jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 20,419
- 39,217
Hawa manabii feki siwatofautishi Ni kalyinda au deci, wanawatumia maskini na waliokosa matumaini Kama mitaji yao
Na wewe kawatumie kama rahisi hivyo,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa manabii feki siwatofautishi Ni kalyinda au deci, wanawatumia maskini na waliokosa matumaini Kama mitaji yao
Tapeli huyo
Mwamposa tapeli TU,
1. Kwañn viwete anaoponyesha kwny mikutano yake wote wageni eneo la mkutano, hamna hata mwenyeji mmoja[emoji2]
2. Viwete wanaoponyeshwa ulemavu,
wote magongo yao Huwa Ni mapya kabisa brand new. Huwa wanapata wapi muda wa kuyaosha yatakate yawe mapya ndo waende kwny mkutano wake[emoji1787]
3. Sijawahi kuskia mwamposa akamwangusha pepo tajiri yoyote yule,
Kwake waanguka mapepo wote Ni maskini TU[emoji38]
Ohooo"Juzi nilikuwa Bungeni na tulikuwa Watumishi wengi tu ila nashangaa Picha zangu tu ndizo zinasambazwa kwa Mabaya. Nikibadilisha Viatu hapa Madhabahuni, nikijifuta Jasho na Kitambaa na Nikivaa Cheni naambiwa Mimi ni Freemasons kwanini?" Amehoji Mtume Wenu Mwamposa.
Chanzo: Tv Channel yake muda huu
Kazi ipo.....!!!!!!
=============
Akizungumza na waumini wake, leo Jumapili Februari 12, 2023, Mwamposa amesema: "Yaani mimi nianze kujibizana na watu kwenye mitandao wanavyosema Mwamposa Freemason, nami niingine kwenye mitandao kuanza kuwajibu kuwa mimi si Freemason, sina muda huo hata kidogo.
"Kila kitu nikifanya inakuwa gumzo, juzi nilikuwa Bungeni, nilifanya ibada kwa Wabunge, nilipotoka pale nashangaa picha zinazagaa kuhusu mimi licha ya kuwa watumishi tulikuwa wengi.
"Hata nikiwa hapa (Kanisani) huwa wanashangaa ninavyobadilisha viatu, nabadilisha kwa kuwa mafuta ninayotembea nayo yakimwagikia kwenye kiatu yanakiharibu, hivyo nafaa viatu ambavyo nakuwa comfortable kuzunguka nacho.
"Hata wakiona nimevaa cheni inakuwa gumzo, hata nikivaa kitambaa inakuwa gumzo."
Chanzo: Mwamposa Live
Hii ya viwete kupona mimi mwenyew inanishangaza viwete wanaofahamika huwa hawaponi ila wale ambao huwajui ndo unakuta maelfu wamepona
Michongo TU,
Ukienda pale huna pepo mabaunsa watakuangusha, ukifurukuta unapigwa vibao kwa jina la yes, Watu wanashangilia unagalagala unatolewa pepo kumbe vibao vinakuumiza[emoji1787]
Kwan kuwepo mitume na manabii ni kosa?? Tuanzie hapo!!
Kama Kuna tajiri aliwahi kuanguka pepo mtaje[emoji16]
Mwamposa tapeli TU,
1. Kwañn viwete anaoponyesha kwny mikutano yake wote wageni eneo la mkutano, hamna hata mwenyeji mmoja[emoji2]
2. Viwete wanaoponyeshwa ulemavu,
wote magongo yao Huwa Ni mapya kabisa brand new. Huwa wanapata wapi muda wa kuyaosha yatakate yawe mapya ndo waende kwny mkutano wake[emoji1787]
3. Sijawahi kuskia mwamposa akamwangusha pepo tajiri yoyote yule,
Kwake waanguka mapepo wote Ni maskini TU[emoji38]
Ukianza kudharau imani za wenzio ndipo kutagundua na wao wanakudharau ww na imani yako.Hawa manabii feki siwatofautishi Ni kalyinda au deci, wanawatumia maskini na waliokosa matumaini Kama mitaji yao
Kwani Freemasons Wana baya Gani? Hawajui Freemasons."Juzi nilikuwa Bungeni na tulikuwa Watumishi wengi tu ila nashangaa Picha zangu tu ndizo zinasambazwa kwa Mabaya. Nikibadilisha Viatu hapa Madhabahuni, nikijifuta Jasho na Kitambaa na Nikivaa Cheni naambiwa Mimi ni Freemasons kwanini?" Amehoji Mtume Wenu Mwamposa.
Chanzo: Tv Channel yake muda huu
Kazi ipo.....!!!!!!
=============
Akizungumza na waumini wake, leo Jumapili Februari 12, 2023, Mwamposa amesema: "Yaani mimi nianze kujibizana na watu kwenye mitandao wanavyosema Mwamposa Freemason, nami niingine kwenye mitandao kuanza kuwajibu kuwa mimi si Freemason, sina muda huo hata kidogo.
"Kila kitu nikifanya inakuwa gumzo, juzi nilikuwa Bungeni, nilifanya ibada kwa Wabunge, nilipotoka pale nashangaa picha zinazagaa kuhusu mimi licha ya kuwa watumishi tulikuwa wengi.
"Hata nikiwa hapa (Kanisani) huwa wanashangaa ninavyobadilisha viatu, nabadilisha kwa kuwa mafuta ninayotembea nayo yakimwagikia kwenye kiatu yanakiharibu, hivyo nafaa viatu ambavyo nakuwa comfortable kuzunguka nacho.
"Hata wakiona nimevaa cheni inakuwa gumzo, hata nikivaa kitambaa inakuwa gumzo."
Chanzo: Mwamposa Live
ataenda jehnamKakutapeli nini??kama tapeli mpelekeni mahakamani.
Hata ujumbe huu umeletwa sivyo. Nilimsikiliza.Hakuna kitu kina nguvu ya kujibu hoja kama kukaa kimya. Angekaa kimya tu!!
Mbona hamuwaondoi sasa?
CCM nao ni wachuuzi na manabii wa uongo na bado mnacheka nao, wanawaibia kuliko hata huyo buldoza
Kwamba wao ndo solution kwa watu wenye matatizo?? Punguza ujuha.Point zako zakitoto sana,hujawahi kubwa na matatizo utawatafuta hao akina mwamposa.