Mwana FA jishushe kidogo unapokuwa na bosi wako

Mwana FA jishushe kidogo unapokuwa na bosi wako

Muite

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2013
Posts
2,971
Reaction score
6,607
Ni ukweli usiopingika jina la MWANA FA ni kubwa sana kutokana na kupata mafanikio katika tasnia ya Muziki na kuwa miongoni mwa Magwiji wa Bongo Flavour.

Pamoja na umaarufu wake lakini ni Kijana ambaye kichwa chake kiko vema sana ndio maana hata ngazi kuu za Maamuzi zimemuona . Hakika anafaa sana.

Ushauri wangu kwake ni kwamba anapotekeleza majukumu ajitahidi kumkumbuka Boss wake(Waziri) hasa katika hadhira za watu. Bila shaka kuna mazingira inabidi kutambua dhamana ya Boss wako.

Huwa kuna majukumu ya kimaamuzi ya Naibu Waziri kama yeye na kuna mengine yanayomuhitaji Waziri kamili. Katika mambo yanayomuhusu Boss wake inabidi aepuke kutumia neno "NITAHAKIKISHA"

So far atakapokuwa waziri Kamili basi atajivinjari anavyotaka, japo na huko kuna mazingira yatakayomkumbusha kuwa yupo kwa niaba ya PM au Rais.

Wabobezi wa ethics, conduct and protocol mtakuwa mmenielewa.
 
Communication skill ya naibu waziri, kwa mfano hili nimelichukua nitalifikisha kwa wenzangu wizarani tuone linakuaje, nitapendekeza, hapa nitashauriana na mheshimiwa waziri tuone namna bora ya kuliweka, unapo mrecognise boss wako inatoa imani kwa unaowaeleza kua wewe ni msikivu na sio mbumbumbu
 
Communication skill ya naibu waziri, kwa mfano hili nimelichukua nitalifikisha kwa wenzangu wizarani tuone linakuaje, nitapendekeza, hapa nitashauriana na mheshimiwa waziri tuone namna bora ya kuliweka, unapo mrecognise boss wako inatoa imani kwa unaowaeleza kua wewe ni msikivu na sio mbumbumbu
Umenena Vyema !!!...
 
Communication skill ya naibu waziri, kwa mfano hili nimelichukua nitalifikisha kwa wenzangu wizarani tuone linakuaje, nitapendekeza, hapa nitashauriana na mheshimiwa waziri tuone namna bora ya kuliweka, unapo mrecognise boss wako inatoa imani kwa unaowaeleza kua wewe ni msikivu na sio mbumbumbu
Daaaaah!!! Upo vema sana sana.
 
Ni ukweli usiopingika jina la MWANA FA ni kubwa sana kutokana na kupata mafanikio katika tasnia ya Muziki na kuwa miongoni mwa Magwiji wa Bongo Flavour.

Pamoja na umaarufu wake lakini ni Kijana ambaye kichwa chake kiko vema sana ndio maana hata ngazi kuu za Maamuzi zimemuona . Hakika anafaa sana.

Ushauri wangu kwake ni kwamba anapotekeleza majukumu ajitahidi kumkumbuka Boss wake(Waziri) hasa katika hadhira za watu. Bila shaka kuna mazingira inabidi kutambua dhamana ya Boss wako.

Huwa kuna majukumu ya kimaamuzi ya Naibu Waziri kama yeye na kuna mengine yanayomuhitaji Waziri kamili. Katika mambo yanayomuhusu Boss wake inabidi aepuke kutumia neno
" NITAHAKIKISHA" .

So far atakapokuwa waziri Kamili basi atajivinjari anavyotaka, japo na huko kuna mazingira yatakayomkumbusha kuwa yupo kwa niaba ya PM au Rais.

Wabobezi wa ethics, conduct and protocol mtakuwa mmenielewa.
Boss wake ni aliyemteua na sio waziri
 
Communication skill ya naibu waziri, kwa mfano hili nimelichukua nitalifikisha kwa wenzangu wizarani tuone linakuaje, nitapendekeza, hapa nitashauriana na mheshimiwa waziri tuone namna bora ya kuliweka, unapo mrecognise boss wako inatoa imani kwa unaowaeleza kua wewe ni msikivu na sio mbumbumbu
Asante mkuu, wengi hawana communication skills. Hawajui wapi waongee kipi na katika mazingira gani. Hivi unaikumbuka communication skills ya JPM mbele ya hadhira?🤣
 
Back
Top Bottom