Mwamposa huyu Muumini wako wa leo hukumpanga vizuri hadi Akakuaibisha kwa Uongo hadi Wewe ukashtuka?

Mwamposa huyu Muumini wako wa leo hukumpanga vizuri hadi Akakuaibisha kwa Uongo hadi Wewe ukashtuka?

Muumini wako Mmoja wa Kike aliyepanda Kutoa Ushuhuda wake kati ya Saa 5 na Robo hadi Saa 5 na dakika 20 leo Kachemsha na Kututhibitishia kuwa ni kweli hawa Watu wa Shuhuda huwa Unawapanga na Kuwaandaa.

Mwamposa huyo Dada mbele yako akiwa anashuhudia alikuambia kuwa alikuwa na Ndugu yake Mgonjwa Hoi Mahututi, hawezi hata Kuongea, hajitambui na Macho yake alikuwa ameyafunga.

Cha Kushangaza huyo Muumini wako wa leo ambaye hukumpangia vyema Script yako ya Kutudanganya Watu ( kama Kawaida ) yako alisema ( alikuambia ) kuwa wakati wakiwa njiani kumpeleka Hospital huyo Mgonjwa wao aliyekuwa Mahututi na Hoi akawaambia wqmlete Kwako Kanisani Arise and Shine Kawe Tanganyika Packers

Pole sana Mwamposa kwani nilikuona hata Wewe Director wa hii Movie na Muandaaji wa Script yako ya Uwongo na Kutudanganya tusiojitambua Ulishtuka kwa Kukosea Kwake huko na Ukakwazika ila ukatumia Akili Kubwa kwa Kuzuga na kuanza Kuimba Wimbo wako pendwa wa ....Namshukuru Mungu..... Namshukuru Bwana...ambao hata hivyo huwa unauharibu kwa Sauti yako mbaya ya Mkwaruzano.

Nilikuwa sijui kumbe Mgonjwa aliye Hoi, Mahututi, hajitambui na amefumba Macho yake anaweza Kuwaambia waliombeba kuwa wamlete Kanisani Kwako hapo Arise and Shine Kawe Tanganyika Packers?

Haya Mfukunyuku Mbobezi MINOCYCLINE nimemaliza huku nikiendelea kuwapa Pole Waumini wako.

Kazi kweli kweli hakyanani....!!!!!!
Matendo ya Mitume 3 (Biblia Takatifu)
¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯
⁶ Lakini Petro akasema, Mimi sina fedha, wala dhahabu, lakini nilicho nacho ndicho nikupacho. Kwa jina la Yesu Kristo wa Nazareti, simama uende.
⁷ Akamshika mkono wa kuume, akamwinua, mara nyayo zake na vifundo vya miguu yake vikatiwa nguvu.
⁸ Akaondoka upesi akasimama, akaanza kwenda; akaingia ndani ya hekalu pamoja nao, akienda, akiruka-ruka, na kumsifu Mungu.
⁹ Watu wote wakamwona akienda, akimsifu Mungu.
¹⁰ Wakamtambua, ya kuwa yeye ndiye aliyekuwa akiketi na kuomba sadaka penye mlango Mzuri wa hekalu; wakajaa ushangao wakastaajabia mambo yale yaliyompata.
"Petro na Mitume wengine Waliponya Kwa Jina la Yesu na Si Kwa Maji na Mafuta ya Upako." Yanayopelekea Watu kutoa Viumbe hai Mwilini mwao. Eg Nyoka, Mjusi, tandu, Kobe,mdudu, Jongoo na wakati mwingine Hirizi.
 
Muumini wako Mmoja wa Kike aliyepanda Kutoa Ushuhuda wake kati ya Saa 5 na Robo hadi Saa 5 na dakika 20 leo Kachemsha na Kututhibitishia kuwa ni kweli hawa Watu wa Shuhuda huwa Unawapanga na Kuwaandaa.

Mwamposa huyo Dada mbele yako akiwa anashuhudia alikuambia kuwa alikuwa na Ndugu yake Mgonjwa Hoi Mahututi, hawezi hata Kuongea, hajitambui na Macho yake alikuwa ameyafunga.

Cha Kushangaza huyo Muumini wako wa leo ambaye hukumpangia vyema Script yako ya Kutudanganya Watu ( kama Kawaida ) yako alisema ( alikuambia ) kuwa wakati wakiwa njiani kumpeleka Hospital huyo Mgonjwa wao aliyekuwa Mahututi na Hoi akawaambia wqmlete Kwako Kanisani Arise and Shine Kawe Tanganyika Packers

Pole sana Mwamposa kwani nilikuona hata Wewe Director wa hii Movie na Muandaaji wa Script yako ya Uwongo na Kutudanganya tusiojitambua Ulishtuka kwa Kukosea Kwake huko na Ukakwazika ila ukatumia Akili Kubwa kwa Kuzuga na kuanza Kuimba Wimbo wako pendwa wa ....Namshukuru Mungu..... Namshukuru Bwana...ambao hata hivyo huwa unauharibu kwa Sauti yako mbaya ya Mkwaruzano.

Nilikuwa sijui kumbe Mgonjwa aliye Hoi, Mahututi, hajitambui na amefumba Macho yake anaweza Kuwaambia waliombeba kuwa wamlete Kanisani Kwako hapo Arise and Shine Kawe Tanganyika Packers?

Haya Mfukunyuku Mbobezi MINOCYCLINE nimemaliza huku nikiendelea kuwapa Pole Waumini wako.

