Mwamposa: Naamini Serikali haitaruhusu mitandao inayohamasisha Ushoga kuendelea kuwepo nchini

Mwamposa: Naamini Serikali haitaruhusu mitandao inayohamasisha Ushoga kuendelea kuwepo nchini

==
Mtumishi wa Mungu na wanadamu anayeheshimika zaidi duniani Apostle Boniface Bulldozer Mwamposa ameitaka Serikali ya Tanzania kuufungia mtandao wa X kwa maramoja kwa kosa la kuhamasisha Ushoga na Usagaji Tanzania.

Bado haijafahamika kama Serikali ya Tanzania chini ya Waziri wake wa habari na mawasiliano Mhe Nape Nauye watatii agizo hili au laa.

Watanzania walio wengi wanakubaliana na maoni ya Apostle kwani kesho ya watoto wenu ni muhimu zaidi kuliko X au Mtandao wowote,

Mungu ibariki Tanzania,Nasisi na Mwamposa.
View attachment 3037224
He is in no position kutoa maagizo kwa mhe waziri.
On other hand hii ni campaign ya serikal kusambaza ujumbe au kuwaandaa watu na kufungiwa kwa x? Wanafanyaje?

Wanayafikia yale makundi, wajifanye wanakemea ili baadae waje waseme watz ndio wametaka, kumbe ni plan ya musa mrefu
 
==
Mtumishi wa Mungu na wanadamu anayeheshimika zaidi duniani Apostle Boniface Bulldozer Mwamposa ameitaka Serikali ya Tanzania kuufungia mtandao wa X kwa maramoja kwa kosa la kuhamasisha Ushoga na Usagaji Tanzania.

Bado haijafahamika kama Serikali ya Tanzania chini ya Waziri wake wa habari na mawasiliano Mhe Nape Nauye watatii agizo hili au laa.

Watanzania walio wengi wanakubaliana na maoni ya Apostle kwani kesho ya watoto wenu ni muhimu zaidi kuliko X au Mtandao wowote,

Mungu ibariki Tanzania,Nasisi na Mwamposa.
View attachment 3037224
Naunga mkono hoja hii ya Mwamposa
 
Mtumishi wa Mungu Boniface Mwamposa wa Kanisa la Arise & Shine Kawe Jijini Dar es salaam ameiomba Serikali kuufungia mtandao wowote unaohamasisha Ushoga nchini.

Aidha, Mtumishi Mwamposa bila kutaja jina la Mtandao husika akiwa katika madhabahu ya Mungu wakati wa ibada ya Jumapili ameonya jambo hilo lisitishwe mara moja kwa Mtandao husika kufungiwa bila kujali watu wachafu watavyosema ila kuvilinda vizazi vya kesho​
huyu hana maana yeyote, tapeli wa kuzimu kabisa. kwasababu umemuumbua mambo yake na alitabiri kwamba kufikia muda fulani utafungwa, anatafuta namna ya kutimiliza unabii wake.
 
Tapeli la imani, linaanza kutuoangia adi mitandao ya kutumia, Na lenyewe kanisa lake lifungwe kwani halina msaada wowote tofauti na kuibia watu kishetani
 

Mtumishi wa Mungu Boniface Mwamposa wa Kanisa la Arise & Shine Kawe Jijini Dar es salaam ameiomba Serikali kuufungia mtandao wowote unaohamasisha Ushoga nchini.

Aidha, Mtumishi Mwamposa bila kutaja jina la Mtandao husika akiwa katika madhabahu ya Mungu wakati wa ibada ya Jumapili ameonya jambo hilo lisitishwe mara moja kwa Mtandao husika kufungiwa bila kujali watu wachafu watavyosema ila kuvilinda vizazi vya kesho.
View attachment 3037265
Fungia kabisa hii kitu
 
==
Mtumishi wa Mungu na wanadamu anayeheshimika zaidi duniani Apostle Boniface Bulldozer Mwamposa ameitaka Serikali ya Tanzania kuufungia mtandao wa X kwa maramoja kwa kosa la kuhamasisha Ushoga na Usagaji Tanzania.

Bado haijafahamika kama Serikali ya Tanzania chini ya Waziri wake wa habari na mawasiliano Mhe Nape Nauye watatii agizo hili au laa.

Watanzania walio wengi wanakubaliana na maoni ya Apostle kwani kesho ya watoto wenu ni muhimu zaidi kuliko X au Mtandao wowote,

Mungu ibariki Tanzania,Nasisi na Mwamposa.
View attachment 3037224
Ifungiwe
 
kwetu sisi wakristo, mitandao ya kijamii ni sehemu muhimu mno kufikia watu kwa njia ya mtandao, watu wengi tu wanapokea mafundisho kwa njia ya mtandao. kama ni ushoga, basi internet yote ifungwe kwasababu youtube utakuta ushoga mwingi kuliko hata x, instagram kuna ushoga mwingi zaidi ya kote, telegram ni mashoga, hata whatsapp, facebook pia, lakini akili yako wewe ndio inakufanya uamue kutazama porn au usitazame, uongee ushoga au usiongee. si huwa nasikia kuna mitandao ya mashoga? huko wanakotongozana, si awaambie wafunge hiyo?
 

Mtumishi wa Mungu Boniface Mwamposa wa Kanisa la Arise & Shine Kawe Jijini Dar es salaam ameiomba Serikali kuufungia mtandao wowote unaohamasisha Ushoga nchini.

Aidha, Mtumishi Mwamposa bila kutaja jina la Mtandao husika akiwa katika madhabahu ya Mungu wakati wa ibada ya Jumapili ameonya jambo hilo lisitishwe mara moja kwa Mtandao husika kufungiwa bila kujali watu wachafu watavyosema ila kuvilinda vizazi vya kesho.
View attachment 3037265
Good thinking
 

Mtumishi wa Mungu Boniface Mwamposa wa Kanisa la Arise & Shine Kawe Jijini Dar es salaam ameiomba Serikali kuufungia mtandao wowote unaohamasisha Ushoga nchini.

Aidha, Mtumishi Mwamposa bila kutaja jina la Mtandao husika akiwa katika madhabahu ya Mungu wakati wa ibada ya Jumapili ameonya jambo hilo lisitishwe mara moja kwa Mtandao husika kufungiwa bila kujali watu wachafu watavyosema ila kuvilinda vizazi vya kesho.
View attachment 3037265
Atakapoacha kutapeli Wananchi Kwa kuwauzia Mawese tutamsikiliza.
 
Back
Top Bottom