the guardian 17
JF-Expert Member
- Aug 15, 2024
- 395
- 570
- Thread starter
- #21
Hizi za ndaaani kabisa bwana JohnMchungaji Msigwa atagombea kwao Makete
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizi za ndaaani kabisa bwana JohnMchungaji Msigwa atagombea kwao Makete
Wacha tuone wananchi wa muheza wataamua nini!Siasa tamu bhana ukipatia, JAmaa amesema atarejea tena
Mbunge wa Jimbo la Muheza na Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe Hamis Mwinjuma "Mwana FA" amesema atagombea tena Ubunge wa Jimbo la Muheza katika mwaka huu wa Uchaguzi 2025 ili kuendelea kuwaletea Maendeleo Wananchi wa Muheza
Mwana FA ameyasema hayo kwenye Kongamano la fursa na Uongozi kwa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) wilaya ya Muheza ambapo amesema lolote linalotakiwa kufanyika ili awe mbunge wa Jimbo hilo litafanyika
"Mwaka wa uchaguzi nitagombea tena Ubunge, bado ninautaka Ubunge wa Muheza, na nautaka hatari ukiniangalia usoni unaona huyu anautaka Ubunge" amesema Hamis Mwinjuma
Amesema Mwaka 2020 wakati anaomba Ridhaa ya kuwa Mwakilishi wa la Jimbo la Muheza waliahidiana mambo yaliyokuwa yakiongozwa na kurasa 303 za Ilani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambayo tayari yametekelezwa kwa kiwango kikubwa
View attachment 3230473
Toa sababu kuu 10 kati ya sababu 100Huyu ni mmoja wasiostaili kabisa kurudi bungeni
Pauka...Tumekuwa na wachumia tumbo bila kujali wananchi. Amefanya nini miaka mitano?
Tuwakumbushe tu pesa za burebure wenye nazo dunia ya kwanza wamesema enough is enough mjipange wenyewe.
Siasa ni fursa
Walibebwa sana, sasa ni kujipambania...Siasa ni fursa
Siasi ni si hasaSiasa ni fursa
Kwa hio itakuaje atapenya hapenyi?Walibebwa sana, sasa ni kujipambania...
Blah blah tu kijani haikosi namnaWalibebwa sana, sasa ni kujipambania...
Wasira atawapambania...Kwa hio itakuaje atapenya hapenyi?
Hakika...Blah blah tu kijani haikosi namna
Dah hii inchi sasa uhuru umezidi sana...naona wanasiasa sasa wamegeuka miungu watu hata hawaogopi.Siasa tamu bhana ukipatia, JAmaa amesema atarejea tena
Mbunge wa Jimbo la Muheza na Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe Hamis Mwinjuma "Mwana FA" amesema atagombea tena Ubunge wa Jimbo la Muheza katika mwaka huu wa Uchaguzi 2025 ili kuendelea kuwaletea Maendeleo Wananchi wa Muheza
Mwana FA ameyasema hayo kwenye Kongamano la fursa na Uongozi kwa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) wilaya ya Muheza ambapo amesema lolote linalotakiwa kufanyika ili awe mbunge wa Jimbo hilo litafanyika
"Mwaka wa uchaguzi nitagombea tena Ubunge, bado ninautaka Ubunge wa Muheza, na nautaka hatari ukiniangalia usoni unaona huyu anautaka Ubunge" amesema Hamis Mwinjuma
Amesema Mwaka 2020 wakati anaomba Ridhaa ya kuwa Mwakilishi wa la Jimbo la Muheza waliahidiana mambo yaliyokuwa yakiongozwa na kurasa 303 za Ilani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambayo tayari yametekelezwa kwa kiwango kikubwa
View attachment 3230473