mwanaapolo
JF-Expert Member
- Mar 14, 2014
- 256
- 78
hiyo ni ndani ya ndege ama wapi....?
Kawaida sana!
Hiyo ni Emirates boing 777 wala sio Air bus 380 jumbo class ni biz bei ni million 350000
Ambacho hamkijui FA kalipiwa tiket na Big boss Sallah wa home shopping center
Na safari ilikuwa ya US
So wana JF msidanganyane FA na Muziki wake hana mbavu ya kukata tiket hiyo
Sio yeye tu hata Domo bado sana kupanda class hiyo Kwa Ndege kama emerates mara kadhaa labda ethopia (Fuso)
Chache ngapi? na unazungumzia ndege ya aiana gani na shirika gani? kama ni Emirates Business class ndege ndogo ni 42seats na kama ndege kubwa ni 76 seats in business? kama unazungumzia Air Tanzania au shirika jengine sawa.Hapa tunamzungumzia mwanamziki wa bongo fleva. Mambo ya zamani na sasa hayo ni maoni yako.
Kama ni kitu cha kawaida mbona nafasi za hizo first na business class ni chache. Kwa nini isiwe ndege nzima kama wewe unavyoona ni kitu cha kawaida?
Huyo Boss wa HSC mbona anawafadhili sana hawa wasanii? Kamnunulia Jumba Idrisa BBA winner na sasa kamlipia FA nauli,anafaidika na nini? hapa kuna mawili either kuna mchezo mchafu kama wa melei balabuu au anawabebesha sembe.
Mziki au mshahara wa clouds tusiuziane mbuzi kwenye gunia bana
kupanda ndege nayo ni mafanikio?comment nyingi za humu ndani zinaonyesha uhalisia wa watanzania, karibu kila comment inalenga kuponda mafanikio ya huyu msanii, yaani wabongo wengi wana wivi wa mafanikio ambayo hawawezi kuyapata, kibaya zaidi haya mafanikio ndio yanakuwa chanzo cha chuki, guys wake up this guy is already a role model to others, mafanikio hayaji kirahisi kinamna hivyo, big up f.a more success, more friends and more haters