Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe Olewa naye kabisa Acha Tu kuungana naye.Naungana na Mwamposa huu Mtandao haufai kabisa
He is in no position kutoa maagizo kwa mhe waziri.==View attachment 3037224
Mtumishi wa Mungu na wanadamu anayeheshimika zaidi duniani Apostle Boniface Bulldozer Mwamposa ameitaka Serikali ya Tanzania kuufungia mtandao wa X kwa maramoja kwa kosa la kuhamasisha Ushoga na Usagaji Tanzania.
Bado haijafahamika kama Serikali ya Tanzania chini ya Waziri wake wa habari na mawasiliano Mhe Nape Nauye watatii agizo hili au laa.
Watanzania walio wengi wanakubaliana na maoni ya Apostle kwani kesho ya watoto wenu ni muhimu zaidi kuliko X au Mtandao wowote,
Mungu ibariki Tanzania,Nasisi na Mwamposa.
Usitunie hilo jina kwenye mambo ya kijinga, X inakemea uovu haiwezi kufungiwa kwa jina la mtetea haki na usawa kwa wotet bila kuchagua itikadi zao.Tweeter itafungwa tu kwa jina la Yesu kristo
Msimsingizie Yesu Kristo kwa mabo yenu ya saisa za enzi za ujima.Tweeter itafungwa tu kwa jina la Yesu kristo
Naunga mkono hoja hii ya Mwamposa==View attachment 3037224
Mtumishi wa Mungu na wanadamu anayeheshimika zaidi duniani Apostle Boniface Bulldozer Mwamposa ameitaka Serikali ya Tanzania kuufungia mtandao wa X kwa maramoja kwa kosa la kuhamasisha Ushoga na Usagaji Tanzania.
Bado haijafahamika kama Serikali ya Tanzania chini ya Waziri wake wa habari na mawasiliano Mhe Nape Nauye watatii agizo hili au laa.
Watanzania walio wengi wanakubaliana na maoni ya Apostle kwani kesho ya watoto wenu ni muhimu zaidi kuliko X au Mtandao wowote,
Mungu ibariki Tanzania,Nasisi na Mwamposa.
Mtaelewa tuHuyu mnyakyusa ni tapeli kutoka huko unyakyusani Mbeya.
huyu hana maana yeyote, tapeli wa kuzimu kabisa. kwasababu umemuumbua mambo yake na alitabiri kwamba kufikia muda fulani utafungwa, anatafuta namna ya kutimiliza unabii wake.Mtumishi wa Mungu Boniface Mwamposa wa Kanisa la Arise & Shine Kawe Jijini Dar es salaam ameiomba Serikali kuufungia mtandao wowote unaohamasisha Ushoga nchini.
Aidha, Mtumishi Mwamposa bila kutaja jina la Mtandao husika akiwa katika madhabahu ya Mungu wakati wa ibada ya Jumapili ameonya jambo hilo lisitishwe mara moja kwa Mtandao husika kufungiwa bila kujali watu wachafu watavyosema ila kuvilinda vizazi vya kesho
Fungia kabisa hii kitu
Mtumishi wa Mungu Boniface Mwamposa wa Kanisa la Arise & Shine Kawe Jijini Dar es salaam ameiomba Serikali kuufungia mtandao wowote unaohamasisha Ushoga nchini.View attachment 3037265
Aidha, Mtumishi Mwamposa bila kutaja jina la Mtandao husika akiwa katika madhabahu ya Mungu wakati wa ibada ya Jumapili ameonya jambo hilo lisitishwe mara moja kwa Mtandao husika kufungiwa bila kujali watu wachafu watavyosema ila kuvilinda vizazi vya kesho.
Ifungiwe==View attachment 3037224
Mtumishi wa Mungu na wanadamu anayeheshimika zaidi duniani Apostle Boniface Bulldozer Mwamposa ameitaka Serikali ya Tanzania kuufungia mtandao wa X kwa maramoja kwa kosa la kuhamasisha Ushoga na Usagaji Tanzania.
Bado haijafahamika kama Serikali ya Tanzania chini ya Waziri wake wa habari na mawasiliano Mhe Nape Nauye watatii agizo hili au laa.
Watanzania walio wengi wanakubaliana na maoni ya Apostle kwani kesho ya watoto wenu ni muhimu zaidi kuliko X au Mtandao wowote,
Mungu ibariki Tanzania,Nasisi na Mwamposa.
Good thinking
Mtumishi wa Mungu Boniface Mwamposa wa Kanisa la Arise & Shine Kawe Jijini Dar es salaam ameiomba Serikali kuufungia mtandao wowote unaohamasisha Ushoga nchini.View attachment 3037265
Aidha, Mtumishi Mwamposa bila kutaja jina la Mtandao husika akiwa katika madhabahu ya Mungu wakati wa ibada ya Jumapili ameonya jambo hilo lisitishwe mara moja kwa Mtandao husika kufungiwa bila kujali watu wachafu watavyosema ila kuvilinda vizazi vya kesho.
Bichwa Komwee leo nimebahatika kusoma maandishi yako yenye ghadhabu, kwa mara ya kwanza.😂Huyu MWIZI WA SADAKA anaanza kujipenyeza penyeza kuelekea kwenye ajenda yao ya kufungia TWITTER.
Tutakufuta kwenye ardhi ya Tanganyika, usituchezee akili TAPELI MKUBWA.
Atakapoacha kutapeli Wananchi Kwa kuwauzia Mawese tutamsikiliza.
Mtumishi wa Mungu Boniface Mwamposa wa Kanisa la Arise & Shine Kawe Jijini Dar es salaam ameiomba Serikali kuufungia mtandao wowote unaohamasisha Ushoga nchini.View attachment 3037265
Aidha, Mtumishi Mwamposa bila kutaja jina la Mtandao husika akiwa katika madhabahu ya Mungu wakati wa ibada ya Jumapili ameonya jambo hilo lisitishwe mara moja kwa Mtandao husika kufungiwa bila kujali watu wachafu watavyosema ila kuvilinda vizazi vya kesho.