Mwana FA jishushe kidogo unapokuwa na bosi wako

Mwana FA jishushe kidogo unapokuwa na bosi wako

Asante mkuu, wengi hawana communication skills. Hawajui wapi waongee kipi na katika mazingira gani. Hivi unaikumbuka communication skills ya JPM mbele ya hadhira?[emoji1787]

Ilikua poor sana sema ndio Boss inabidi watu wapige makofi tu, aliwaambia akina mama morogoro mnataka kupanuliwa wakaitika ndiooo na makofi juu, kwa kumsikiliza kiongozi hua najua kabisa hapa tunaongozwa na chizi
 
Ilikua poor sana sema ndio Boss inabidi watu wapige makofi tu, aliwaambia akina mama morogoro mnataka kupanuliwa wakaitika ndiooo na makofi juu, kwa kumsikiliza kiongozi hua najua kabisa hapa tunaongozwa na chizi
Kuna nyingine alikuwa anamjibu mwananchi sijui ni wapi pale alikuwa amesimamisha gari kuongea na wananchi, mzee akatoa kero kuwa Tanroads wamejenga vyoo alafu wanachajisha hela, JPM alimjibu yule mzee kuwa "Kama unaona si sawa rudi na mavi mavi yako huko ulipotoka, ulitaka wafanyeje?" Akawaambia wananchi asanteni akabonyea kwenye Land cruiser. Aisee nilijisikia aibu mimi kwakweli
 
Kama kuna Naibu Waziri atachokwa haraka na Samia ni MwanaFA. Kwanza bila mazoea na Ridhiwan Kikwete asingeteuliwa. Huu ni mchongo wa Ridh1 Kwa babake ambaye naye kamshawishi Samia. Hapa Kuna kizazi Cha uongozi unatengemezwa kama ilivyokuwa Kwa Jakaya, Jakamwambi, Mkuchika, Kinana, Makamba nk. Hawa watakuja kutuongoza na mwana FA yumo kaingizwa.
 
Boss wake ni aliyemteua na sio waziri
Japo kwa upande mmoja upo sahihi kabisa . Lakni ninavyokusoma wewe ukiteuliwa nadhani hata Bungeni kwenye kujibu hoja hutaweka neno " Kwa niaba ya Waziri." Au itokee umepewa ukuu wa Wilaya nadhani kwako utamuona RC ni kama wewe tu.

Samahani au wewe ni Makonda
 
Japo kwa upande mmoja upo sahihi kabisa . Lakni ninavyokusoma wewe ukiteuliwa nadhani hata Bungeni kwenye kujibu hoja hutaweka neno " Kwa niaba ya Waziri." Au itokee umepewa ukuu wa Wilaya nadhani kwako utamuona RC ni kama wewe tu.

Samahani au wewe ni Makonda
Upo sahihi

Mimi ni zaidi ya Makonda na Sabaya
 
Ni ukweli usiopingika jina la MWANA FA ni kubwa sana kutokana na kupata mafanikio katika tasnia ya Muziki na kuwa miongoni mwa Magwiji wa Bongo Flavour.

Pamoja na umaarufu wake lakini ni Kijana ambaye kichwa chake kiko vema sana ndio maana hata ngazi kuu za Maamuzi zimemuona . Hakika anafaa sana.

Ushauri wangu kwake ni kwamba anapotekeleza majukumu ajitahidi kumkumbuka Boss wake(Waziri) hasa katika hadhira za watu. Bila shaka kuna mazingira inabidi kutambua dhamana ya Boss wako.

Huwa kuna majukumu ya kimaamuzi ya Naibu Waziri kama yeye na kuna mengine yanayomuhitaji Waziri kamili. Katika mambo yanayomuhusu Boss wake inabidi aepuke kutumia neno
" NITAHAKIKISHA" .

So far atakapokuwa waziri Kamili basi atajivinjari anavyotaka, japo na huko kuna mazingira yatakayomkumbusha kuwa yupo kwa niaba ya PM au Rais.

Wabobezi wa ethics, conduct and protocol mtakuwa mmenielewa.
Naunga mkono hoja
P
 
Umeeleweka na uzuri wanakuaga na mafundisho wanapewa na wanakumbushana mara kwa mara akishazoea hii hali itaisha
Mtoa mada yuko sahihi..wengine tabia hiyo asili yao..mafunzo hata wiki haijaisha tangu yaishe.
 
Communication skill ya naibu waziri, kwa mfano hili nimelichukua nitalifikisha kwa wenzangu wizarani tuone linakuaje, nitapendekeza, hapa nitashauriana na mheshimiwa waziri tuone namna bora ya kuliweka, unapo mrecognise boss wako inatoa imani kwa unaowaeleza kua wewe ni msikivu na sio mbumbumbu
Sawa kabisa..ndio maana mawaziri na viongozi wengine kila wanachofanya hasa kile kizuri wanatamka kwamba Mhe Rais ndio kafanya na ndio utaratibu.
 
Ilikua poor sana sema ndio Boss inabidi watu wapige makofi tu, aliwaambia akina mama morogoro mnataka kupanuliwa wakaitika ndiooo na makofi juu, kwa kumsikiliza kiongozi hua najua kabisa hapa tunaongozwa na chizi
Mzee alilewa sana madaraka, ye alikuwa anaropoka just whatever comes in his mind ili apigiwe makofina kupewa sifa za kinafki🤣🤣
 
Hayupo sahihi.
Akitoka hapo anaenda kuomba idhini/kibali kwa Waziri wake..je akikataliwa?
Bora umemjibu wewe mkuu, mi nilivyoona jibu lake tu nikaconclude siwezi kumwelesha mtu kama huyu kwenye jambo wazi kama hilo. Hongera kwa kumfafanulia
 
  • Thanks
Reactions: BRN
Ni ukweli usiopingika jina la MWANA FA ni kubwa sana kutokana na kupata mafanikio katika tasnia ya Muziki na kuwa miongoni mwa Magwiji wa Bongo Flavour.

Pamoja na umaarufu wake lakini ni Kijana ambaye kichwa chake kiko vema sana ndio maana hata ngazi kuu za Maamuzi zimemuona . Hakika anafaa sana.

Ushauri wangu kwake ni kwamba anapotekeleza majukumu ajitahidi kumkumbuka Boss wake(Waziri) hasa katika hadhira za watu. Bila shaka kuna mazingira inabidi kutambua dhamana ya Boss wako.

Huwa kuna majukumu ya kimaamuzi ya Naibu Waziri kama yeye na kuna mengine yanayomuhitaji Waziri kamili. Katika mambo yanayomuhusu Boss wake inabidi aepuke kutumia neno
" NITAHAKIKISHA" .

So far atakapokuwa waziri Kamili basi atajivinjari anavyotaka, japo na huko kuna mazingira yatakayomkumbusha kuwa yupo kwa niaba ya PM au Rais.

Wabobezi wa ethics, conduct and protocol mtakuwa mmenielewa.

Ushauri mzuri afuate rule NUMBER UNO.
 
Back
Top Bottom