[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nimesoma , na nimejaribu kucheki option ya kuufuta uzi huu ila sioni sehemu ya ku delete thread. Sasa embu niokoee ndugu yako tell the mods to take down this post, yaani waufute
Kwa hiyo kama haufiki thamani hiyo, utakuwa na thamani ipi sasa kama wengine wanakuwa na uhuru wa kukiuka hatimiliki za wasanii?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ubongo sijui umechanganyika na maji? Ukishatumia kazi ya mtu bila idhini yake basi pesa anapanga yeye na mahakama inajiridhisha tu. Sasa njoo na matusi uone kama sijakudai billion 10 [emoji16][emoji16]Nimesikia ati Mwana FA na AY wakishirikiana na wakili wa kujitegemea Albert Msando wanapaswa kulipwa bilioni mbili kwa ajili ya fidia ya kutumia nyimbo za wasanii wao bila ruhusa yao.
Sikatai kweli ni kosa kisheria kwa maana hizo nyimbo zina hati miliki na mali ya wasanii tajwa, kinachonishangaza ni kiasi cha fedha wanachodai yaani bilioni 2.1 ambacho siyo realistic hata kidogo, kwa maana Ay na FA hawana nyimbo zenye thamani hiyo, na ni wasanii wakubwa wa zamani si kwa sasa.
Wito wangu wajaribu kudai kitu ambacho kina ukweli sio kutaja figure tu ili mradi kwani wote tunajua msanii mkubwa ni mmoja tu Diamond japo na yeye hana wimbo wa bil 2.1.
Msitegemee mistakes za watu kutajirika. Fanyeni muziki uwalipe kama Diamond. Huo utapeli mnaotaka kufanya Mungu anawaona.
Thanks in Advance.
Jamaa kaumia roho utadhani aliwasaidia kuandika mistari ya nyimbo zao....Aisee yaani imekuuma sana kumbe...
Haya wamekusikia watagoma na hiyo hela watakupa wewe ukafaidike na familia yako
Samahani, naomba kuuliza.acha roho mbaya ww Tigo walipiga pesa sana kipind cha nyuma kama sio wasanii kustuka wangeendelea kuliwa tu acha walipe maana hata ukiweka salio tu unakuta limeisha bila sababu
Sent using Jamii Forums mobile app
unasikia tangazo bonyeza 1 kupata nymbo hii ila ni shllng 50 au 150 kwa weekSamahani, naomba kuuliza.
Wanapataje hela sasa through nyimbo za wasanii.?!