Mwamposa ni mkweli sana, Mungu hatumii hela ndio maana account zote za sadaka ziko kwa jina la Mwamposa

Mwamposa ni mkweli sana, Mungu hatumii hela ndio maana account zote za sadaka ziko kwa jina la Mwamposa

KING MIDAS

JF-Expert Member
Joined
Dec 1, 2010
Posts
8,589
Reaction score
16,936
Niko ugenini, usiku nikakaribishwa chakula cha jioni, wenyeji wangu ni watu wa imani kali, tukiwa tunaendelea na kula huku tukitazama tv ya Mwamposa akawa anasisitiza na kuhimiza watu watoe sadaka.


Akaorodhesha namba nyingi sana za voda, tigo, airtel, halotel, na mabenki mbalimbali.

Accounts zote zinasoma kwa jina lake
Nimemkubali sana huyu pastor kwa kuwa mkweli. Mungu hatumii hela wala hazihitaji.

Wanasema mtoleeni Bwana Mungu sadaka, halafu jina linatokea Boniface Mwamposa, bongo noma
 
Niko ugenini, usiku nikakaribishwa chakula cha jioni, wenyeji wangu ni watu wa imani kali, tukiwa tunaendelea na kula huku tukitazama tv ya Mwamposa akawa anasisitiza na kuhimiza watu watoe sadaka.


Akaorodhesha namba nyingi sana za voda, tigo, airtel, halotel, na mabenki mbalimbali.

Accounts zote zinasoma kwa jina lake
Nimemkubali sana huyu pastor kwa kuwa mkweli. Mungu hatumii hela wala hazihitaji.

Wanasema mtoleeni Bwana Mungu sadaka, halafu jina linatokea Boniface Mwamposa, bongo noma
Mwamposa jipakulie minyama mtumishi.
 
Ni kweli Mungu hatumii sadaka (pesa), Lakini kazi zake zinahitaji sadaka (pesa) Ili ziweze kwenda.

Na, mind you, sio kwamba Mungu hawezi kufanya miujiza Ili kazi zake ziende, ila kwa kwa maksudi ametaka mzitolee sadaka kama kipimo Cha Imani yenu na uchaji. Mungu ameweka kanuni za maisha na ibada Ili kwa hizo yeye atukuzwe na Ninyi mbarikiwe.

Ila kutoa sadaka sio lazima. Waache hao mnaowaita wajinga watoe, nyie zenu kaleni starehe. Maana hata wajinga wakitoa Ninyi zinawaathiri nini?

Mungu humpenda yeye atoaye kwa moyo.
Na umebarikiwa mkono utoao kuliko ule upokeao
 
Ulitaka mpesa za kupokelea hela zisome kwa jina la Mungu ama Yesu bin Mungu
 
Waache hao mnaowaita wajinga watoe, nyie zenu kaleni starehe. Maana hata wajinga wakitoa Ninyi zinawaathiri nini?
Kila mtu kuna madhabahu yake anayotoa sadaka, wengine madhabahu zao ni bar, wengine kwenye vinena vya malaya
 
Kama huna Imani, yana kusumbua nini? kama sio umbea. Mwamposa amlazimishi mtu kutoa sadaka, mtu anatoa kwa imani yake, kutokana na changamoto za maisha yake.
 
Back
Top Bottom