Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usisahau kutuletea ndati na gugwa.Napita hapo sio muda mrefu naelekea shamba Kipalapala
Huwa una upumbafu wa kuzaliwa.Upo kwenye DNA.Jinga wewe!Wachawi lazima muwepo kupinga mambo mema. Hongera kwa kuwawakilisha wenzio
Kuna umri ukifika miguu inagoma kabisa kubeba uzito wa mwiliUnasema huumwi uko kwa wheelchair
Ni neema ya Mungu tu,Kikwete ana 74 bado yuko fit,babu yangu aliendesha baiskeli mpaka akiwa na miaka 80+Kuna umri ukifika miguu inagoma kabisa kubeba uzito wa mwili
Yeye mwenyewe kasema haumwi ugonjwa wowote ila ni uzee tu.Daah!! Afya ya mzee Zoro imetetereka Sana.
Yes hao wote uliowataja ni kwamba wana exercise kujenga muscles, babu yako yupo vizuri 💪, sababu when you hit 30's unaanza ku lose muscles kama usipofanya juhudi ndio hivo japo sio wote.Ni neema ya Mungu tu,Kikwete ana 74 bado yuko fit,babu yangu aliendesha baiskeli mpaka akiwa na miaka 80+
Banana Zorro yupo,Maunda Zorro RIPHuyu alikuwa na mwanaye mwanamuziki kama sijakosea
Ata mimi nimeshangaa,anasema haumwi chochote wakt yuko kwenye wheelchair,kweli wakat ni ikuta.Yani mzee anaonekana miguu haina nguvu kabsa ingawa mwenyew anadai yupo sawa haumwi.
Mzee anaamini ni umriAta mimi nimeshangaa,anasema haumwi chochote wakt yuko kwenye wheelchair,kweli wakat ni ikuta.
Hayo yanakuhusu nini we mjukuu wa mbonde?Nilikuwa nasikia huyo mzee anajimudu kiuchumi vipi ameshindwa kujinunulia hivyo vifaa?
Sorry Mzee Zorro.Hayo yanakuhusu nini we mjukuu wa mbonde?