The ice breaker
JF-Expert Member
- Apr 20, 2023
- 880
- 1,985
You are a fool if you believe kuwa ni nabiiNilikutana na msafara wa Nabii Mwamposa ukitoka kanisani kwake pale kawe..
Lazima apate escort anapoenda kuzisafishaKaishaokota pesa za mazombie, anatamba mjini.
Kwa ufupi ulimuonea wivuNilikutana na msafara wa Nabii Mwamposa ukitoka kanisani kwake pale kawe..
Msafara ulikuwa na Escort ya police tena wenye bunduki .
Sasa nikajuliza police na bunduki za Nini, juu ya Nabiii mwamposa, wakati yeye ni mtumishi wa mungu, kama swala la ulinzi, Kwani yeye si analindwa na Damu ya yesu,
Kama ana amini yeye analindwa na Damu ya yesu, kwanini awe na escort ya police? Maana Yesu tu anatosha kumlinda
Au ulinzi wa police ni uhakika kuliko wa bwana Yesu anae mwamini
Kuna time Huwa anakuwa na ma bodyguard kabisa, kwani bwana Yesu atoshi ?
Naona kama Kuna janja Janja Kwa Hawa manabii
TapeliNaona kama Kuna janja Janja Kwa Hawa manabii
Tapeli mpiga domo anaishi kwa mdomoKwa ufupi ulimuonea wivu
acha wapigwetu siwametaka wenyeweNilikutana na msafara wa Nabii Mwamposa ukitoka kanisani kwake pale kawe..
Msafara ulikuwa na Escort ya police tena wenye bunduki .
Sasa nikajuliza police na bunduki za Nini, juu ya Nabiii mwamposa, wakati yeye ni mtumishi wa mungu, kama swala la ulinzi, Kwani yeye si analindwa na Damu ya yesu,
Kama ana amini yeye analindwa na Damu ya yesu, kwanini awe na escort ya police? Maana Yesu tu anatosha kumlinda
Au ulinzi wa police ni uhakika kuliko wa bwana Yesu anae mwamini
Kuna time Huwa anakuwa na ma bodyguard kabisa, kwani bwana Yesu atoshi ?
Naona kama Kuna janja Janja Kwa Hawa manabii
Lakini anakuwa escorted na dolaTapeli mpiga domo anaishi kwa mdomo
Mbona mwamposa mbali?...Nilikutana na msafara wa Nabii Mwamposa ukitoka kanisani kwake pale kawe..
Msafara ulikuwa na Escort ya police tena wenye bunduki .
Sasa nikajuliza police na bunduki za Nini, juu ya Nabiii mwamposa, wakati yeye ni mtumishi wa mungu, kama swala la ulinzi, Kwani yeye si analindwa na Damu ya yesu,
Kama ana amini yeye analindwa na Damu ya yesu, kwanini awe na escort ya police? Maana Yesu tu anatosha kumlinda
Au ulinzi wa police ni uhakika kuliko wa bwana Yesu anae mwamini
Kuna time Huwa anakuwa na ma bodyguard kabisa, kwani bwana Yesu atoshi ?
Naona kama Kuna janja Janja Kwa Hawa manabii
Ndio keshapiga tayari anaenda zake kufunga hesabu za mwakaTapeli mpiga domo anaishi kwa mdomo
Anainajisi dini.Matendo yao ni tofauti kabisaNilikutana na msafara wa Nabii Mwamposa ukitoka kanisani kwake pale kawe..
Msafara ulikuwa na Escort ya police tena wenye bunduki .
Sasa nikajuliza police na bunduki za Nini, juu ya Nabiii mwamposa, wakati yeye ni mtumishi wa mungu, kama swala la ulinzi, Kwani yeye si analindwa na Damu ya yesu,
Kama ana amini yeye analindwa na Damu ya yesu, kwanini awe na escort ya police? Maana Yesu tu anatosha kumlinda
Au ulinzi wa police ni uhakika kuliko wa bwana Yesu anae mwamini
Kuna time Huwa anakuwa na ma bodyguard kabisa, kwani bwana Yesu atoshi ?
Naona kama Kuna janja Janja Kwa Hawa manabii
Dola ya viongozi mazombiLakini anakuwa escorted na dola
TapeliNdio keshapiga tayari anaenda zake kufunga hesabu za mwaka
Wanalinda zile fwedha kwenye maroba na sandarusiNilikutana na msafara wa Nabii Mwamposa ukitoka kanisani kwake pale kawe..
Msafara ulikuwa na Escort ya police tena wenye bunduki .
Sasa nikajuliza police na bunduki za Nini, juu ya Nabiii mwamposa, wakati yeye ni mtumishi wa mungu, kama swala la ulinzi, Kwani yeye si analindwa na Damu ya yesu,
Kama ana amini yeye analindwa na Damu ya yesu, kwanini awe na escort ya police? Maana Yesu tu anatosha kumlinda
Au ulinzi wa police ni uhakika kuliko wa bwana Yesu anae mwamini
Kuna time Huwa anakuwa na ma bodyguard kabisa, kwani bwana Yesu atoshi ?
Naona kama Kuna janja Janja Kwa Hawa manabii
Rafiki yake ni majizo usiulize sana..Nilikutana na msafara wa Nabii Mwamposa ukitoka kanisani kwake pale kawe..
Msafara ulikuwa na Escort ya police tena wenye bunduki .
Sasa nikajuliza police na bunduki za Nini, juu ya Nabiii mwamposa, wakati yeye ni mtumishi wa mungu, kama swala la ulinzi, Kwani yeye si analindwa na Damu ya yesu,
Kama ana amini yeye analindwa na Damu ya yesu, kwanini awe na escort ya police? Maana Yesu tu anatosha kumlinda
Au ulinzi wa police ni uhakika kuliko wa bwana Yesu anae mwamini
Kuna time Huwa anakuwa na ma bodyguard kabisa, kwani bwana Yesu atoshi ?
Naona kama Kuna janja Janja Kwa Hawa manabii
Amelipia hiyo huduma ili kuepusha usumbufu njiani shida iko wapi mwaisa?ulinzi wa police ni uhakika kuliko wa bwana Yesu anae mwamini