Mwamposa huyu Muumini wako wa leo hukumpanga vizuri hadi Akakuaibisha kwa Uongo hadi Wewe ukashtuka?

Mwamposa huyu Muumini wako wa leo hukumpanga vizuri hadi Akakuaibisha kwa Uongo hadi Wewe ukashtuka?

Kwa taarifa yako Mwamposa halipi kodi. Yeye kama kanisa/NGO hatoi hata senti tano. Kodi anayolipa ni ile iliyo kwenye bidhaa za matumizi ya kila siku ambayo mtu huanza kulipa siku ya kuzaliwa na kukoma kuilipa baada ya kufa na gharama za mazishi (sanda au/na sanduku) kulipiwa.
Huenda ukawa sahihi hilo silifahamu sana. ILA usihusishe makanisa ya pentecostal kwamba anachofanya mwamposa wamekubaliana nalo ndo mana nikakwambia DINI hazina shida matatizo huletwa na watu. Ndugu zetu waislamu kitimoto hawataki hata kuusikia ILA nipo na marafiki kibao tunakula weekend kwahyo siwezi ky judge uislamu ni wa hovyo kisa rafiki yangu muslamu kala kitimoto hiyo generalization ndiyo naikataa mimi
 
Back
Top Bottom