Mwana FA amkana Baba yake mzazi

Mwana FA amkana Baba yake mzazi

Ila tukumbuke mzazi ni mzazi tu...mimi kwangu haijalishi nn kilitokea huko nyuma lkn wazazi wangu niliwapa upendo sawa. Ingawa kuna miaka dingi alikuwa na mchepuko akamzingua sana maza lkn mwisho wa siku walielewana na maisha yakaendelea mpk alipofariki na muda wote wa matatizo sikuwahi kuchagua upande
 
Hawa unaowaona niwa bi mdogo wa mzee wa mwana falsafa
FB_IMG_1552237959354.jpeg
 
Kumbuka hata mtoto ni mtoto tu...

Ila tukumbuke mzazi ni mzazi tu...mimi kwangu haijalishi nn kilitokea huko nyuma lkn wazazi wangu niliwapa upendo sawa. Ingawa kuna miaka dingi alikuwa na mchepuko akamzingua sana maza lkn mwisho wa siku walielewana na maisha yakaendelea mpk alipofariki na muda wote wa matatizo sikuwahi kuchagua upande
 
Hayo ndiyo matokeo ya kuzalisha halafu unaingia mitini halafu unajiona mjanja kuwadharau single mothers. Mwanaume mwenzangu kama ulitelekeza mtoto na mama yake hakikisha hauhitaji msaada uzeeni. Watoto wa siku hizi siyo wale wa enzi zile sasa hivi JINO KWA JINO. UKINIKATAA BAADAE NITAKUKATAA
kweli aisee hata kama ni mimi nakukataa hata kama nakujua maana hana tofauti na muuaji, kama niko kwenye uhitaji wa baba hunitaki leo nisimame ndo uje ili iweje sasa !
 
Back
Top Bottom