Chinga One
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 11,469
- 12,391
Watangazaji wa siku hizi bana yani wanashindwa kuweka habari kwenye mtiririko mzuri...full repetition of words,that is the problem ya kutostick kwenye point
Labda ndio anaomba huo msaada wa kufufua bendiMtu mwenyewe anaomba msaada,hiyo jeuri ya kufufuana kuendesha bendi atakuwa nayo?nani siku hizi atataka kusikiliza Moro Jazz ,kwa kizazi kipi,wengine hizi ndio huita ndoto za alinacha .Ushauri mzee sasa atafute tu shamba aanze kulima matikiti maji,lakini hizo ndoto za kukufufua bendi ni kichekesho,
Msalimie mumeo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Na wewe kwani umetoka Mfaranyaki. Toka lini Red Bull ikawa bia,mtu akikaa tu kwenye kiti cha plastic basi anakunywa bia .
Sio Bia ni RED BULL
Nami nimeshangaa, anarudia maneno mpk anakula MB za bure, huyo mtangazaji ni NyamwaziWatangazaji wa siku hizi bana yani wanashindwa kuweka habari kwenye mtiririko mzuri...full repetition of words,that is the problem ya kutostick kwenye point
angekua karibu angekula vibao vya masikio hadi askie ziiiiiii 😀😀😀Nami nimeshangaa, anarudia maneno mpk anakula MB za bure, huyo mtangazaji ni Nyamwazi
Sent using Jamii Forums mobile app
ndo.makanjanja wa JK haoUtangazaji umerahisishwa sana Siku hizi, yaani Kila MTU ni mtangazaji
Huyu jamaa anayetangaza ni mseng* badala ya kutangazwa habari za mwanafa anatangaza habari za diamondWatangazaji wa siku hizi bana yani wanashindwa kuweka habari kwenye mtiririko mzuri...full repetition of words,that is the problem ya kutostick kwenye point
Hila huyo mtangazaji kazidi , ni kiazi Square, hapo hayo matangazo ndio ameyaedit, so sad indeedUtangazaji umerahisishwa sana Siku hizi, yaani Kila MTU ni mtangazaji
Aliongea wakati kalewa au akiwa mzima?
Tatizo wazazi wengi wanapenda kuvuna kutoka kwa watoto wao bila ku-invest kwa watoto wakiwa wadogo. Hakuna faida bila kuwekeza. Wengi wameamua kuwa sperm donors, tatizo wanadai faida kubwa baadae.Hichi kizazi nacho kimezidi kuwakana baba zao...
Super hero daddy
Baba/ mama kuwa na mchepuko si tatizo lako. Ila kukukana na kukataa kukuhudumia ni kesi tofauti ya wewe pia kumkana baadaeIla tukumbuke mzazi ni mzazi tu...mimi kwangu haijalishi nn kilitokea huko nyuma lkn wazazi wangu niliwapa upendo sawa. Ingawa kuna miaka dingi alikuwa na mchepuko akamzingua sana maza lkn mwisho wa siku walielewana na maisha yakaendelea mpk alipofariki na muda wote wa matatizo sikuwahi kuchagua upande
Wana mwaadhibu wazazi wenu!!!!?Mzee reflect where did you go wrong in your son’s life.
Hivi uliendika hapo ni mwanaume!!?Yaani akili zao zipo kupenda mteremko ,ndio maana wanakata watoto wao hili kukwepa majukumu( Marioo)
Sasa kama ni haja ya muda mfupi si ujichukulie huna mtoto.Kwa ninin unamsumbua mtoto akuhudumie ukiona kafanikiwa?Hili jambo tukilitazama kwa undani zaidi ni jambo kubwa sana na lina mzizi mrefu.
Tukumbuke mwanamke naye anachangia kutokea kwa hili jambo.
Kwa upande mwingine wanawake wanajirahisisha kwa wanaume mwishowe wanaachwa na watoto kutwlekezwa maana mwanaume hakuwa na nia na mwanamke isipokuwa ni kwa haja ya muda mfupi tu.