Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mjoli wa Mungu ambae ananena Kwa kuongozwa na Roho anaweza kusema mambo kama hayo ?Bwana asifiwe,
Buldozer kaamua kuwachamba waumini wake wasio na passport, anawaambia kila siku wanakaa Manzese wakienda mbali KKOO. Hivi mtu aache kuwaza mlo wa mchana aje awaze passport kweli?
Watoke chini ya mezaWashamshibisha acha watukanwe,unacheza na dharau za siye wanyakyusa.Huna mboga ndani unaenda kupeleka sadaka kwa mwamposa😳 Tumieni akili
Hiyo passport anawachangia waumini wake 150,000? Na ukiwa nayo itakupeleka Mbinguni? Mbn tunaangamia Kwa kukosa maarifa sisi Wakristo? Mungu atusaidie Roho wa kusikia na kuona akae nasi.Bwana asifiwe,
Buldozer kaamua kuwachamba waumini wake wasio na passport, anawaambia kila siku wanakaa Manzese wakienda mbali KKOO. Hivi mtu aache kuwaza mlo wa mchana aje awaze passport kweli?
😂😂😂🙌Watoke chini ya meza
Ila imani ya mtu inangivu, inategemea na anachoamini
Na wenye passport sio rahisi kumfwata mtu wa hovyo kama yeye!Bwana asifiwe,
Buldozer kaamua kuwachamba waumini wake wasio na passport, anawaambia kila siku wanakaa Manzese wakienda mbali KKOO. Hivi mtu aache kuwaza mlo wa mchana aje awaze passport kweli?
🤣🤣🤣Hawezi atapataje sadaka za hao mazombi,acha wajinga waliweAngesema, kama huna passport kuanzia mwezi wa 5 usije kanisani kwangu.
Asichokijua kuna watu hajui passport ni niniBwana asifiwe,
Buldozer kaamua kuwachamba waumini wake wasio na passport, anawaambia kila siku wanakaa Manzese wakienda mbali KKOO. Hivi mtu aache kuwaza mlo wa mchana aje awaze passport kweli?
🤣🤣 Mwamposa anawatukana misukule yake,amevimbiwa maharage ya wapi huyu 🤣🤣Na wenye passport sio rahisi kumfwata mtu wa hovyo kama yeye!
Hao wanaoshinda kariakoo na manzese ndo wafuasi wake wakiamini yeye atawafikisha ulaya.
Ndio lazima wawaze mambo makubwa, huko ukinywa maji na kupaka .afuta si mambo yako yanaanza kuwa superb?Bwana asifiwe,
Buldozer kaamua kuwachamba waumini wake wasio na passport, anawaambia kila siku wanakaa Manzese wakienda mbali KKOO. Hivi mtu aache kuwaza mlo wa mchana aje awaze passport kweli?