Tetesi: Mwamposa mbioni kuinunua E-FM, TV-E

Mhhhh, sawa Mkuu.
 
Na hivi vile vitoto vya chuo, Mwamposa nliskia alivipa Mimba hivi aliviowaga vyote ?
 
Kila laheri Bulldozer......
 
sio kosa lao mkuu

tapeli anatumia shida zao kama mgongo wa kuwachuna

mkuu this guy is a cultist, he is indoctrinating people!
 
mtumish Anatumia hela zetu vibaya
 
Ni kweli lakini tutafanya nini? Pesa ndio inaamua.
ndo kazi yako inakuja hapo nifah. si unapenda journalism?

unampeleleza kisha unamwaga mafile yake

kama tb joshua na abushiri walivofanywa

abushiri kabonyezwa hadi kakimbia nchi. SA wana akili!

shida waandishi wetu wanapenda habari rahisi, mambo magumu hawataki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…