Mwamposa na escort ya police

Mwamposa na escort ya police

The ice breaker

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2023
Posts
880
Reaction score
1,985
Nilikutana na msafara wa Nabii Mwamposa ukitoka kanisani kwake pale kawe..

Msafara ulikuwa na Escort ya police tena wenye bunduki .

Sasa nikajuliza police na bunduki za Nini, juu ya Nabiii mwamposa, wakati yeye ni mtumishi wa mungu, kama swala la ulinzi, Kwani yeye si analindwa na Damu ya yesu,

Kama ana amini yeye analindwa na Damu ya yesu, kwanini awe na escort ya police? Maana Yesu tu anatosha kumlinda

Au ulinzi wa police ni uhakika kuliko wa bwana Yesu anae mwamini

Kuna time Huwa anakuwa na ma bodyguard kabisa, kwani bwana Yesu atoshi ?

Naona kama Kuna janja Janja Kwa Hawa manabii
 
Nilikutana na msafara wa Nabii Mwamposa ukitoka kanisani kwake pale kawe..

Msafara ulikuwa na Escort ya police tena wenye bunduki .

Sasa nikajuliza police na bunduki za Nini, juu ya Nabiii mwamposa, wakati yeye ni mtumishi wa mungu, kama swala la ulinzi, Kwani yeye si analindwa na Damu ya yesu,

Kama ana amini yeye analindwa na Damu ya yesu, kwanini awe na escort ya police? Maana Yesu tu anatosha kumlinda

Au ulinzi wa police ni uhakika kuliko wa bwana Yesu anae mwamini

Kuna time Huwa anakuwa na ma bodyguard kabisa, kwani bwana Yesu atoshi ?

Naona kama Kuna janja Janja Kwa Hawa manabii
Kwa ufupi ulimuonea wivu
 
Nilikutana na msafara wa Nabii Mwamposa ukitoka kanisani kwake pale kawe..

Msafara ulikuwa na Escort ya police tena wenye bunduki .

Sasa nikajuliza police na bunduki za Nini, juu ya Nabiii mwamposa, wakati yeye ni mtumishi wa mungu, kama swala la ulinzi, Kwani yeye si analindwa na Damu ya yesu,

Kama ana amini yeye analindwa na Damu ya yesu, kwanini awe na escort ya police? Maana Yesu tu anatosha kumlinda

Au ulinzi wa police ni uhakika kuliko wa bwana Yesu anae mwamini

Kuna time Huwa anakuwa na ma bodyguard kabisa, kwani bwana Yesu atoshi ?

Naona kama Kuna janja Janja Kwa Hawa manabii
acha wapigwetu siwametaka wenyewe
 
Nilikutana na msafara wa Nabii Mwamposa ukitoka kanisani kwake pale kawe..

Msafara ulikuwa na Escort ya police tena wenye bunduki .

Sasa nikajuliza police na bunduki za Nini, juu ya Nabiii mwamposa, wakati yeye ni mtumishi wa mungu, kama swala la ulinzi, Kwani yeye si analindwa na Damu ya yesu,

Kama ana amini yeye analindwa na Damu ya yesu, kwanini awe na escort ya police? Maana Yesu tu anatosha kumlinda

Au ulinzi wa police ni uhakika kuliko wa bwana Yesu anae mwamini

Kuna time Huwa anakuwa na ma bodyguard kabisa, kwani bwana Yesu atoshi ?

Naona kama Kuna janja Janja Kwa Hawa manabii
Mbona mwamposa mbali?...
Papa ana walinzi kibao na usafiri wake ni bullet proof ...


Ndo haya mambo ya mtumishi akitaka gari mnamchangia ila nyie mkitaka mnaombewa
 
Nilikutana na msafara wa Nabii Mwamposa ukitoka kanisani kwake pale kawe..

Msafara ulikuwa na Escort ya police tena wenye bunduki .

Sasa nikajuliza police na bunduki za Nini, juu ya Nabiii mwamposa, wakati yeye ni mtumishi wa mungu, kama swala la ulinzi, Kwani yeye si analindwa na Damu ya yesu,

Kama ana amini yeye analindwa na Damu ya yesu, kwanini awe na escort ya police? Maana Yesu tu anatosha kumlinda

Au ulinzi wa police ni uhakika kuliko wa bwana Yesu anae mwamini

Kuna time Huwa anakuwa na ma bodyguard kabisa, kwani bwana Yesu atoshi ?

Naona kama Kuna janja Janja Kwa Hawa manabii
Anainajisi dini.Matendo yao ni tofauti kabisa
 
Nilikutana na msafara wa Nabii Mwamposa ukitoka kanisani kwake pale kawe..

Msafara ulikuwa na Escort ya police tena wenye bunduki .

Sasa nikajuliza police na bunduki za Nini, juu ya Nabiii mwamposa, wakati yeye ni mtumishi wa mungu, kama swala la ulinzi, Kwani yeye si analindwa na Damu ya yesu,

Kama ana amini yeye analindwa na Damu ya yesu, kwanini awe na escort ya police? Maana Yesu tu anatosha kumlinda

Au ulinzi wa police ni uhakika kuliko wa bwana Yesu anae mwamini

Kuna time Huwa anakuwa na ma bodyguard kabisa, kwani bwana Yesu atoshi ?

Naona kama Kuna janja Janja Kwa Hawa manabii
Wanalinda zile fwedha kwenye maroba na sandarusi
 
Nilikutana na msafara wa Nabii Mwamposa ukitoka kanisani kwake pale kawe..

Msafara ulikuwa na Escort ya police tena wenye bunduki .

Sasa nikajuliza police na bunduki za Nini, juu ya Nabiii mwamposa, wakati yeye ni mtumishi wa mungu, kama swala la ulinzi, Kwani yeye si analindwa na Damu ya yesu,

Kama ana amini yeye analindwa na Damu ya yesu, kwanini awe na escort ya police? Maana Yesu tu anatosha kumlinda

Au ulinzi wa police ni uhakika kuliko wa bwana Yesu anae mwamini

Kuna time Huwa anakuwa na ma bodyguard kabisa, kwani bwana Yesu atoshi ?

Naona kama Kuna janja Janja Kwa Hawa manabii
Rafiki yake ni majizo usiulize sana..
Watu wemansana hao
 
Back
Top Bottom