UNSPECIFIED
JF-Expert Member
- Sep 13, 2017
- 792
- 2,609
Wangempa hela nzuri angeimarika zaidi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Napita hapo sio muda mrefu naelekea shamba KipalapalaJambo jema sana. Aje na hapa Kipalapala Tabora asaidie wahitaji.
Nilivyoona kontena nikajua kabeba hata na michele 😁Ila wanasiasa!! Hivi vifaa ndio vya kubebwa na kontena zima?
Kwakuwa aliweka nadhili hyo mbele za watu basi halali yake leo kujinadi mbele za watu mkuu.Ukienda kutoa msaada usibebe camera
Mwanae ni banana zoro na mwengine alikuwa maunda zoro ( R.I.P ) wote wanamuziki.Huyu alikuwa na mwanaye mwanamuziki kama sijakosea
Wazee ndivyo walivyoYani mzee anaonekana miguu haina nguvu kabsa ingawa mwenyew anadai yupo sawa haumwi.
Unampangia mtu msaada wa kutoa?Wangempa hela nzuri angeimarika zaidi.
Katoa mfukoni kwake?Unampangia mtu msaada wa kutoa?
ndo imeisha hiyo, kwa MUNGU ni bure aghaliWachawi lazima muwepo kupinga mambo mema. Hongera kwa kuwawakilisha wenzio
Sasa mkuu hii ni kama kuinspire tu na wengineUkienda kutoa msaada usibebe camera
Wewe ulichukua hatua gani ulivyoona hivyo?Niliona mitandaoni beki wa zamani Alphonce Modest amelala kitandani zaidi ya miaka 10 anaumwa,na yupo kijijini kwenye nyumba ya udongo,ni vema nae akapata msaada
Mimi sio WaziriWewe ulichukua hatua gani ulivyoona hivyo?
Nae apelekewe Gym!!Niliona mitandaoni beki wa zamani Alphonce Modest amelala kitandani zaidi ya miaka 10 anaumwa,na yupo kijijini kwenye nyumba ya udongo,ni vema nae akapata msaada
Lazima uwe waziri ndo umsaidie mtu? Dah! Maskini mna roho mbaya sana aisee.Mimi sio Waziri
Una kiwango gani cha Elimu??ni jukumu la Wizara ya Michezo kushughulikia masuala ya wanamichezo na wanamuziki maana wapo chini ya Wizara hiyo,na pia Wizara lazima itakuwa na Fungu kwenye bajeti mahususi kwa kusaidia wanamichezo,mbona hujamuonna Waziri wa Kilimo kwenda kumsaidia Mzee Zollo?wewe uliye na ID ya kichawa ya Mama Samia 2025 umesaidia nini??CHOKO weweLazima uwe waziri ndo umsaidie mtu? Dah! Maskini mna roho mbaya sana aisee.
Msaada wa matibabu,yupo kitandani zaidi ya Miaka 10 ameparalaizi,ni shingo tu ndio inayofanya kazi,Wizara haiwezi hata kumpeleka Muhimbili??Nae apelekewe Gym!!
Hii nchi imelogwa hii