Mwamposa: Mimi siyo Freemasons na sijui kwanini naandamwa na kusingiziwa vingi

Mwamposa: Mimi siyo Freemasons na sijui kwanini naandamwa na kusingiziwa vingi

Humu Wanaomlaumu mwamposa unakuta na wao ni chenga tuu , wazinzi , mafisadi , watoaji wa makafara, wezi , wadanganyifu nk ... Kiufupi hakuna wa kumcheka mwenzake ..mwamposa kawazid ujanja ndo mana wanamwandama Sana
Na wasi wasi huenda hata maana ya ujanja hujui.
 
Those who have ears let them hears.
20230213_125746.jpg
 
Mwamposa tapeli TU,
1. Kwañn viwete anaoponyesha kwny mikutano yake wote wageni eneo la mkutano, hamna hata mwenyeji mmoja[emoji2]
2. Viwete wanaoponyeshwa ulemavu,
wote magongo yao Huwa Ni mapya kabisa brand new. Huwa wanapata wapi muda wa kuyaosha yatakate yawe mapya ndo waende kwny mkutano wake[emoji1787]

3. Sijawahi kuskia mwamposa akamwangusha pepo tajiri yoyote yule,
Kwake waanguka mapepo wote Ni maskini TU[emoji38]
Jamaa anawapiga pumbazo waumini kisha anawaseti 🤣🤣🤣 kila mtu akitoka anamuona jamaa ana superpowers.
 
Ha ha ha...mi mwnyw Huwa nawaza TU,
Siku maisha yakinipiga naenda Nigeria nachukua uchawi, naanzisha kanisa[emoji4]
Katibu nipo hapa usiniache 🤣🤣🤣 inahitajika dawa ya kupumbaza umati tu.😀😀😀
 
Hii ya viwete kupona mimi mwenyew inanishangaza viwete wanaofahamika huwa hawaponi ila wale ambao huwajui ndo unakuta maelfu wamepona
Sasa sio viwete tu magumashi, hata hayo mengine ni magumashi hivo hivo, sema tu kuna wengine wankua wepes kugundua kama ww, ila wengine ni wagumu sana vichwa vigumu hata uwadhihirishie laiv bado watamuamini tu. Na si ajabu. Na wala sio mageni.
 
Mimi kuna siku nilienda nilipofika nikaambiwa niandike majina yangu, historia yangu na sababu iliyonipeleka, basi nikaamua kuandika majina halafu sababu iliyonipeleka nikaongopa kuna mahali nadai pesa nyingi ila silipwi ndio maana nimekuja niombewe. Ilipofika muda wa maombi nikashangaa kuhania anauliza Skayla ndio yupi, nikasimama, akaniambia unadai pesa mahahali na ninaona kabisa wanataka kukudhulumu kwa sababu kuna roho za wachawi zimeshikilia uchumi wako, nikabaki natoa macho, akasema inabifi unione kabla hujatoka hapa nitakupa mafuta . Na ninaona roho wa Mungu akiniambia wiki hii haitaisha hujapokea pesa yako, na ukipokra unapaswa kuikumbuka mafhabahu hii kwa sadaka

Ibada iliposiha sikukanyaga tena kwenye hilo kanisa maana nilidanganya kwamba nimeenda pale ili niombewe niwlipwe deni, kumbe kuhani huwa anadanganya watu kwamba ana maono wakati anasoma taarifa za watu walizoandika, nilijikuta nashangaa maana sikua namdai mtu sasa hapo aliponiambia kwamba anaona wachawi wameshika uchumi wangu ndio nilibaki hooi
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Kuhani wa. Mchongo
 
Jumapili iliyopita nilikuwa naangalia ibada ya kanisa la WRM lipo kivule matembele ya pili. Hili kanisa lilikuwa limefungwa takribani miezi miwili na serikali. Sasa wiki iliyopita ndo likawa limefunguliwa. Yule mchingaji wake akawa anaelezea chanzo cha kufungiwa hilo kanisa. Aisee kumbe ni fitna kutoka kwa makanisa menzake hayo hayo. Siyo siri nilijisikia vibaya nikaona haya makanisa yote ni utapeli na biashara tu. Watu wa Mungu naowaamini ukiacha dhehebu langu la RC ni mwakasege na mchungaji FJ Katunzi(huyu mchungaji ntamheshimu mpaka kesho kwa sababu aliniponya pumu mwaka 2004)
Naona unatangaza kabiashara kintindo kintindo kintindo!!!!! Hahahaha
 
