Mwana FA atakuwa Naibu Waziri mbovu kuwahi kutokea Tanzania. Hatatoa msaada kwa wasanii zaidi ya kuwagawa

Mwana FA atakuwa Naibu Waziri mbovu kuwahi kutokea Tanzania. Hatatoa msaada kwa wasanii zaidi ya kuwagawa

Mpeni nafasi hata miezi sita, i hope aje na agenda za nguvu ambazo zitabadilisha sheria na sera za kitaifa kuhusu michezo na sanaa,apigane hizo sekta ziwe za kibiashara zaidi na wenye talent zao wataweza kuvuna na kazi zao kulindwa kisheria,ahakikishe yale mapato ya mipira na miziki yaende kwa wenye talent sio vyama vinavyosimamia, namshauri aunde timu yake inayoelewa mambo waandike muswada ulioshiba ambao utabadilisha maisha ya wenye vipaji na kufanya michezo na sanaa kuheshimika na kuonekana kama ajira nyingine, msanii hatakiwi kujipendekeza kwa mwanasiasa au kiongozi yeyote kupata chakula chake, ahakikishe wenye talent watalindwa na kufaidika, akishindwa kabisa akopi sheria za nchi nyingine zilizoendelea then asukume muswada bungeni
Kushindwa kwske kufanya hivyo Hapo baadae ama karibuni so Jambo la kutisha. Wameshindwa wangapi aweze yeye?
Nb
Anaweza kubadili Mambo kadhaa ambayo yeye binafsi kashaona Ni vikwazo vya maendeleo ya wasanii.
Ila wabongo Wana roho mbaya nyie! Yaani hawataki kuamini na kukubali Kwamba FA Ni naibu waziri hivyo. Wanatamani wangekuwa wao. SA we'we Babu Talee unautaka uwaziri elimu yenyewe iko wapi zero brain?








Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
 
Huyu amepewa uwaziri na Mama Samia naona watu wengi wameipokea hii habari kama ni habari njema kwenye michezo sanaa na burudani.

Kwa tunaomjua Mwana FA hapa hakuna kitu kipya atafanya kusaidia wasanii na wanamichezo. Huyu i mbinafsi, ana roho mbaya, anaringa ile kuringa sio kitoto, ana dharau, mtu wa fitna na majungu na mchonganishi.

Hakuna lolote jipya atafanya kwenye hiyo wizara zaidi ya kuongeza matabaka kwa wasanii, kuwaharibia wenzake asiowapenda maana huyu jamaa ni ana ile roho ya Kiswahili 100%.

Hapa wasanii na wanamichezo wamepigwa mara mia Dr Abbas japo alikuwa anafanya mambo yake kwa ufahamu mdogo wa sanaa ila alikuwa anafikika anakaribisha kila mtu na hana mipaka wala kutengeneza makundi.

Mwana FA kuwa Waziri ni habari mbaya kwenye sanaa yetu. I wish Nikki wa Pili au Jokate wangekuwa wabunge wapewe hii wizara awa ni wazungu wa roho na wanapenda kuona wenzao wakipiga hatua hawana choyo kama huyu mtoto wa kitanga.
dr abbas alikuwa naibu waziri?
 
Rais na washauri wake wamemuweka kisiasa ili avutie watu wa sanaa na burudani na michezo wajisikie ni sehemu ya serikali. Lakini huyu mtoto wa kitanga hakuna jipya atafanya. Nasubiri tuone atafanya nini kipya zaid ya roho mbaya na kauzibe

Sijajua una siri gani lakini wewe unadhani naibu waziri anaweza kiwa na maajabu gani nje ya sera na mikakati ya wizara. Hata mawazo yake yanahitaji muda na kibali cha Bosi wake . Ni ngumu sana kujudge mtu wa hadhi hiyo. Sasa wewe umekuja hapa na hasira sana.
 
Niki wa Pili anafaaa kuwa waziri sema tu si mbunge. Alafu sasa ushangae Joketi ni mtu poa na msaada na ni demu kuliko huyo njiti.

Unamtukana. Unaleta personal hatred kwetu Sisi. Embu grow up na kuwa a responsible person. Hilo Ni gubu la Kike Tena mke mwenza.
 
1699310043145.png
1699310043145.png
 
Huyu amepewa uwaziri na Mama Samia naona watu wengi wameipokea hii habari kama ni habari njema kwenye michezo sanaa na burudani.

Kwa tunaomjua Mwana FA hapa hakuna kitu kipya atafanya kusaidia wasanii na wanamichezo. Huyu i mbinafsi, ana roho mbaya, anaringa ile kuringa sio kitoto, ana dharau, mtu wa fitna na majungu na mchonganishi.

Hakuna lolote jipya atafanya kwenye hiyo wizara zaidi ya kuongeza matabaka kwa wasanii, kuwaharibia wenzake asiowapenda maana huyu jamaa ni ana ile roho ya Kiswahili 100%.

Hapa wasanii na wanamichezo wamepigwa mara mia Dr Abbas japo alikuwa anafanya mambo yake kwa ufahamu mdogo wa sanaa ila alikuwa anafikika anakaribisha kila mtu na hana mipaka wala kutengeneza makundi.

