Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
HakikaHizi nguvu wabongo wangeelekeza sehemu sahihi nchi ingekua mbali,,,,,,pumbafu bora wametolewa wote mwakarobo na mwakarobo jr
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HakikaHizi nguvu wabongo wangeelekeza sehemu sahihi nchi ingekua mbali,,,,,,pumbafu bora wametolewa wote mwakarobo na mwakarobo jr
Pole.kapiga comments🔒Kumbe ana page kabisa? Ngoja baadae na mimi nikamalize hasira zangu.
Awaulize DP World wanajua balaa la wabongo kwenye social media.Kwa mara ya kwanza Mwamuzi wa kati aliyechezesha mechi ya juzi kati ya Mamelodi Sundowns na Yanga Beida Dahane raia wa Mauritania amefunguka kwamba
asilaumiwe kwa lolote lile kwenye sakata la goli la Aziz ki kukataliwa bali lawama zote ziwaendee waliokuwa wana-control Video Assistant Referee (VAR)
Mwamuzi huyo ameeleza hayo wakati aki-chat Instagram na Aliyekuwa Msemaji wa Yanga Haji Sunday Manara...
Mwamuzi Beida Pahane ameweka wazi kuwa wakati wa faulo ya lomalisat wanao-control VAR walishindwa kutoa maamuzi hivyo walihitaji msaada wake ndio
maana aienda kuwasaidia lakini Kwenye Goli la aziz.ki hakwenda kuthibitisha kwenye VAR kwa sababu haikuwa kazi ngumu kwa wanao-control VAR kutoa maamuzi,
walimueleza mapema kuwa sio goli, hivyo kama kuna makosa yoyote walaumiwe wao.
Mwamuzi Beida Dahane amefunguka kuwa hawezi kuomba msamaha kwa Watanzania kwani hakuhusika katīka maamuzi, kama kuna kosa lolote amefanya basi
ataomba msamaha kwa Mungu..
Mwamuzi Beida Dahane amesisitiza kwamba yeye ndiyo anatakiwa kuombwa msamaha maana anashambuliwa sana kutokana na sakata hili, wakati wanaotakiwa
kushambuliwa ni watu wa VAR...
View attachment 2956306
CHAT ZA DM KATI YA HAJI NA MWAMUZI..
View attachment 2956309
View attachment 2956310
View attachment 2956311
View attachment 2956312View attachment 2956313
Na bado SIO GOLI.ila wanataka wapewe.aibu gani hii kwa nchi.haya yote kayataka simba kuwabeba na kuwapeleka hykoMashabiki wa Yanga please mkienda kutukana mjitambulishe kama wana Yanga na si watanzania...
mnatudhalilisha sana...
Tunaonekana watanzania siyo wastaarabu kwasababu yenu.
Miye nitamfuata huko huko MauritaniaNa bado Hajasema Mpaka Aseme asituletee Ujinga Manara Peke yake hatoshi bado tutamfata mpaka huko Mauritania Tumpe za Uso sio ndio Tanzania Haki yetu haidhulumiwi
Nyinyi hamdhulumiki ila nyinyi ni wadhulumaji wa akina Kagera suger.Na bado Hajasema Mpaka Aseme asituletee Ujinga Manara Peke yake hatoshi bado tutamfata mpaka huko Mauritania Tumpe za Uso sio ndio Tanzania Haki yetu haidhulumiwi
Hamna lolote.Kwa mara ya kwanza Mwamuzi wa kati aliyechezesha mechi ya juzi kati ya Mamelodi Sundowns na Yanga Beida Dahane raia wa Mauritania amefunguka kwamba
asilaumiwe kwa lolote lile kwenye sakata la goli la Aziz ki kukataliwa bali lawama zote ziwaendee waliokuwa wana-control Video Assistant Referee (VAR)
Mwamuzi huyo ameeleza hayo wakati aki-chat Instagram na Aliyekuwa Msemaji wa Yanga Haji Sunday Manara...
Mwamuzi Beida Pahane ameweka wazi kuwa wakati wa faulo ya lomalisat wanao-control VAR walishindwa kutoa maamuzi hivyo walihitaji msaada wake ndio
maana aienda kuwasaidia lakini Kwenye Goli la aziz.ki hakwenda kuthibitisha kwenye VAR kwa sababu haikuwa kazi ngumu kwa wanao-control VAR kutoa maamuzi,
walimueleza mapema kuwa sio goli, hivyo kama kuna makosa yoyote walaumiwe wao.
Mwamuzi Beida Dahane amefunguka kuwa hawezi kuomba msamaha kwa Watanzania kwani hakuhusika katīka maamuzi, kama kuna kosa lolote amefanya basi
ataomba msamaha kwa Mungu..
Mwamuzi Beida Dahane amesisitiza kwamba yeye ndiyo anatakiwa kuombwa msamaha maana anashambuliwa sana kutokana na sakata hili, wakati wanaotakiwa
kushambuliwa ni watu wa VAR...
View attachment 2956306
CHAT ZA DM KATI YA HAJI NA MWAMUZI..
View attachment 2956309
View attachment 2956310
View attachment 2956311
View attachment 2956312View attachment 2956313
VAR room hawezi ni mbali labda aende kwenye screen iliyopo uwanjani kuhakiki tukio.Hivi ina maana mwamuzi mwenyewe haruhusiwi kwenda kwenye VAR room bila kuitwa?
Ile ilikuwa njama ndio maana kwenye kutaka kumpa Lomalisa red card alienda kwenye VAR , Ila kwenye goli alitonywa asiende maana ingekuwa aibu , halafu ukiangalia lile goli lilionyeshwa kwenye angle moja tu na wala halikurudiwaHivi ina maana mwamuzi mwenyewe haruhusiwi kwenda kwenye VAR room bila kuitwa?
Pale uwanjani pembeni kuna Referee review area video.Hivi ina maana mwamuzi mwenyewe haruhusiwi kwenda kwenye VAR room bila kuitwa?
Tayari refa kafunguka na ametusaidia pakubwa sana pale anaposema there is always mistakes in football, hapo amekiri kuna makosa yalifanyika sasa tumepiga hatua moja kudai haki yetu ya mabilioni ya kuingia nusu fainali. Refa aseme ni mistake gani amemaanisha maana kuna mistakes za maksudi na bahati mbaya, refa akabwe zaidi koo akizidiwa atamwaga mboga na tupambane VAR room officials tuwapate majina tuwafuate kwenye pages zao tukawacharue na wao hadi ukweli ujulikane na Africa nzima wajue bongo hatukubali kuonewa!!Hapa ni kama anakiri kosa sema tu anadhindwa kufunguka.
Aibu sanaPale uwanjani pembeni kuna Referee review area video.
Pale anaenda kutizama kujiridhisha na maamuzi alioambiwa na VAR.
Ndio maana hata baada ya kumpa Lomalissa kadi ya njano dakika moja mbele VAR walimuambia akatizame upya foul huwenda ni possible red card,mbona hilo hakulikubali directly akaenda kutizama na kusema ibaki ile ile yellow card??
Kwa kujichanganya zaidi beki wa mamelody aliutoa mpira nje badala aweke kona akawapa mamelody waanzishe.
Aiseeee😂😂😂😂😂😂Afrika nzima nyosso sio bongo tu.
Tumekusikia na from now tutajitambulisha ni wanayanga tunadai haki yetu kupokwa ushindi. Tutajitaja because we are proud of our team performance.Mashabiki wa Yanga please mkienda kutukana mjitambulishe kama wana Yanga na si watanzania...
mnatudhalilisha sana...
Tunaonekana watanzania siyo wastaarabu kwasababu yenu.