Mwamposa na escort ya police

Mwamposa na escort ya police

Kila nikikumbuka ya TB Joshua basi naishiwa na iman kabisa kwa unabii hapa bongo
 
Nilikutana na msafara wa Nabii Mwamposa ukitoka kanisani kwake pale kawe..

Msafara ulikuwa na Escort ya police tena wenye bunduki .

Sasa nikajuliza police na bunduki za Nini, juu ya Nabiii mwamposa, wakati yeye ni mtumishi wa mungu, kama swala la ulinzi, Kwani yeye si analindwa na Damu ya yesu,

Kama ana amini yeye analindwa na Damu ya yesu, kwanini awe na escort ya police? Maana Yesu tu anatosha kumlinda

Au ulinzi wa police ni uhakika kuliko wa bwana Yesu anae mwamini

Kuna time Huwa anakuwa na ma bodyguard kabisa, kwani bwana Yesu atoshi ?

Naona kama Kuna janja Janja Kwa Hawa manabii
Nenda kaone ulinzi wa papa! Hata wa rais wa marekani hauoni ndani.
 
Back
Top Bottom