Kazi kweli kweli hakyanani....!!!!!!
Ila yote kwa yote mimi nilipona pale na Mwamposa anamafundisho mazuri
 
Kuna dada alisema kapata mimba kwa uwezo wa roho mtakatifu na hakukutana na mwanaume tokea waachane na mumewe miaka 4 nyuma sababu hakua anazaa..................aposto ikabidi alikatae hilo maana watu walianza kuguna[emoji16][emoji16][emoji16]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Unamfuatilia sana Mwamposa japo humpendi. Unajua mtu kuwa mahututi inategemea na msimuliaji anavyosimulia na mara nyingi mtu akiwa mbele ya atu kama sio mzoefu anaweza kujichanganya sana... niliwahi kuona clip moja kaka mmoja aliambiwa ajitambulishe mbele ya ukumbi akajichanganya akasema yeye ni kaka wa Mareheme badala ya kusema kaka wa Bi harusi
 
Nenda kidimbwi ambako ndipo mungu wako alipo! Au bar yoyote na kwa mganga wako ambao ndio unaowaabudu !! Usituletee fitina kwa watumishi wa mungu ! Mchawi mkubwa wewe!! Umesimama kwa niaba ya shetani bila kujijua ndio maana unashughulishwa na mambo madogo madogo ukijua unaweza kuidhoofisha kazi ya mungu kupitia Mikono Yako michafu 'bila Shaka una dini Yako unayoiamini tatueni matatizo ya watu kuliko kukosoa watumishi wa mungu wanaojitahidi kwa kadiri ya muda walionao kuombea watu pepo mkubwa wewe ufe!!
Na kweli umepikwa na kuiva!
 
Mkuu

ujakutanna na walokole wenyewe kwanza makanisa mengi ya pentecostal huwa wanachukia sana hizi ibada sijui za maji na mafuta ya kukanyaga na huwa hawafanyi hao si walokole wapigaji tu ujaenda kwenye makanisa ya walokole mkuu hata mwamposa ashatumiwa mpaka barua Kutoka pentecostal aachane na anayoyafanya ILA hataki na huyo ni mlipa kodi anaingizia serikali pato HAWAWEZI kumzuia ILA pentecostal church wanachukizwa sana na mambo anayofanya
Kwa taarifa yako Mwamposa halipi kodi. Yeye kama kanisa/NGO hatoi hata senti tano. Kodi anayolipa ni ile iliyo kwenye bidhaa za matumizi ya kila siku ambayo mtu huanza kulipa siku ya kuzaliwa na kukoma kuilipa baada ya kufa na gharama za mazishi (sanda au/na sanduku) kulipiwa.
 
Aisee shuhuda zinazoniachaga hoi ni zile za Kuhani Musa. Too childish and obvious.
 
Nenda kidimbwi ambako ndipo mungu wako alipo! Au bar yoyote na kwa mganga wako ambao ndio unaowaabudu !! Usituletee fitina kwa watumishi wa mungu ! Mchawi mkubwa wewe!! Umesimama kwa niaba ya shetani bila kujijua ndio maana unashughulishwa na mambo madogo madogo ukijua unaweza kuidhoofisha kazi ya mungu kupitia Mikono Yako michafu 'bila Shaka una dini Yako unayoiamini tatueni matatizo ya watu kuliko kukosoa watumishi wa mungu wanaojitahidi kwa kadiri ya muda walionao kuombea watu pepo mkubwa wewe ufe!!
Hadi ww ni mjinga pia?
 
Yaani hawataki hata kuelewa mtu akijiita mtume anakua na sifa zipi sema ndo hivyo mkuu mambo ya IMANI huwezi kumtoa mtu KWA mwamposa ety umwambie mwamposa tapeli atakuona ni kichaa umechanganyikiwa kila mtu anaamini anvyoamini
Siwezi na sitokaa niamini huu upuuzi!
JamiiForums-688047144.jpg
 
Muumini wako Mmoja wa Kike aliyepanda Kutoa Ushuhuda wake kati ya Saa 5 na Robo hadi Saa 5 na dakika 20 leo Kachemsha na Kututhibitishia kuwa ni kweli hawa Watu wa Shuhuda huwa Unawapanga na Kuwaandaa.

Mwamposa huyo Dada mbele yako akiwa anashuhudia alikuambia kuwa alikuwa na Ndugu yake Mgonjwa Hoi Mahututi, hawezi hata Kuongea, hajitambui na Macho yake alikuwa ameyafunga.

Cha Kushangaza huyo Muumini wako wa leo ambaye hukumpangia vyema Script yako ya Kutudanganya Watu (kama Kawaida) yako alisema (alikuambia) kuwa wakati wakiwa njiani kumpeleka Hospital huyo Mgonjwa wao aliyekuwa Mahututi na Hoi akawaambia wqmlete Kwako Kanisani Arise and Shine Kawe Tanganyika Packers

Pole sana Mwamposa kwani nilikuona hata Wewe Director wa hii Movie na Muandaaji wa Script yako ya Uwongo na Kutudanganya tusiojitambua Ulishtuka kwa Kukosea Kwake huko na Ukakwazika ila ukatumia Akili Kubwa kwa Kuzuga na kuanza Kuimba Wimbo wako pendwa wa ....Namshukuru Mungu..... Namshukuru Bwana...ambao hata hivyo huwa unauharibu kwa Sauti yako mbaya ya Mkwaruzano.

Nilikuwa sijui kumbe Mgonjwa aliye Hoi, Mahututi, hajitambui na amefumba Macho yake anaweza Kuwaambia waliombeba kuwa wamlete Kanisani Kwako hapo Arise and Shine Kawe Tanganyika Packers?

Haya Mfukunyuku Mbobezi MINOCYCLINE nimemaliza huku nikiendelea kuwapa Pole Waumini wako.

Kazi kweli kweli hakyanani....!!!!!!
Lini ilikuwa hii scene?
 
Back
Top Bottom