Mwana FA kuwa Waziri ni habari mbaya kwenye sanaa yetu. I wish Nikki wa Pili au Jokate wangekuwa wabunge wapewe hii wizara awa ni wazungu wa roho na wanapenda kuona wenzao wakipiga hatua hawana choyo kama huyu mtoto wa kitanga.
Mi sjui anafanyaje kazi
 
Huyu amepewa uwaziri na Mama Samia naona watu wengi wameipokea hii habari kama ni habari njema kwenye michezo sanaa na burudani.

Kwa tunaomjua Mwana FA hapa hakuna kitu kipya atafanya kusaidia wasanii na wanamichezo. Huyu i mbinafsi, ana roho mbaya, anaringa ile kuringa sio kitoto, ana dharau, mtu wa fitna na majungu na mchonganishi.

Hakuna lolote jipya atafanya kwenye hiyo wizara zaidi ya kuongeza matabaka kwa wasanii, kuwaharibia wenzake asiowapenda maana huyu jamaa ni ana ile roho ya Kiswahili 100%.

Hapa wasanii na wanamichezo wamepigwa mara mia Dr Abbas japo alikuwa anafanya mambo yake kwa ufahamu mdogo wa sanaa ila alikuwa anafikika anakaribisha kila mtu na hana mipaka wala kutengeneza makundi.

Mwana FA kuwa Waziri ni habari mbaya kwenye sanaa yetu. I wish Nikki wa Pili au Jokate wangekuwa wabunge wapewe hii wizara awa ni wazungu wa roho na wanapenda kuona wenzao wakipiga hatua hawana choyo kama huyu mtoto wa kitanga.
Uliposema "hawa ni wazungu" ndio tumepotezana!
 
Huyu amepewa uwaziri na Mama Samia naona watu wengi wameipokea hii habari kama ni habari njema kwenye michezo sanaa na burudani.

Kwa tunaomjua Mwana FA hapa hakuna kitu kipya atafanya kusaidia wasanii na wanamichezo. Huyu i mbinafsi, ana roho mbaya, anaringa ile kuringa sio kitoto, ana dharau, mtu wa fitna na majungu na mchonganishi.

Hakuna lolote jipya atafanya kwenye hiyo wizara zaidi ya kuongeza matabaka kwa wasanii, kuwaharibia wenzake asiowapenda maana huyu jamaa ni ana ile roho ya Kiswahili 100%.

Hapa wasanii na wanamichezo wamepigwa mara mia Dr Abbas japo alikuwa anafanya mambo yake kwa ufahamu mdogo wa sanaa ila alikuwa anafikika anakaribisha kila mtu na hana mipaka wala kutengeneza makundi.

Mwana FA kuwa Waziri ni habari mbaya kwenye sanaa yetu. I wish Nikki wa Pili au Jokate wangekuwa wabunge wapewe hii wizara awa ni wazungu wa roho na wanapenda kuona wenzao wakipiga hatua hawana choyo kama huyu mtoto wa kitanga.

Jamaa mjivuni kweli kweli.
Mwaka 2021 nikiwa na kikosi kazi flani tukiwa tunaratibu zoezi flani mahala ambapo sio mbali na jimboni kwake basi jamaa akahitaji tufike na eneo lake tusaidie wapiga kura wake.

Aliomba kwa mabosi wetu hivyo tukafahamishwa na tukapewa namba yake ya simu, shughuli ikaanza jamaa hapokei hata simu hata upige vipi.

baada siku mbili akapokea kwa mbwembwe na kuongea kwa dharau flani basi tukaifanya ile kazi lakini jamaa ni mtu hovyo tofauti nilivyokuwa nikimuona katika mziki na nilikuwa shabiki yake hata kabla ya kujua ataingia kwenye siasa.

Kifupi baada ya kisa cha 2021 nilimshusha jamaa credit hata nyimbo zake sina mzuka nazo jamaa msela mavi tu

Nimefupisha hicho kisa
 
Jamaa mjivuni kweli kweli.
Mwaka 2021 nikiwa na kikosi kazi flani tukiwa tunaratibu zoezi flani mahala ambapo sio mbali na jimboni kwake basi jamaa akahitaji tufike na eneo lake tusaidie wapiga kura wake.

Aliomba kwa mabosi wetu hivyo tukafahamishwa na tukapewa namba yake ya simu, shughuli ikaanza jamaa hapokei hata simu hata upige vipi.

baada siku mbili akapokea kwa mbwembwe na kuongea kwa dharau flani basi tukaifanya ile kazi lakini jamaa ni mtu hovyo tofauti nilivyokuwa nikimuona katika mziki na nilikuwa shabiki yake hata kabla ya kujua ataingia kwenye siasa.

Kifupi baada ya kisa cha 2021 nilimshusha jamaa credit hata nyimbo zake sina mzuka nazo jamaa msela mavi tu

Nimefupisha hicho kisa
Inategemea maana wengine anatuheshimu! Niishie hapo
 
Back
Top Bottom