Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Anasema Wachina wenzake je Huko China wanakwapua pesa za Maskini kwa Maombi?
Tunaendeshwa na imani zisizotusaidia na wala sio Ushoga kuendesha Nchi.
Huyu Mzee anataka kuhamisha mjadala tuache kujadili Uongozi mbovu wa ccm na serikali yake tuanze kujadi inya za watu.
Tunaendeshwa na imani zisizotusaidia na wala sio Ushoga kuendesha Nchi.
Huyu Mzee anataka kuhamisha mjadala tuache kujadili Uongozi mbovu wa ccm na serikali yake tuanze kujadi inya za watu.