Mwamposa: Naamini Serikali haitaruhusu mitandao inayohamasisha Ushoga kuendelea kuwepo nchini

Kwa nini mwamposa asimuombe huyo mungu wake azime mtamdao wa x Tanzania hadi aiombe tcra, kwani huyo mungu hana uwezo wa kuzima x yeye mwenyewe?
Mwamposa anamwakilisha Mungu hapa Duniani so kumpinga ni sawa na kupingana na Mungu,

Nape atambue shida iko hapa
 
Kama hii ndiyo akili ya Mtanzania, inaishia kutaka X ifungiwe, tuna safari ndefu sana. Kuna matatizo mengi nchini, tungekesha tunaitaka Serikali wayatatue. Watu wako na X ifungwe, acha ccm iendelee kuburuta watu.
uje tuishi wote ughaibuni Ma lady
 
ye mwenyewe kaoa juzi tu hapa, tulikuwa hatumjui vizuri.
 
Ameifanya vizuri kazi aliyotumwa kwenda kuifanya Arusha.
 
[emoji706][emoji706][emoji706]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…