Pre GE2025 Mwana FA asema atagombea tena ubunge wa jimbo la Muheza

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Muheza inawatu wengi makini wakugombea Ubunge ambao wapo hapa Jijini Dsm.Watu makini wenye uwezo na sifa zisizotia shaka.Huyu Jamaa wasasa akae tu pembeni.WABONDEI TUNAKUJA KIVINGINE.
 
Wacha tuone wananchi wa muheza wataamua nini!
 
Akumbuke kwamba this time hakuna kupita bila kupingwa...
Na waliomuweka hapo wote hawapo...
🚮🚮🚮🚮
 
Akae akijua ile mbeleko ya 2020 mwaka huu haipo akipigwa amepigwa.
 
Kwa kifupi huyo jamaa kawaangusha sana watu wa Muheza ,hamna kitu huyo
 
Tumekuwa na wachumia tumbo bila kujali wananchi. Amefanya nini miaka mitano?

Tuwakumbushe tu pesa za burebure wenye nazo dunia ya kwanza wamesema enough is enough mjipange wenyewe.
 
Tumekuwa na wachumia tumbo bila kujali wananchi. Amefanya nini miaka mitano?

Tuwakumbushe tu pesa za burebure wenye nazo dunia ya kwanza wamesema enough is enough mjipange wenyewe.
Pauka...

Hakika umepiga penyewe
 
Angekamilisha barabara ya kwenda Magoroto tu mengine atulie.
 
Dah hii inchi sasa uhuru umezidi sana...naona wanasiasa sasa wamegeuka miungu watu hata hawaogopi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…