Pre GE2025 Mwana FA asema atagombea tena ubunge wa jimbo la Muheza

Pre GE2025 Mwana FA asema atagombea tena ubunge wa jimbo la Muheza

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Huyu Ni Mbeleko Ya Mzilankende Ndiyo Yalimpa Ubunge
Muda Huu Hatoboi
 
Siasa tamu bhana ukipatia, JAmaa amesema atarejea tena

Mbunge wa Jimbo la Muheza na Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe Hamis Mwinjuma "Mwana FA" amesema atagombea tena Ubunge wa Jimbo la Muheza katika mwaka huu wa Uchaguzi 2025 ili kuendelea kuwaletea Maendeleo Wananchi wa Muheza

Mwana FA ameyasema hayo kwenye Kongamano la fursa na Uongozi kwa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) wilaya ya Muheza ambapo amesema lolote linalotakiwa kufanyika ili awe mbunge wa Jimbo hilo litafanyika

"Mwaka wa uchaguzi nitagombea tena Ubunge, bado ninautaka Ubunge wa Muheza, na nautaka hatari ukiniangalia usoni unaona huyu anautaka Ubunge" amesema Hamis Mwinjuma

Amesema Mwaka 2020 wakati anaomba Ridhaa ya kuwa Mwakilishi wa la Jimbo la Muheza waliahidiana mambo yaliyokuwa yakiongozwa na kurasa 303 za Ilani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambayo tayari yametekelezwa kwa kiwango kikubwa
View attachment 3230473
hawezi kushinda, wanafikiri magufuli bado yupo hai.
 
Siasa tamu bhana ukipatia, JAmaa amesema atarejea tena

Mbunge wa Jimbo la Muheza na Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe Hamis Mwinjuma "Mwana FA" amesema atagombea tena Ubunge wa Jimbo la Muheza katika mwaka huu wa Uchaguzi 2025 ili kuendelea kuwaletea Maendeleo Wananchi wa Muheza

Mwana FA ameyasema hayo kwenye Kongamano la fursa na Uongozi kwa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) wilaya ya Muheza ambapo amesema lolote linalotakiwa kufanyika ili awe mbunge wa Jimbo hilo litafanyika

"Mwaka wa uchaguzi nitagombea tena Ubunge, bado ninautaka Ubunge wa Muheza, na nautaka hatari ukiniangalia usoni unaona huyu anautaka Ubunge" amesema Hamis Mwinjuma

Amesema Mwaka 2020 wakati anaomba Ridhaa ya kuwa Mwakilishi wa la Jimbo la Muheza waliahidiana mambo yaliyokuwa yakiongozwa na kurasa 303 za Ilani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambayo tayari yametekelezwa kwa kiwango kikubwa
View attachment 3230473
Huyo Bungeni kurudi labda kwa Mbereko tu ,
Wabunge wengi waliobebwa 2020 wajiandae kulima ,kwanza hata kampeni zenyewe hawajui , walibebwa bebwa tu
 
Anajivunia jimboni kwake watu kunywa maji yenye tope hiyo ndio falsafa?
 
Ameshahakikishiwa kubebwa tena?
 
Back
Top Bottom