Mwamposa na escort ya police

Mwamposa na escort ya police

Nilikutana na msafara wa Nabii Mwamposa ukitoka kanisani kwake pale kawe..

Msafara ulikuwa na Escort ya police tena wenye bunduki .

Sasa nikajuliza police na bunduki za Nini, juu ya Nabiii mwamposa, wakati yeye ni mtumishi wa mungu, kama swala la ulinzi, Kwani yeye si analindwa na Damu ya yesu,

Kama ana amini yeye analindwa na Damu ya yesu, kwanini awe na escort ya police? Maana Yesu tu anatosha kumlinda

Au ulinzi wa police ni uhakika kuliko wa bwana Yesu anae mwamini

Kuna time Huwa anakuwa na ma bodyguard kabisa, kwani bwana Yesu atoshi ?

Naona kama Kuna janja Janja Kwa Hawa manabii
Pengine hukuona vizuri hiyo ni kampuni ya ulinzi kwa sababu mikutano ya dini haimo kwenye bajeti ya serikali.Lakini madhehebu yoyote yanaweza kampuni za ulinzi
 
Nilikutana na msafara wa Nabii Mwamposa ukitoka kanisani kwake pale kawe..

Msafara ulikuwa na Escort ya police tena wenye bunduki .

Sasa nikajuliza police na bunduki za Nini, juu ya Nabiii mwamposa, wakati yeye ni mtumishi wa mungu, kama swala la ulinzi, Kwani yeye si analindwa na Damu ya yesu,

Kama ana amini yeye analindwa na Damu ya yesu, kwanini awe na escort ya police? Maana Yesu tu anatosha kumlinda

Au ulinzi wa police ni uhakika kuliko wa bwana Yesu anae mwamini

Kuna time Huwa anakuwa na ma bodyguard kabisa, kwani bwana Yesu atoshi ?

Naona kama Kuna janja Janja Kwa Hawa manabii
Polisi walikua wanalinda sadaka yake iwe safe
 
Nilikutana na msafara wa Nabii Mwamposa ukitoka kanisani kwake pale kawe..

Msafara ulikuwa na Escort ya police tena wenye bunduki .

Sasa nikajuliza police na bunduki za Nini, juu ya Nabiii mwamposa, wakati yeye ni mtumishi wa mungu, kama swala la ulinzi, Kwani yeye si analindwa na Damu ya yesu,

Kama ana amini yeye analindwa na Damu ya yesu, kwanini awe na escort ya police? Maana Yesu tu anatosha kumlinda

Au ulinzi wa police ni uhakika kuliko wa bwana Yesu anae mwamini

Kuna time Huwa anakuwa na ma bodyguard kabisa, kwani bwana Yesu atoshi ?

Naona kama Kuna janja Janja Kwa Hawa manabii
Wanajitetea kwamba hata Yesu alikuwa na mabodguard ambao ni wanafunzi sijui .oky Mungu hajaribiwi ,ulinzi maeneo kama yale ni muhimu .huwezi acha mlango wazi ukitegemea miujiza kutoibiwa .

Mungu anaenda kwa kanuni za msingi
 
Nilikutana na msafara wa Nabii Mwamposa ukitoka kanisani kwake pale kawe..

Msafara ulikuwa na Escort ya police tena wenye bunduki .

Sasa nikajuliza police na bunduki za Nini, juu ya Nabiii mwamposa, wakati yeye ni mtumishi wa mungu, kama swala la ulinzi, Kwani yeye si analindwa na Damu ya yesu,

Kama ana amini yeye analindwa na Damu ya yesu, kwanini awe na escort ya police? Maana Yesu tu anatosha kumlinda

Au ulinzi wa police ni uhakika kuliko wa bwana Yesu anae mwamini

Kuna time Huwa anakuwa na ma bodyguard kabisa, kwani bwana Yesu atoshi ?

Naona kama Kuna janja Janja Kwa Hawa manabii
Usimjaribu bwana Mungu wako imeandikwa na pia ulinzi wa escort hata na vifaru ukihitaji hata wewe unapewa chief ni swala la kuzingatia maokoto.
 
