Mwamposa: Naamini Serikali haitaruhusu mitandao inayohamasisha Ushoga kuendelea kuwepo nchini

Mwamposa: Naamini Serikali haitaruhusu mitandao inayohamasisha Ushoga kuendelea kuwepo nchini

Patriot missile

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2024
Posts
280
Reaction score
423

Mtumishi wa Mungu Boniface Mwamposa wa Kanisa la Arise & Shine Kawe Jijini Dar es salaam ameiomba Serikali kuufungia mtandao wowote unaohamasisha Ushoga nchini.

Aidha, Mtumishi Mwamposa bila kutaja jina la Mtandao husika akiwa katika madhabahu ya Mungu wakati wa ibada ya Jumapili ameonya jambo hilo lisitishwe mara moja kwa Mtandao husika kufungiwa bila kujali watu wachafu watavyosema ila kuvilinda vizazi vya kesho.
 
Mtumishi wa Mungu Boniface Mwamposa wa Kanisa la Arise & Shine Kawe Jijini Dar es salaam ameiomba Serikali kuufungia mtandao wowote inayohamasisha Ushoga nchini.

Mtumishi Mwamposa bila kutaja jina la Mtandao husika akiwa katika madhabahu ya Mungu wakati wa ibada ya Jumapili ameonya jambo hilo lisitishwe mara moja kwa Mtandao husika kufungiwa bila kujali watu wachafu watavyosema.​
Wewe mwenyewe tapeli anaishi kwa kuwatoza sadaka waumini wake
 
Yeye mbona anawauzia mafuta na Serikali haijamfungia kuwachukulia Sadaka zao au anajua yale mafuta anayowauzia wote wanaenda kuyafanyia nini? Sana sana anachojua ni kukunja vibunda na kusukuma ndinga

Cc : ledada utaiweza kasi hii lakini?
 
View attachment 3019629
Mtumishi wa Mungu Boniface Mwamposa wa Kanisa la Arise & Shine Kawe Jijini Dar es salaam ameiomba Serikali kuufungia mtandao wowote inayohamasisha Ushoga nchini.

Mtumishi Mwamposa bila kutaja jina la Mtandao husika akiwa katika madhabahu ya Mungu wakati wa ibada ya Jumapili ameonya jambo hilo lisitishwe mara moja kwa Mtandao husika kufungiwa bila kujali watu wachafu watavyosema.​
Nakubalina na Mwamposa kwa 100%
 
Yeye mboni anawauzia mafuta na Serikali haijamfungia kuwachukulia Sadaka zao au anajua yale mafuta anayowauzia wote wanaenda kuyafanyia nini? Sana sana anachojua ni kukunja vibunda na kusukuma ndinga

Cc : ledada utaiweza kasi hii lakini?
Umachokitafuta utakipata
 
Hakuna mtandao inaohamasisha ushoga. Bali ni kuwa ushoga unahamasishwa kiurahisi kupitia mitandao.

Hivi ni vitu viwili tofauti sana. Ukiwa mpumbavu tu ndko hautaelewa hili swala.

Hata hapa JF mtu akiamua kusambaza habari za ushoga anaweza akahamasisha lakini haitafanya JF isemwe kuwa inahamasisha ushoga.

Tiktok pastor Kanyari anafanya maigizo yake na wakina Richieadore na Chokuu kimkakati sana. Mtu kama yule ni kushughulikanaye yeyena sio kushughulika na mtandao anaoutumia (tiktok).

Hii vita tunaweza uvagaa kijinga sana kisa watu wasiofikiri na kuchambua mambo sawa sawa.
 
Wewe mwenyewe tapeli anaishi kwa kuwatoza sadaka waumini wake
Sio tapeli yaani na yeye ni shoga mana anapata Misaada kutoka nchi za mashoga ikiwa na mashariti ya kishoga....Hiii nchi inayopinga ushoga inapata mikopo kila siku kutoka kwa hao Mashoga..Kama wako serous na wanachokimanisha wapinge wazi wazi mambo Ya Ushoga kama alivyofanya Mwamba MUSEVENI PALE UGANDA.
 
View attachment 3019629
Mtumishi wa Mungu Boniface Mwamposa wa Kanisa la Arise & Shine Kawe Jijini Dar es salaam ameiomba Serikali kuufungia mtandao wowote unaohamasisha Ushoga nchini.

Aidha, Mtumishi Mwamposa bila kutaja jina la Mtandao husika akiwa katika madhabahu ya Mungu wakati wa ibada ya Jumapili ameonya jambo hilo lisitishwe mara moja kwa Mtandao husika kufungiwa bila kujali watu wachafu watavyosema ila kuvilinda vizazi vya kesho​
Nampongeza sana Rais Kagame aliyezuia Wapumbavu fulani kufanya Huduma ya Kitapeli ya Kawe nchini Kwake Rwanda.
 
Back
Top Bottom