Kinyungu
JF-Expert Member
- Apr 6, 2008
- 19,484
- 38,416
Yeye ni Mwanaccm kwani achague CHADEMA?Achague Chadema shida nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeye ni Mwanaccm kwani achague CHADEMA?Achague Chadema shida nini?
Imeandikwa wapiFomu 1
Hapo sasaYeye ni Mwanaccm kwani achague CHADEMA?
Mbona umeona sehemu tu ya andiko langu.Swali la mwisho gumu kulijibu.A pot calling a kettle black.Demokrasia ya fomu moja??
Form moja ni uoga na kutojiamini
Watu ndani ya CCM wamechoka sasa na kuondoa uoga uliotanda.
Mwana CCM ameamua kumwaga mboga bila kujali nini yatamtokea mbele ya safari.
Amchana Nchimbi na viongozi wote waliopo nyuma ya uchaguzi ujao kuwa wanavunja Sheria ya CCM.
Ajihadhari Sana, watamhamisha kutoka kwenye sayari hii ya dunia.Hakuna uhuru wa kuongea ndani ya CCM..................?
Jikite kwenye mada basi, huyo kwenye clip ni mwana ccm mwenzenu, ila inaonekana yeye siyo chawa kama wewe na Lucas.Mbona Fomu za wagombea zingine ziko huko Chadema Kwa nini ashoboke na ya CCM?
Chadema wana fomu moja pia ya mwenyekiti ukitaka kugombea muulize chcha wangwe,zitto kabwe au sumaye!Watu ndani ya CCM wamechoka sasa na kuondoa uoga uliotanda.
Mwana CCM ameamua kumwaga mboga bila kujali nini yatamtokea mbele ya safari.
Amchana Nchimbi na viongozi wote waliopo nyuma ya uchaguzi ujao kuwa wanavunja Sheria ya CCM.
View attachment 2978183
Huyu naona ametumwa na walewale waliomtukana mama. Mapambano naona yameanza rasmi.Watu ndani ya CCM wamechoka sasa na kuondoa uoga uliotanda.
Mwana CCM ameamua kumwaga mboga bila kujali nini yatamtokea mbele ya safari.
Amchana Nchimbi na viongozi wote waliopo nyuma ya uchaguzi ujao kuwa wanavunja Sheria ya CCM.
View attachment 2978183
Haya ndo mambo tunataka kusikiaWatu ndani ya CCM wamechoka sasa na kuondoa uoga uliotanda.
Mwana CCM ameamua kumwaga mboga bila kujali nini yatamtokea mbele ya safari.
Amchana Nchimbi na viongozi wote waliopo nyuma ya uchaguzi ujao kuwa wanavunja Sheria ya CCM.
View attachment 2978183
Kwahiyo CCM imeanza kujifunza kwa CDM?Chadema wana fomu moja pia ya mwenyekiti ukitaka kugombea muulize chcha wangwe,zitto kabwe au sumaye!
Huyu hayuko peke yake lazima ana kundi kubwa nyuma yakeAmchana Nchimbi na viongozi wote waliopo nyuma ya uchaguzi ujao kuwa wanavunja Sheria ya CCM.
Maana yake hakuna geni chini ya jua ukiona tako la mwenzio jeusi jua lako pia rangi moja!Kwahiyo CCM imeanza kujifunza kwa CDM?
Kumekucha 🤣Watu ndani ya CCM wamechoka sasa na kuondoa uoga uliotanda.
Mwana CCM ameamua kumwaga mboga bila kujali nini yatamtokea mbele ya safari.
Amchana Nchimbi na viongozi wote waliopo nyuma ya uchaguzi ujao kuwa wanavunja Sheria ya CCM.
View attachment 2978183
Huyu ni mhuni kama wahuni wengine wenda anayo hoja sana ila namfahamu vizuri tu ni muhuni ,na ata kwenye mifara ya maaandamo ya chedema sio wote ni watakatifu naishia hapa Bwana hajanipa kibali cha kuendelea andika akinipa nitasema tu mbwai mbwaiWatu ndani ya CCM wamechoka sasa na kuondoa uoga uliotanda.
Mwana CCM ameamua kumwaga mboga bila kujali nini yatamtokea mbele ya safari.
Amchana Nchimbi na viongozi wote waliopo nyuma ya uchaguzi ujao kuwa wanavunja Sheria ya CCM.
View attachment 2978183
Kuna pointi kubwa hapaSijawahi kupata mantiki hasa ya awamu hii kuitwa ya 6 badala ya kuwa Rais ndiye wa sita ila awamu ni ya 5
Na kwa sababu hiyo, awamu hii ilitakuwa ikome kwa sababu tayari ni miaka 10, kikatiba, ni nafasi ya wengine na awamu mpya kuelekea miaka 10 mingine, maana yake Rais akale bata na familia yake
Hamu na shauku ya mafisadi, ni kuuacha uongozi unaoyapa ulaji