Huyo Mwamposa anaweza kuwa ni mtumishi fake au sahihi

Ila maswali kuhusu ulinzi ni ujinga Sana kuuliza swali Kama hilo


Mambo ya kiroho na kimwili ni tofauti

Hiyo ni sawa na useme unamuomba Mungu riziki Ila hautoki kwenda kutafuta hiyo riziki

Swala la ulinzi ni hoja dhaifu sana
 
Nilikutana na msafara wa Nabii Mwamposa ukitoka kanisani kwake pale kawe..

Msafara ulikuwa na Escort ya police tena wenye bunduki .

Sasa nikajuliza police na bunduki za Nini, juu ya Nabiii mwamposa, wakati yeye ni mtumishi wa mungu, kama swala la ulinzi, Kwani yeye si analindwa na Damu ya yesu,

Kama ana amini yeye analindwa na Damu ya yesu, kwanini awe na escort ya police? Maana Yesu tu anatosha kumlinda

Au ulinzi wa police ni uhakika kuliko wa bwana Yesu anae mwamini

Kuna time Huwa anakuwa na ma bodyguard kabisa, kwani bwana Yesu atoshi ?

Naona kama Kuna janja Janja Kwa Hawa manabii


Huyo achana naye, anapiga hela tu huyo
 
Nilikutana na msafara wa Nabii Mwamposa ukitoka kanisani kwake pale kawe..

Msafara ulikuwa na Escort ya police tena wenye bunduki .

Sasa nikajuliza police na bunduki za Nini, juu ya Nabiii mwamposa, wakati yeye ni mtumishi wa mungu, kama swala la ulinzi, Kwani yeye si analindwa na Damu ya yesu,

Kama ana amini yeye analindwa na Damu ya yesu, kwanini awe na escort ya police? Maana Yesu tu anatosha kumlinda

Au ulinzi wa police ni uhakika kuliko wa bwana Yesu anae mwamini

Kuna time Huwa anakuwa na ma bodyguard kabisa, kwani bwana Yesu atoshi ?

Naona kama Kuna janja Janja Kwa Hawa manabii
Acha wamlinde,hao misukule wake akili zinaweza zikawarudi wakamuua!!
 
Nilikutana na msafara wa Nabii Mwamposa ukitoka kanisani kwake pale kawe..

Msafara ulikuwa na Escort ya police tena wenye bunduki .

Sasa nikajuliza police na bunduki za Nini, juu ya Nabiii mwamposa, wakati yeye ni mtumishi wa mungu, kama swala la ulinzi, Kwani yeye si analindwa na Damu ya yesu,

Kama ana amini yeye analindwa na Damu ya yesu, kwanini awe na escort ya police? Maana Yesu tu anatosha kumlinda

Au ulinzi wa police ni uhakika kuliko wa bwana Yesu anae mwamini

Kuna time Huwa anakuwa na ma bodyguard kabisa, kwani bwana Yesu atoshi ?

Naona kama Kuna janja Janja Kwa Hawa manabii
Vipi maokoto kutoka kwa kondoo?
 
Nilikutana na msafara wa Nabii Mwamposa ukitoka kanisani kwake pale kawe..

Msafara ulikuwa na Escort ya police tena wenye bunduki .

Sasa nikajuliza police na bunduki za Nini, juu ya Nabiii mwamposa, wakati yeye ni mtumishi wa mungu, kama swala la ulinzi, Kwani yeye si analindwa na Damu ya yesu,

Kama ana amini yeye analindwa na Damu ya yesu, kwanini awe na escort ya police? Maana Yesu tu anatosha kumlinda

Au ulinzi wa police ni uhakika kuliko wa bwana Yesu anae mwamini

Kuna time Huwa anakuwa na ma bodyguard kabisa, kwani bwana Yesu atoshi ?

Naona kama Kuna janja Janja Kwa Hawa manabii
Ulinzi muhimu ndugu yangu.
 
