Mwamposa na escort ya police

Mwamposa na escort ya police

Huyo Mwamposa anaweza kuwa ni mtumishi fake au sahihi

Ila maswali kuhusu ulinzi ni ujinga Sana kuuliza swali Kama hilo


Mambo ya kiroho na kimwili ni tofauti

Hiyo ni sawa na useme unamuomba Mungu riziki Ila hautoki kwenda kutafuta hiyo riziki

Swala la ulinzi ni hoja dhaifu sana
 
Nilikutana na msafara wa Nabii Mwamposa ukitoka kanisani kwake pale kawe..

Msafara ulikuwa na Escort ya police tena wenye bunduki .

Sasa nikajuliza police na bunduki za Nini, juu ya Nabiii mwamposa, wakati yeye ni mtumishi wa mungu, kama swala la ulinzi, Kwani yeye si analindwa na Damu ya yesu,

Kama ana amini yeye analindwa na Damu ya yesu, kwanini awe na escort ya police? Maana Yesu tu anatosha kumlinda

Au ulinzi wa police ni uhakika kuliko wa bwana Yesu anae mwamini

Kuna time Huwa anakuwa na ma bodyguard kabisa, kwani bwana Yesu atoshi ?

Naona kama Kuna janja Janja Kwa Hawa manabii
Mkuu kwanza kabisa kwasasa huyu mtu anaushawishi kushinda hata serikali, sio mtu mdogo kwahiyo ni sawa kuwa na escort ili kurahisisha baadhi ya mambo. Ukiachana na ulinzi huduma anayotoa kwa idadi ile ya watu kunahitajika unyumhulifu wa hali ya juu.

Pili kuwa mtu wa MUNGU hakumaanishi basi ndio usifanye chochote ningekuwa hivyo basi kusingekuwa na maana/haja ya viumbe kuletwa huku duniani.

Ukamilifu wa kiumbe hasa kiumbe hai/binadamu uko kwenye matendo. Kupitia matendo huko ndio utadhihilika/utaonekana utukufu wa MUNGU hapa ulimwenguni kutoka mbinguni,

Na kupitia hayo matendo lolote linaweza kutokea kwasababu kila mtu anautashi(Akili na hiyari) wa kufanya kile anachojisikia)... hivyo binadamu anauhuru wa kutumia utashi aliopewa na kwa vyovyote atakavyoutumia awe tayari na matokeo ya kile alichoamua kukifanya.
 
Nilikutana na msafara wa Nabii Mwamposa ukitoka kanisani kwake pale kawe..

Msafara ulikuwa na Escort ya police tena wenye bunduki .

Sasa nikajuliza police na bunduki za Nini, juu ya Nabiii mwamposa, wakati yeye ni mtumishi wa mungu, kama swala la ulinzi, Kwani yeye si analindwa na Damu ya yesu,

Kama ana amini yeye analindwa na Damu ya yesu, kwanini awe na escort ya police? Maana Yesu tu anatosha kumlinda

Au ulinzi wa police ni uhakika kuliko wa bwana Yesu anae mwamini

Kuna time Huwa anakuwa na ma bodyguard kabisa, kwani bwana Yesu atoshi ?

Naona kama Kuna janja Janja Kwa Hawa manabii
Haiko Hivyo mkuu,watu wabaya ni watu pia.
 
Nilikutana na msafara wa Nabii Mwamposa ukitoka kanisani kwake pale kawe..

Msafara ulikuwa na Escort ya police tena wenye bunduki .

Sasa nikajuliza police na bunduki za Nini, juu ya Nabiii mwamposa, wakati yeye ni mtumishi wa mungu, kama swala la ulinzi, Kwani yeye si analindwa na Damu ya yesu,

Kama ana amini yeye analindwa na Damu ya yesu, kwanini awe na escort ya police? Maana Yesu tu anatosha kumlinda

Au ulinzi wa police ni uhakika kuliko wa bwana Yesu anae mwamini

Kuna time Huwa anakuwa na ma bodyguard kabisa, kwani bwana Yesu atoshi ?

Naona kama Kuna janja Janja Kwa Hawa manabii
Mkyu
Jambo moja dhahiri ni kwamba WAJINGA NDIYO WALIWAO

Bado kidogo tu na Yesu ataitakasa madhabahu yake
 
Nilikutana na msafara wa Nabii Mwamposa ukitoka kanisani kwake pale kawe..

Msafara ulikuwa na Escort ya police tena wenye bunduki .

Sasa nikajuliza police na bunduki za Nini, juu ya Nabiii mwamposa, wakati yeye ni mtumishi wa mungu, kama swala la ulinzi, Kwani yeye si analindwa na Damu ya yesu,

Kama ana amini yeye analindwa na Damu ya yesu, kwanini awe na escort ya police? Maana Yesu tu anatosha kumlinda

Au ulinzi wa police ni uhakika kuliko wa bwana Yesu anae mwamini

Kuna time Huwa anakuwa na ma bodyguard kabisa, kwani bwana Yesu atoshi ?

Naona kama Kuna janja Janja Kwa Hawa manabii
MWAMPOSA ANATUMIWA NA CCM HASA WAISIHARAMU WA CCM KUWAPUMBAZA WAKRISTO ILI WAPOTEZE MUDA MAKANISANI NA KUTOA MWANYA KWA MAFISADI YA CCM NA KIISLAMU WALIOPO CCM KUFISIDI NCHI
 
Nilikutana na msafara wa Nabii Mwamposa ukitoka kanisani kwake pale kawe..

Msafara ulikuwa na Escort ya police tena wenye bunduki .

Sasa nikajuliza police na bunduki za Nini, juu ya Nabiii mwamposa, wakati yeye ni mtumishi wa mungu, kama swala la ulinzi, Kwani yeye si analindwa na Damu ya yesu,

Kama ana amini yeye analindwa na Damu ya yesu, kwanini awe na escort ya police? Maana Yesu tu anatosha kumlinda

Au ulinzi wa police ni uhakika kuliko wa bwana Yesu anae mwamini

Kuna time Huwa anakuwa na ma bodyguard kabisa, kwani bwana Yesu atoshi ?

Naona kama Kuna janja Janja Kwa Hawa manabii
Ulinzi wa makusanyo ya pesa na wanalipwa sio chini ya M5 hadi 10 per escort au per diem ya laki3 kwa Kila Askari
 
Back
Top Bottom