Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuanze na TanzaniaKwahiyo Mungu hataki ushoga Tz tu?
Kwanini asitake X ifutwe Kenya, Marekani?
Kama Mungu amesema nae, basi angeagiza wanaume wote wauwawe kama kipindi cha Sodoma na Gomora, sababu wao ndio chanzo cha ushoga na mapenzi kinyume na maumbile.
Mwamposa katumwa na watu wa juu, wanaamini Mwamposa ana watu wengi wanaomsikiliza maigizo yake.
maigizo mengi ya tamthilia, lazima waigize ushoga, wanaume wanavaa kama wanawake, wanalembua, wanacheza kama wanawake, uchafu mtupu. tv na radio za mawingu inajulikana kitambo, mambo mengi yapo, hao machawa wengi ni mashoga, mambuzi kabisa.Kuna mavituo vya redio vimejaza mashog,kuna wasanii wakubwa nchini mashoga ndy maswaiba wao na wako panoja kwenye shuguli zao
Ukija huku uraiani uswazi kwenye mashuguli mashog lazima wawepo
Huyu mchungaji anaongea nini
Ova
Nani katapeliwa?Atakapoacha kutapeli Wananchi Kwa kuwauzia Mawese tutamsikiliza.
Hayo hawayakemei wakati yapo miaka nenda rudimaigizo mengi ya tamthilia, lazima waigize ushoga, wanaume wanavaa kama wanawake, wanalembua, wanacheza kama wanawake, uchafu mtupu. tv na radio za mawingu inajulikana kitambo, mambo mengi yapo, hao machawa wengi ni mashoga, mambuzi kabisa.
Sasa hapo bado sijaghadhibika dadeki 😂😂Bichwa Komwee leo nimebahatika kusoma maandishi yako yenye ghadhabu, kwa mara ya kwanza.😂
Tumroge sioHuyu MWIZI WA SADAKA anaanza kujipenyeza penyeza kuelekea kwenye ajenda yao ya kufungia TWITTER.
Tutakufuta kwenye ardhi ya Tanganyika, usituchezee akili TAPELI MKUBWA.
Please usije ukaghadhibika!😝😝Sasa hapo bado sijaghadhibika dadeki 😂😂
Hana uwezo huo.View attachment 3051440
Mtumishi wa Mungu Mwamposa aliagiza Serikali iufungie Mtandao wa X kwakuwa unaeneza Ushoga,
Nape akapuuza yaliyomkuta sote tumeyaona hivyo nakutahadharisha kwa nia njema usikawie kufanya hili.
Nani hana uwezo huo?Hana uwezo huo.
Huyo JerryNani hana uwezo huo?
Huyo Mungu ambae mwamposa anamtumikia hana akili. Yeye akili yake na ya mtumishi wake inafanana, ni zero brain.Kwa Clip hii, Mabalaa ya Nape ni kushindwa kutekeleza kauli ya mtumishi wa Mungu Mwamposa
Kwa nini mwamposa asimuombe huyo mungu wake azime mtamdao wa x Tanzania hadi aiombe tcra, kwani huyo mungu hana uwezo wa kuzima x yeye mwenyewe?View attachment 3051440
Mtumishi wa Mungu Mwamposa aliagiza Serikali iufungie Mtandao wa X kwakuwa unaeneza Ushoga,
Nape akapuuza yaliyomkuta sote tumeyaona hivyo nakutahadharisha kwa nia njema usikawie kufanya hili.
Mungu wa Mwamposa ni baali.Huyo Mungu ambae mwamposa anamtumikia hana akili. Yeye akili yake na ya mtumishi wake inafanana, ni zero brain.