Nilikutana na msafara wa Nabii Mwamposa ukitoka kanisani kwake pale kawe..

Msafara ulikuwa na Escort ya police tena wenye bunduki .

Sasa nikajuliza police na bunduki za Nini, juu ya Nabiii mwamposa, wakati yeye ni mtumishi wa mungu, kama swala la ulinzi, Kwani yeye si analindwa na Damu ya yesu,

Kama ana amini yeye analindwa na Damu ya yesu, kwanini awe na escort ya police? Maana Yesu tu anatosha kumlinda

Au ulinzi wa police ni uhakika kuliko wa bwana Yesu anae mwamini

Kuna time Huwa anakuwa na ma bodyguard kabisa, kwani bwana Yesu atoshi ?

Naona kama Kuna janja Janja Kwa Hawa manabii
Atajitetea usimjaribu bwana Mungu wako 😄😄😄
 
Kuwatawala binadamu mmoja mmoja ni kazi ngumu ila ukiwagawanya katika makundi basi kazi inakuwa rahisi, unamtumia kiongozi WA kundi wengine wanafuata!
Dini zipo kwa ajili hiyo ndio maana huwezi kusikia viongozi WA dini wakiguswa hata kama wameharibu kama "kiboko ya wachawi'
 
Anatii Sheria za nchi. Ni kosa kinyume cha Sheria kutembea na hela nyingi bila escort.

Ukija kimaandiko anatimiza andiko lisemalo " Usimjaribu Bwana Mungu wako"

Kutembea na bilioni moja bila escort ni kumjaribu Bwana Mungu wako
 
Wewe unae jitambua, unataka kusema Nini?
Mimi nianaye jitambua nafahamu Mungu alimuumba binadamu na akili . Vitu vingi vinahitaji kutumia akili uliyopewa na Mungu mfano kujilinda. MaombI yatakusaidia pale ambapo utahitaji ulinzi ulio zidi viwango vya kibinadamu. Mtu yeyote mwenye akili anaelewa hivi
 
Nilikutana na msafara wa Nabii Mwamposa ukitoka kanisani kwake pale kawe..

Msafara ulikuwa na Escort ya police tena wenye bunduki .

Sasa nikajuliza police na bunduki za Nini, juu ya Nabiii mwamposa, wakati yeye ni mtumishi wa mungu, kama swala la ulinzi, Kwani yeye si analindwa na Damu ya yesu,

Kama ana amini yeye analindwa na Damu ya yesu, kwanini awe na escort ya police? Maana Yesu tu anatosha kumlinda

Au ulinzi wa police ni uhakika kuliko wa bwana Yesu anae mwamini

Kuna time Huwa anakuwa na ma bodyguard kabisa, kwani bwana Yesu atoshi ?

Naona kama Kuna janja Janja Kwa Hawa manabii
wewe unafikiri kwamba MAHELA anayokusanya mwamposa akitoka kanisani ni buku mbili????? pale wajinga ndio waliwao!!!,,,jamaa anakusanya MAHELA kibao!!!!!jumapili moja anaweza akavuna mpaka milioni 100 mazee!!!!!
 
Nilikutana na msafara wa Nabii Mwamposa ukitoka kanisani kwake pale kawe..

Msafara ulikuwa na Escort ya police tena wenye bunduki .

Sasa nikajuliza police na bunduki za Nini, juu ya Nabiii mwamposa, wakati yeye ni mtumishi wa mungu, kama swala la ulinzi, Kwani yeye si analindwa na Damu ya yesu,

Kama ana amini yeye analindwa na Damu ya yesu, kwanini awe na escort ya police? Maana Yesu tu anatosha kumlinda

Au ulinzi wa police ni uhakika kuliko wa bwana Yesu anae mwamini

Kuna time Huwa anakuwa na ma bodyguard kabisa, kwani bwana Yesu atoshi ?

Naona kama Kuna janja Janja Kwa Hawa manabii
Ujinga mtupu, hata hao manabii wengine mfano Mussa walipigana vita
 
Back
Top Bottom