muda wangu hapa JamiiForums.Eti Zahir Zorro na Pauline Zongo ni wacongo! Hata Huyo Papi Kocha japo baba yake ni Mcongo halisi lakini mama yake ni Mtanzania na amezaliwa Tanzania hivyo hana lafudhi yoyote ya kikongo acha hao kina Zahir na Pauline,jamaa ni tutusa fulani lakini linajifanya juwaji sana!
Hata sifaham anapofanyia biashara yake mkuuMuumini naona umetia timu,
Asitumie jina la Mungu sasa.
Watakuja kusema nawe ni Muumini mkuu watanzania wanapenda kuona ukifa maskini kama anaona ni rahisi afanye na yeye hio biasharaBiashara ya mwenzio usililalie mlango wazi, wateja wapo wa kutosha fungua nawe huduma upange script vizuri.
Ye tayari ana wateja wa kutosha wa uhakika wapiga kelele kama wewe ni SAwa na sisimizi.
Kuhani Mussa, Goedevi, Mwamposa, zumaridi wapo kimya walishajitengenezea brand awasumbuki kuwajibu wapiga kelele.
Tuache wivu KWA biashara za watu.
E bwana eee na huku upoKaanza kwanza Kujitambulisha kuwa Yeye ni Mkongo ( kutoka DRC ) kisha akaanza Kuzungumza kwa Lafudhi Feki ya Kikongo baadae akajisahau akarejea katika Lafudhi yake ya Asili ya Wanawake wa Kiuswahilini wa Temeke Mtongani.
Mwamposa Mimi GENTAMYCINE nimekaa na kuishi na Wakongo na labda tu nikuambie Mkongo hata akae Tanzania miaka 50 bado tu ile Lafudhi yake ya Kibandeko Nangai ( Kikongo ) itaendelea tu kubakia Ulimini mwake.
Mfano hai ninao Mwamposa mtafute Mwanamuziki Nyoshi El Sadaat au Papi Kocha au Dada Pauline Zongo au Mzee Zahoro kaa nao japo wameishi, wameoa na wamezaa hapa Tanzania kwa miaka mingi ila ile Lafudhi yao ya Kikongo ipo vile vile tu.
Hivi unapata Ujasiri gani Kuwahadaa Watu ( hasa Waumini wako ) hapo Kanisani Kwako?
Haya tena Mwamposa kuna Kijana Mmoja ameshuhudia hapo kasema kuwa alikuwa amefungwa Jela na katoka baada ya Kutumia Maji na Mafuta unayoyaombea na Kuwauzia kwa Tsh 1000 kwa Chupa wakati Wewe Kiwandani unayanunua kwa Tsh 400 tu.
Mwamposa najua utanichukia na unanichukia kweli kweli GENTAMYCINE Mimi ila kwa Kujiridhisha zaidi kutokana na Mtandao wangu mkubwa nilionao wa Watendaji Waandamizi mbalimbali nchini ni kwamba si kweli kuwa huyo Kijana alitoka Jela kwa msaada wa Maji na Mafuta yako ya Uwongo na Kweli bali kumbe Wiki Mbili kabla Yeye kwenda Mahakamani na hata kuanza kukujua na kutumia Vitu vyako unavyowauzia alishajulishwa na Watu wa Gerezani alikokuwa kuwa anaenda Kuachiwa
Kwanini unapenda Uwongo Uwongo Wewe Baba tena ukijifanya unalitumia na unalitaja sana Jina la Yesu Kristo na Mwenyezi Mungu? Unapata faida gani?
Halafu wenye Akili Kubwa kukuzidi na tunaojua mambo tukikuambia kuwa hawa Watoa Ushuhuda wako hapo Kanisani huwa Unawapanga na Kuwafundisha cha Kusema ili Wawavutie Mamburula wengine unakataa, unakasirika na mpaka Wengine unatufungia Kula na Kunywa ili Mabaya yatupate ila ndiyo Kwanza tu mazuri na mema ya Mwenyezi Mungu ( Mungu wa Kweli ) yanatutokea tu.
Haya niambie GENTAMYCINE umejisikiaje huyo Dada aliyejitambulisha kuwa ni Mkongo kuanza Kutuigizia kuongea kwa Lafudhi Feki ya Kikongo na baadae akakukumbuka kuwa Yeye ni Mtanzania tena Mswahili tu wa Tandale na Temeke na kuanza Kuongea kwa Kiswahili chake Sanifu kabisa alichokibobea?
Hebu mwogope Mungu basi Okay?
... anapata above Abnormal Profit ambayo kiuchumi tunaita ni SUPERNORMAL PROFIT.Maji, mafuta hayana jipya pale anafanya biashara ya maji kwa kupata faida kubwa sana ,
Kuna sehemu GENTAMYCINE sipo?E bwana eee na huku upo