Mwamposa: Mimi siyo Freemasons na sijui kwanini naandamwa na kusingiziwa vingi

Mwamposa: Mimi siyo Freemasons na sijui kwanini naandamwa na kusingiziwa vingi

Hata ujumbe huu umeletwa sivyo. Nilimsikiliza.
Alitolea mfano jinsi Mungu akikuweka level flani ukawa juu basi watu watakuangalia wewe, watakusema wewe kwa lolote ufanyalo.
Alijitolea mfano yeye mwenyewe kuwa Mungu kamuweka level ya juu ndio mana gumzo jingi mtaani na yeye alisema hana muda wa kujibu hoja za mitaani mana sio level (kiwango) chake, akifanya hivyo atakuwa amejishusha sana. Cha ajabu mleta mada kaigeuza hoja kaileta hapa kama amewajibu hao wamsemao mtaani.

😂😂😂 dondosha ujumbe kamili
 
MWanangu fanya kulingana na imani yako na si kulingana na mambo ya walimwengu.
 
Wafuasi wake na zamaradi akili zao zinafanana
 
Back
Top Bottom