Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwamposa anamwakilisha Mungu hapa Duniani so kumpinga ni sawa na kupingana na Mungu,Kwa nini mwamposa asimuombe huyo mungu wake azime mtamdao wa x Tanzania hadi aiombe tcra, kwani huyo mungu hana uwezo wa kuzima x yeye mwenyewe?
uje tuishi wote ughaibuni Ma ladyKama hii ndiyo akili ya Mtanzania, inaishia kutaka X ifungiwe, tuna safari ndefu sana. Kuna matatizo mengi nchini, tungekesha tunaitaka Serikali wayatatue. Watu wako na X ifungwe, acha ccm iendelee kuburuta watu.
Unakejeli kwa sababu mudi alikuwa analiwaKwa nini mwamposa asimuombe huyo mungu wake azime mtamdao wa x Tanzania hadi aiombe tcra, kwani huyo mungu hana uwezo wa kuzima x yeye mwenyewe?
Mwamposa ni mpigaji tu na mkwepa kodiMwamposa anamwakilisha Mungu hapa Duniani so kumpinga ni sawa na kupingana na Mungu,
Nape atambue shida iko hapa
Kúmbe makanisa yanalipa kodi?Mwamposa ni mpigaji tu na mkwepa kodi
Aliyekuambia kuwa lile ni Kanisa kakudanganya.Wapi na lini uliona Kanisa linauza maji na mafuta?Kúmbe makanisa yanalipa kodi?
Ni utapeli tupuNampongeza sana Rais Kagame aliyezuia Wapumbavu fulani kufanya Huduma ya Kitapeli ya Kawe nchini Kwake Rwanda.
Kama kitu hujui Kaa kimyaNi utapeli tupu
Sawa mkuuKama kitu hujui Kaa kimya
Chadema kina mnakosea ni kudharau nguvu za MunguSawa mkuu
Kwa vile hutaki kujiheshimu dada angu acha nishughulike na wewe, unachokitafuta utakipata muda siyo mrefu. Post ya kwanza nimekuheshimu lakini hutaki kujiheshimu. KaribuChadema kina mnakosea ni kudharau nguvu za Mungu
ye mwenyewe kaoa juzi tu hapa, tulikuwa hatumjui vizuri.
Mtumishi wa Mungu Boniface Mwamposa wa Kanisa la Arise & Shine Kawe Jijini Dar es salaam ameiomba Serikali kuufungia mtandao wowote unaohamasisha Ushoga nchini.View attachment 3037265
Aidha, Mtumishi Mwamposa bila kutaja jina la Mtandao husika akiwa katika madhabahu ya Mungu wakati wa ibada ya Jumapili ameonya jambo hilo lisitishwe mara moja kwa Mtandao husika kufungiwa bila kujali watu wachafu watavyosema ila kuvilinda vizazi vya kesho.
Ameifanya vizuri kazi aliyotumwa kwenda kuifanya Arusha.
Mtumishi wa Mungu Boniface Mwamposa wa Kanisa la Arise & Shine Kawe Jijini Dar es salaam ameiomba Serikali kuufungia mtandao wowote unaohamasisha Ushoga nchini.View attachment 3037265
Aidha, Mtumishi Mwamposa bila kutaja jina la Mtandao husika akiwa katika madhabahu ya Mungu wakati wa ibada ya Jumapili ameonya jambo hilo lisitishwe mara moja kwa Mtandao husika kufungiwa bila kujali watu wachafu watavyosema ila kuvilinda vizazi vya kesho.
[emoji706][emoji706][emoji706]==View attachment 3037224
Mtumishi wa Mungu na wanadamu anayeheshimika zaidi duniani Apostle Boniface Bulldozer Mwamposa ameitaka Serikali ya Tanzania kuufungia mtandao wa X kwa maramoja kwa kosa la kuhamasisha Ushoga na Usagaji Tanzania.
Bado haijafahamika kama Serikali ya Tanzania chini ya Waziri wake wa habari na mawasiliano Mhe Nape Nauye watatii agizo hili au laa.
Watanzania walio wengi wanakubaliana na maoni ya Apostle kwani kesho ya watoto wenu ni muhimu zaidi kuliko X au Mtandao wowote,
Mungu ibariki Tanzania,Nasisi na Mwamposa.
Aliyekuambia Mwamposa anatumia nguvu za Mungu ni nani?Chadema kina mnakosea ni kudharau nguvu za Mungu