Mwana FA & AY acheni utapeli, hamna miziki yenye thamani ya Bilioni 2.1, Tigo gomeni

Mwana FA & AY acheni utapeli, hamna miziki yenye thamani ya Bilioni 2.1, Tigo gomeni

Heri mleta uzi ameonyesha roho yake ya kutu na kutoa la moyoni maana wachawi wengi sana sema wengine wanakuja na gia ya kupongeza huku moyoni wanawaza kama mleta uzi.

Ukiiba idea au kazi yoyote ya mtu ikakuingizia kipato mwenye mali ana haki ya kutamka chochote anachodhani ndo thamani ya kazi...je Tigo wameingiza kiasi gani mpaka sasa kutokana na wizi huo?
 
Nimesikia ati Mwana FA na AY wakiahirikiana na wakili wa kujitegemea Albert Msando wanapaswa kulipwa bilioni mbili kwa ajili ya fidia ya kutumia nyimbo za wasanii wao bila ruhusa yao.

Sikatai kweli ni kosa kisheria kwa maana hizo nyimbo zina hati maliki na mali ya wasanii tajwa, kinachonishangaza ni kiasi cha fedha wanachodai yaani bilioni 2.1 ambacho siyo realistic hata kidogo, kwa maana Ay na FA hawana nyimbo zenye thamani hiyo, na ni wasanii wakubwa wa zamani c kwa sasa.

Wito wangu wajaribu kudai kitu ambacho kina ukweli sio kutaja figure tu ili mradi kwani wote tunajua msaanii mkubwa ni mmoja tu Diamond jspo na yeye ana wimbo wa bil 2.1, msitegemee mistaki za watu kutajirika, fanyeni mziki uwalipe kama diamond huo utapeli mnaotaka kufanya mungu anawaona.

Thanks in Advance

ni kweli kabisa wasanii hawa hawana mziki wa bil 2 ila naomba unambie tigo ina wateja wangapi hapa bongo? imepata kiasi gani baada ya kutumia nyimbo za wasanii hawa?na kwanini tigo watumie jasho la wasanii hawa kwa wizi?
 
We unajua kupitia nyimbo yao kampuni ya Tigo imeingiza bei gani??

Kudaiwa wadaiwe Tigo wewe roho inakuuma vipi?
Kama Tigo watagoma kulipa sheria zipo wataburuzwa mahakamani, huwezi kutumia ubunifu wa mtu mwingine ili ujipatie fedha kirahisi, wacha waisome namba kwanza wanatuibia sana kila tunapoweka salio kwenye simu.
Ndugu yangu duniani kuna watu wa ajabu sana....Tigo wasingetumia kama kungekuwa hakuna faida kwao!!...Jamaa ameumia sana, nimeshindwa hata kuelewa kinachomuuma ni nini, Tigo wanadaiwa, anakuja mtu kutoa povu huku JF sasa hii inaonyesha wabongo hatupendi maaendeleo ya wenzetu....
 
ni kweli kabisa wasanii hawa hawana mziki wa bil 2 ila naomba unambie tigo ina wateja wangapi hapa bongo? imepata kiasi gani baada ya kutumia nyimbo za wasanii hawa?na kwanini tigo watumie jasho la wasanii hawa kwa wizi?
Na wewe unatakiwa kujiuliza kwanini Tigo wamechukua kazi za wasanii hao bila idhini? au unadhani walistahili kulipwa ngapi?......huwezi kujiuliza kwanini mtu akivunja na kuiba hata kama ni kitasa cha 60,000 na kuiba radio ya 15,000 anachezea mvua za kutosha (je kifungo ni sawa na mali iliyoibiwa).......hiyo inaitwa hukumu waliopewa Tigo inaitwa "iwe mfano kwa wengine wanaoiba kazi za wasanii"
 
Ndugu yangu duniani kuna watu wa ajabu sana....Tigo wasingetumia kama kungekuwa hakuna faida kwao!!...Jamaa ameumia sana, nimeshindwa hata kuelewa kinachomuuma ni nini, Tigo wanadaiwa, anakuja mtu kutoa povu huku JF sasa hii inaonyesha wabongo hatupendi maaendeleo ya wenzetu....
Kuna hali flani ya watu wasiokuwa na fedha kuwachukia wenye fedha yaani mtu anataka yeye apate ama ukipata wewe angalau na yeye pia awe ni miongoni mwa waliopata...jamaa wivu tu ndo unamsumbua
 
Mtoa mada una mahaba na tigo sio kwa kutokwa povu hili.. ivi unajua tigo wametengeneza sh ngapi kupitia izo nyimbo..?
 
