Mwamposa huyu Muumini wako wa leo hukumpanga vizuri hadi Akakuaibisha kwa Uongo hadi Wewe ukashtuka?

Huenda ukawa sahihi hilo silifahamu sana. ILA usihusishe makanisa ya pentecostal kwamba anachofanya mwamposa wamekubaliana nalo ndo mana nikakwambia DINI hazina shida matatizo huletwa na watu. Ndugu zetu waislamu kitimoto hawataki hata kuusikia ILA nipo na marafiki kibao tunakula weekend kwahyo siwezi ky judge uislamu ni wa hovyo kisa rafiki yangu muslamu kala kitimoto hiyo generalization ndiyo naikataa mimi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…