Mwamposa: Naamini Serikali haitaruhusu mitandao inayohamasisha Ushoga kuendelea kuwepo nchini

Mwamposa: Naamini Serikali haitaruhusu mitandao inayohamasisha Ushoga kuendelea kuwepo nchini

Kuna mavituo vya redio vimejaza mashog,kuna wasanii wakubwa nchini mashoga ndy maswaiba wao na wako panoja kwenye shuguli zao
Ukija huku uraiani uswazi kwenye mashuguli mashog lazima wawepo
Huyu mchungaji anaongea nini

Ova
 
Kwahiyo Mungu hataki ushoga Tz tu?
Kwanini asitake X ifutwe Kenya, Marekani?

Kama Mungu amesema nae, basi angeagiza wanaume wote wauwawe kama kipindi cha Sodoma na Gomora, sababu wao ndio chanzo cha ushoga na mapenzi kinyume na maumbile.

Mwamposa katumwa na watu wa juu, wanaamini Mwamposa ana watu wengi wanaomsikiliza maigizo yake.
Tuanze na Tanzania
 
Kuna mavituo vya redio vimejaza mashog,kuna wasanii wakubwa nchini mashoga ndy maswaiba wao na wako panoja kwenye shuguli zao
Ukija huku uraiani uswazi kwenye mashuguli mashog lazima wawepo
Huyu mchungaji anaongea nini

Ova
maigizo mengi ya tamthilia, lazima waigize ushoga, wanaume wanavaa kama wanawake, wanalembua, wanacheza kama wanawake, uchafu mtupu. tv na radio za mawingu inajulikana kitambo, mambo mengi yapo, hao machawa wengi ni mashoga, mambuzi kabisa.
 
maigizo mengi ya tamthilia, lazima waigize ushoga, wanaume wanavaa kama wanawake, wanalembua, wanacheza kama wanawake, uchafu mtupu. tv na radio za mawingu inajulikana kitambo, mambo mengi yapo, hao machawa wengi ni mashoga, mambuzi kabisa.
Hayo hawayakemei wakati yapo miaka nenda rudi

Ova
 

Mtumishi wa Mungu Mwamposa aliagiza Serikali iufungie Mtandao wa X kwakuwa unaeneza Ushoga,

Nape akapuuza yaliyomkuta sote tumeyaona hivyo nakutahadharisha kwa nia njema usikawie kufanya hili.
 
View attachment 3051440
Mtumishi wa Mungu Mwamposa aliagiza Serikali iufungie Mtandao wa X kwakuwa unaeneza Ushoga,

Nape akapuuza yaliyomkuta sote tumeyaona hivyo nakutahadharisha kwa nia njema usikawie kufanya hili.
Kwa nini mwamposa asimuombe huyo mungu wake azime mtamdao wa x Tanzania hadi aiombe tcra, kwani huyo mungu hana uwezo wa kuzima x yeye mwenyewe?
 
Kama hii ndiyo akili ya Mtanzania, inaishia kutaka X ifungiwe, tuna safari ndefu sana. Kuna matatizo mengi nchini, tungekesha tunaitaka Serikali wayatatue. Watu wako na X ifungwe, acha ccm iendelee kuburuta watu.
 
Back
Top Bottom