Tetesi: Mwamposa mbioni kuinunua E-FM, TV-E

Kama hii habari imetoka kwenye vyanzo vyako, nipo tayari kuiamini Kwa asilimia 99

Heri ya sikukuu ya Christmas Mjukuu, natumai wewe na Mkwe wetu nyote hamjambo 🙏🙏
Habari ni ya uhakika Babu, labda tu washindwane.

Heri ya sikukuu Babu yangu, mie na mkweo hatujambo kabisa.
 
Hadi hapa naamini Wanaume hatuzeeki

Unaweza ukawa na miaka 50 ukaja Kuoa kabinti ka miaka 21 😜

Tuendelee kula mtori ama tunywe mchuzi wote
Unaweza kabisa lakini stress yake wewe baki kuisikia tu.

Tumewahi kuwa na jirani mzee aliyeoa kabinti basi alikuwa asione kijana anamtazama mkewe roho juu!
 
Mwamposa ni investor mkubwa pale
Hata jengo kajenga
 
Unaweza kabisa lakini stress yake wewe baki kuisikia tu.

Tumewahi kuwa na jirani mzee aliyeoa kabinti basi alikuwa asione kijana anamtazama mkewe roho juu!
Hahaha...............Mimi pia Mwaka Jana nilijichanganya Kwa Kuoa kabinti nilikapita miaka 45 hivi

Kwa kweli Kwa mara ya kwanza nililazimika kumpeleka hadi Sokoni kuogopa kuibiwa 🙌
 
Habari ni ya uhakika Babu, labda tu washindwane.

Heri ya sikukuu Babu yangu, mie na mkweo hatujambo kabisa.
Nimefurahi kusikia mnaendelea vizuri, Mwakani panapo majaaliwa nitakuja kuwatembelea huko Mjini kwenu 🤗

Kuhusu story za town, hauna mpinzani
 
Hahaha...............Mimi pia Mwaka Jana nilijichanganya Kwa Kuoa kabinti nilikapita miaka 45 hivi

Kwa kweli Kwa mara ya kwanza nililazimika kumpeleka hadi Sokoni kuogopa kuibiwa 🙌
Babu una mengi jamani? Hadi kuoa kabisa?
Loh!

Siwezi kukuacha peke yako na mkweo, huchelei kumpa mbinu za kijangili.
 
Oooyeeeah ni Niffer tena...

Na chanzo chetu ni kile kile kama TBC ukweli na uhakika n swala la muda let's wait and see...
 
Sasa hivi kuna Crown kumbuka, hivyo ushindani uliongezeka.

Kuondoka kwa EFM kutaleta afueni, kwamba ni bora kupambana na wachache kuliko wengi.
Kama wanafikiri hivyo basi hii nchi kuendelea kazi sana
 
Nimefurahi kusikia mnaendelea vizuri, Mwakani panapo majaaliwa nitakuja kuwatembelea huko Mjini kwenu 🤗

Kuhusu story za town, hauna mpinzani
Asante Babu, karibu sana.
 
Inaenda kupotea mazima
 
Media za bongo mishahara changamoto
Ni kweli aisee niliwahi kukaa nawafanyakazi wa RFA,Star TV na Kiss FM kipindi za moto.Ila walikuwa na njaa kali sana ila majina makubwaaa.
 

UMEWAZA SANA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…