Kushindwa kwske kufanya hivyo Hapo baadae ama karibuni so Jambo la kutisha. Wameshindwa wangapi aweze yeye?Mpeni nafasi hata miezi sita, i hope aje na agenda za nguvu ambazo zitabadilisha sheria na sera za kitaifa kuhusu michezo na sanaa,apigane hizo sekta ziwe za kibiashara zaidi na wenye talent zao wataweza kuvuna na kazi zao kulindwa kisheria,ahakikishe yale mapato ya mipira na miziki yaende kwa wenye talent sio vyama vinavyosimamia, namshauri aunde timu yake inayoelewa mambo waandike muswada ulioshiba ambao utabadilisha maisha ya wenye vipaji na kufanya michezo na sanaa kuheshimika na kuonekana kama ajira nyingine, msanii hatakiwi kujipendekeza kwa mwanasiasa au kiongozi yeyote kupata chakula chake, ahakikishe wenye talent watalindwa na kufaidika, akishindwa kabisa akopi sheria za nchi nyingine zilizoendelea then asukume muswada bungeni
Nb
Anaweza kubadili Mambo kadhaa ambayo yeye binafsi kashaona Ni vikwazo vya maendeleo ya wasanii.
Ila wabongo Wana roho mbaya nyie! Yaani hawataki kuamini na kukubali Kwamba FA Ni naibu waziri hivyo. Wanatamani wangekuwa wao. SA we'we Babu Talee unautaka uwaziri elimu yenyewe iko wapi zero brain?
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app