Nimesikia ati Mwana FA na AY wakiahirikiana na wakili wa kujitegemea Albert Msando wanapaswa kulipwa bilioni mbili kwa ajili ya fidia ya kutumia nyimbo za wasanii wao bila ruhusa yao.

Sikatai kweli ni kosa kisheria kwa maana hizo nyimbo zina hati maliki na mali ya wasanii tajwa, kinachonishangaza ni kiasi cha fedha wanachodai yaani bilioni 2.1 ambacho siyo realistic hata kidogo, kwa maana Ay na FA hawana nyimbo zenye thamani hiyo, na ni wasanii wakubwa wa zamani c kwa sasa.

Wito wangu wajaribu kudai kitu ambacho kina ukweli sio kutaja figure tu ili mradi kwani wote tunajua msaanii mkubwa ni mmoja tu Diamond jspo na yeye ana wimbo wa bil 2.1, msitegemee mistaki za watu kutajirika, fanyeni mziki uwalipe kama diamond huo utapeli mnaotaka kufanya mungu anawaona.

Thanks in Advance
Ndio kizungumkuti cha fidia hicho mtu anatamka tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimesikia ati Mwana FA na AY wakiahirikiana na wakili wa kujitegemea Albert Msando wanapaswa kulipwa bilioni mbili kwa ajili ya fidia ya kutumia nyimbo za wasanii wao bila ruhusa yao.

Sikatai kweli ni kosa kisheria kwa maana hizo nyimbo zina hati maliki na mali ya wasanii tajwa, kinachonishangaza ni kiasi cha fedha wanachodai yaani bilioni 2.1 ambacho siyo realistic hata kidogo, kwa maana Ay na FA hawana nyimbo zenye thamani hiyo, na ni wasanii wakubwa wa zamani c kwa sasa.

Wito wangu wajaribu kudai kitu ambacho kina ukweli sio kutaja figure tu ili mradi kwani wote tunajua msaanii mkubwa ni mmoja tu Diamond jspo na yeye ana wimbo wa bil 2.1, msitegemee mistaki za watu kutajirika, fanyeni mziki uwalipe kama diamond huo utapeli mnaotaka kufanya mungu anawaona.

Thanks in Advance

Yaani unaangalia thamani ya muziki wao sokoni badala ya kuangali thamani ya muziki wao kwa Tigo, yaani kwamba hao Tigo wametengeneza faida kiasi gani kutokana na muziki huo!!

Kama hujui sheria inavofanya kazi kaa kimya...

Kwa maelezo yako unataka wadau hiyo hela so kwa kuangali faida iliyotengenezwa kupitia muziki wao bali wadau hiyo hela kwa kuangali muziki wao uliuza kiasi gani sokoni walipotoa wimbo wao kitu ambacho hakihusiani na Tigo!!!


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuimba hujui lakini unajua kuthaminisha bei za nyimbo za wengine.
 
Na wewe unatakiwa kujiuliza kwanini Tigo wamechukua kazi za wasanii hao bila idhini? au unadhani walistahili kulipwa ngapi?......huwezi kujiuliza kwanini mtu akivunja na kuiba hata kama ni kitasa cha 60,000 na kuiba radio ya 15,000 anachezea mvua za kutosha (je kifungo ni sawa na mali iliyoibiwa).......hiyo inaitwa hukumu waliopewa Tigo inaitwa "iwe mfano kwa wengine wanaoiba kazi za wasanii"

ni sawa kabisa,acha walipe
 
Back
Top Bottom