Mwana FA ampa vifaa vya mazoezi Mzee Zahir Ally Zorro

Mwana FA ampa vifaa vya mazoezi Mzee Zahir Ally Zorro

Huyo mzee anaweza hata inuka mwenyewe huyo!?
Wajinga hao mkuu mzee wa miaka 70 kwa wenzetu wa ulaya bado wanakua na nguvu za kutembea na kufanya shughuli za kila siku. Huyo siyo wa kumpa vifaa vya maziezi kama ujana wake alikua siyo mtu wa mazoezi ni kazi bure vitaozea ndani tu.
 
Huyo anahitaji mazoezi ya viungo ambayo sio intensive, anahitaji trainer wa kuhakikisha anafanyishwa mazoezi kwa kiasi cha udhaifu alionao...
 
Wachawi lazima muwepo kupinga mambo mema. Hongera kwa kuwawakilisha wenzio
 
Una kiwango gani cha Elimu??ni jukumu la Wizara ya Michezo kushughulikia masuala ya wanamichezo na wanamuziki maana wapo chini ya Wizara hiyo,na pia Wizara lazima itakuwa na Fungu kwenye bajeti mahususi kwa kusaidia wanamichezo,mbona hujamuonna Waziri wa Kilimo kwenda kumsaidia Mzee Zollo?wewe uliye na ID ya kichawa ya Mama Samia 2025 umesaidia nini??CHOKO wewe
Sheria ya mwaka gani inasema wizara ya michezo ihudumie wagonjwa waliowahi kuwa wanamichezo? Wewe mbona ni mpumbavu kiasi hiki? Kwa hiyo na wizara ya kilimo huwa ina fungu la kuhudumia wakulima wagonjwa? Hasira zako za kimaskini usilete hapa.
 
Una kiwango gani cha Elimu??ni jukumu la Wizara ya Michezo kushughulikia masuala ya wanamichezo na wanamuziki maana wapo chini ya Wizara hiyo,na pia Wizara lazima itakuwa na Fungu kwenye bajeti mahususi kwa kusaidia wanamichezo,mbona hujamuonna Waziri wa Kilimo kwenda kumsaidia Mzee Zollo?wewe uliye na ID ya kichawa ya Mama Samia 2025 umesaidia nini??CHOKO wewe
Sheria ya mwaka gani inasema wizara ya michezo ihudumie wagonjwa waliowahi kuwa wanamichezo? Wewe mbona ni mpumbavu kiasi hiki? Kwa hiyo na wizara ya kilimo huwa ina fungu la kuhudumia wakulima wagonjwa? Hasira zako za kimaskini usilete hapa.
 
Una kiwango gani cha Elimu??ni jukumu la Wizara ya Michezo kushughulikia masuala ya wanamichezo na wanamuziki maana wapo chini ya Wizara hiyo,na pia Wizara lazima itakuwa na Fungu kwenye bajeti mahususi kwa kusaidia wanamichezo,mbona hujamuonna Waziri wa Kilimo kwenda kumsaidia Mzee Zollo?wewe uliye na ID ya kichawa ya Mama Samia 2025 umesaidia nini??CHOKO wewe
Hakuna fungu wizara ya michezo kusaidia wanamichezo, hakuna fungu wizara ya fedha kusaidia manesi na madaktari, hakuna fungu wizara ya elimu kusaidia walimu.
 
Sheria ya mwaka gani inasema wizara ya michezo ihudumie wagonjwa waliowahi kuwa wanamichezo? Wewe mbona ni mpumbavu kiasi hiki? Kwa hiyo na wizara ya kilimo huwa ina fungu la kuhudumia wakulima wagonjwa? Hasira zako za kimaskini usilete hapa.
hakika MACHOKO hamtaisha Nchi hii
 
Mtu hatembei ananunuliwa vifaa vya mazoezi badala ya kupewa matunzo nauangalizi , waswahili hawajawahi kuwaza kitu chenye faida wao nimaonyesho tu
 
Wajinga hao mkuu mzee wa miaka 70 kwa wenzetu wa ulaya bado wanakua na nguvu za kutembea na kufanya shughuli za kila siku. Huyo siyo wa kumpa vifaa vya maziezi kama ujana wake alikua siyo mtu wa mazoezi ni kazi bure vitaozea ndani tu.
Kuwa na nguvu uzeeni haihusiani na kuwa upo ulaya au Africa, hata hapa bongo pia wapo wazee wanamiaka 70+ na wananguvu tu , mfano yule mzee mpili wa Yanga nahisi kashatoboa miaka 70 ila ana fujo kama zote
 
Jamani watu haiwezekani kuwa na mawazo sawa. Sijaona sababu ya watu kuongea kwa lugha ngumu eti kisa katoa msaada ambao wewe unauona sio sahihi.
 
Back
Top Bottom