Pre GE2025 Mwana FA asema atagombea tena ubunge wa jimbo la Muheza

Pre GE2025 Mwana FA asema atagombea tena ubunge wa jimbo la Muheza

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

the guardian 17

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2024
Posts
395
Reaction score
570
Siasa tamu bhana ukipatia, JAmaa amesema atarejea tena

Mbunge wa Jimbo la Muheza na Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe Hamis Mwinjuma "Mwana FA" amesema atagombea tena Ubunge wa Jimbo la Muheza katika mwaka huu wa Uchaguzi 2025 ili kuendelea kuwaletea Maendeleo Wananchi wa Muheza

Mwana FA ameyasema hayo kwenye Kongamano la fursa na Uongozi kwa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) wilaya ya Muheza ambapo amesema lolote linalotakiwa kufanyika ili awe mbunge wa Jimbo hilo litafanyika

"Mwaka wa uchaguzi nitagombea tena Ubunge, bado ninautaka Ubunge wa Muheza, na nautaka hatari ukiniangalia usoni unaona huyu anautaka Ubunge" amesema Hamis Mwinjuma

Amesema Mwaka 2020 wakati anaomba Ridhaa ya kuwa Mwakilishi wa la Jimbo la Muheza waliahidiana mambo yaliyokuwa yakiongozwa na kurasa 303 za Ilani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambayo tayari yametekelezwa kwa kiwango kikubwa

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
 
Siasa tamu bhana ukipatia, JAmaa amesema atarejea tena

Mbunge wa Jimbo la Muheza na Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe Hamis Mwinjuma "Mwana FA" amesema atagombea tena Ubunge wa Jimbo la Muheza katika mwaka huu wa Uchaguzi 2025 ili kuendelea kuwaletea Maendeleo Wananchi wa Muheza

Mwana FA ameyasema hayo kwenye Kongamano la fursa na Uongozi kwa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) wilaya ya Muheza ambapo amesema lolote linalotakiwa kufanyika ili awe mbunge wa Jimbo hilo litafanyika

"Mwaka wa uchaguzi nitagombea tena Ubunge, bado ninautaka Ubunge wa Muheza, na nautaka hatari ukiniangalia usoni unaona huyu anautaka Ubunge" amesema Hamis Mwinjuma

Amesema Mwaka 2020 wakati anaomba Ridhaa ya kuwa Mwakilishi wa la Jimbo la Muheza waliahidiana mambo yaliyokuwa yakiongozwa na kurasa 303 za Ilani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambayo tayari yametekelezwa kwa kiwango kikubwa
View attachment 3230473
Muziki ulimpa umaarufu bila pesa Sasa kaupatia ubunge anaona pesa zinabubujika tu hapo lazima autake tena
 
Kwani Kuna mbunge ambae ameshatangaza kuwa hatagombea au kurudi tena? Hata wa viti maaulumu na wale wa nafasi 10 za kuteuliwa na Rais Wana matumaini ya kuendelea Tena, mwendo wa Mbowe style kutolewa kwenye box la kura aka kwa debe
 
Kwani Kuna mbunge ambae ameshatangaza kuwa hatagombea au kurudi tena? Hata wa viti maaulumu na wale wa nafasi 10 za kuteuliwa na Rais Wana matumaini ya kuendelea Tena, mwendo wa Mbowe style kutolewa kwenye box la kura aka kwa debe
Wana wanaona lile bunge ndiyo sebule yao hawataki kutoka
 
Siasa tamu bhana ukipatia, JAmaa amesema atarejea tena

Mbunge wa Jimbo la Muheza na Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe Hamis Mwinjuma "Mwana FA" amesema atagombea tena Ubunge wa Jimbo la Muheza katika mwaka huu wa Uchaguzi 2025 ili kuendelea kuwaletea Maendeleo Wananchi wa Muheza

Mwana FA ameyasema hayo kwenye Kongamano la fursa na Uongozi kwa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) wilaya ya Muheza ambapo amesema lolote linalotakiwa kufanyika ili awe mbunge wa Jimbo hilo litafanyika

"Mwaka wa uchaguzi nitagombea tena Ubunge, bado ninautaka Ubunge wa Muheza, na nautaka hatari ukiniangalia usoni unaona huyu anautaka Ubunge" amesema Hamis Mwinjuma

Amesema Mwaka 2020 wakati anaomba Ridhaa ya kuwa Mwakilishi wa la Jimbo la Muheza waliahidiana mambo yaliyokuwa yakiongozwa na kurasa 303 za Ilani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambayo tayari yametekelezwa kwa kiwango kikubwa
View attachment 3230473
labda kwenye studio ya zombie wee ya ccm
 
Back
Top Bottom