Kikubwa analipa kodi🤝🤝🤝🤝
Ni wivu tuu sababu anamake money , Mimi kwenye hzi dini ni mzoefu Sana , asikwambie mtu wachungaji wa madhehebu yote Wana njaa Kali Sana na wana uchu wa pesa Acha kabisa , ni kweli mwamba ana mauza uza kibao Ila hata hao wanaomponda hawana unafuu wwte ni wasanii tuu kama yeye sema Ile popularity ya jamaa na kumake mkwanja ndo inawaumiza kichwa wameamua kumsagia kunguni ..... Ndo mana wale wahuni walipotaka kumpiga mawe mariamu kisa wamemfumania Yesu aliwaambia asiye na dhambi awe wa Kwanza kumpiga jiwe , watu ni wepesi wa kuhukumu ya wengine Ila Yao yakifunuliwa mbna tunakimbiana , Yesu aliandika dhambi za kila mmoja wao pale chini , ndani ya nusu saa wakachora wote

Tunapomhukumu mwamposa inabd na sie tujitafakari njia zetu....!! Na ni ukweli mtupu madhehebu ni biashara za watu
 
Mimi kuna siku nilienda nilipofika nikaambiwa niandike majina yangu, historia yangu na sababu iliyonipeleka, basi nikaamua kuandika majina halafu sababu iliyonipeleka nikaongopa kuna mahali nadai pesa nyingi ila silipwi ndio maana nimekuja niombewe. Ilipofika muda wa maombi nikashangaa kuhania anauliza Skayla ndio yupi, nikasimama, akaniambia unadai pesa mahahali na ninaona kabisa wanataka kukudhulumu kwa sababu kuna roho za wachawi zimeshikilia uchumi wako, nikabaki natoa macho, akasema inabifi unione kabla hujatoka hapa nitakupa mafuta . Na ninaona roho wa Mungu akiniambia wiki hii haitaisha hujapokea pesa yako, na ukipokra unapaswa kuikumbuka mafhabahu hii kwa sadaka

Ibada iliposiha sikukanyaga tena kwenye hilo kanisa maana nilidanganya kwamba nimeenda pale ili niombewe niwlipwe deni, kumbe kuhani huwa anadanganya watu kwamba ana maono wakati anasoma taarifa za watu walizoandika, nilijikuta nashangaa maana sikua namdai mtu sasa hapo aliponiambia kwamba anaona wachawi wameshika uchumi wangu ndio nilibaki hooi
Mwamposa yeye anafanya biashara ya mafuta , nguvu anayoutumia Siri anaijua mwenyewe , Ila anachoamini shida yyte uliyo nayo itatatuliwa na mafuta, yeye hatambui shida za watu ingekuwa hvyo asingekwambia uandike means anakubali Hana uwezo wa kujua shida za watu , Ila yeye anachojua ni kuwa mafuta yake yatakuponya na kukusaidia shida zako ... Nguvu ya hayo mafuta kwamba ni ya Shetani au ya Mungu yeye ndo anajua...
 
"Juzi nilikuwa Bungeni na tulikuwa Watumishi wengi tu ila nashangaa Picha zangu tu ndizo zinasambazwa kwa Mabaya. Nikibadilisha Viatu hapa Madhabahuni, nikijifuta Jasho na Kitambaa na Nikivaa Cheni naambiwa Mimi ni Freemasons kwanini?" Amehoji Mtume Wenu Mwamposa.

Chanzo: Tv Channel yake muda huu

Kazi ipo.....!!!!!!

=============

Akizungumza na waumini wake, leo Jumapili Februari 12, 2023, Mwamposa amesema: "Yaani mimi nianze kujibizana na watu kwenye mitandao wanavyosema Mwamposa Freemason, nami niingine kwenye mitandao kuanza kuwajibu kuwa mimi si Freemason, sina muda huo hata kidogo.

"Kila kitu nikifanya inakuwa gumzo, juzi nilikuwa Bungeni, nilifanya ibada kwa Wabunge, nilipotoka pale nashangaa picha zinazagaa kuhusu mimi licha ya kuwa watumishi tulikuwa wengi.

"Hata nikiwa hapa (Kanisani) huwa wanashangaa ninavyobadilisha viatu, nabadilisha kwa kuwa mafuta ninayotembea nayo yakimwagikia kwenye kiatu yanakiharibu, hivyo nafaa viatu ambavyo nakuwa comfortable kuzunguka nacho.

"Hata wakiona nimevaa cheni inakuwa gumzo, hata nikivaa kitambaa inakuwa gumzo."

Chanzo: Mwamposa Live
Huyu tapeli Mwamposa anaona watu mambwiga kweli. Anaibia watu mchana kweupe na hawamshtukii.
 
Back
Top Bottom