zerominus10
JF-Expert Member
- Aug 25, 2022
- 8,142
- 13,721
Nimewahi kutuma Sadaka zamani sana tena sio kwa Mchungaji kwa mtu mwenye uhitaji aliomba msaada kwa watu Redioni na mimi nikaweka hela yote niliyokua nayo kwenye ile namba ila kwa Numposa sijawahi hata kusogeza pua yangu, yeye hizo Sadaka anazipeleka wapi kwa mfano?Kila mtu kuna madhabahu yake anayotoa sadaka, wengine madhabahu zao ni bar, wengine kwenye vinena vya malaya