Mwana FA jishushe kidogo unapokuwa na bosi wako

Mwana FA jishushe kidogo unapokuwa na bosi wako

Kuna nyingine alikuwa anamjibu mwananchi sijui ni wapi pale alikuwa amesimamisha gari kuongea na wananchi, mzee akatoa kero kuwa Tanroads wamejenga vyoo alafu wanachajisha hela, JPM alimjibu yule mzee kuwa "Kama unaona si sawa rudi na mavi mavi yako huko ulipotoka, ulitaka wafanyeje?" Akawaambia wananchi asanteni akabonyea kwenye Land cruiser. Aisee nilijisikia aibu mimi kwakweli
Hahaha! Kwa jibu hilo bora angeendelea kuishi. Kama unaona shilingi 100 ni nyingi piga mbizi uvuke, by jpm
 
Kuna nyingine alikuwa anamjibu mwananchi sijui ni wapi pale alikuwa amesimamisha gari kuongea na wananchi, mzee akatoa kero kuwa Tanroads wamejenga vyoo alafu wanachajisha hela, JPM alimjibu yule mzee kuwa "Kama unaona si sawa rudi na mavi mavi yako huko ulipotoka, ulitaka wafanyeje?" Akawaambia wananchi asanteni akabonyea kwenye Land cruiser. Aisee nilijisikia aibu mimi kwakweli
Hahaha! Kwa jibu hilo bora angeendelea kuishi. Kama unaona shilingi 100 ni nyingi piga mbizi uvuke, by jpm
 
Bado mchanga sana ktk uongozi, akikuwa ataacha na asipoacha atafukuzwa unaibu Waziri
 
Ni ukweli usiopingika jina la MWANA FA ni kubwa sana kutokana na kupata mafanikio katika tasnia ya Muziki na kuwa miongoni mwa Magwiji wa Bongo Flavour.

Pamoja na umaarufu wake lakini ni Kijana ambaye kichwa chake kiko vema sana ndio maana hata ngazi kuu za Maamuzi zimemuona . Hakika anafaa sana.

Ushauri wangu kwake ni kwamba anapotekeleza majukumu ajitahidi kumkumbuka Boss wake(Waziri) hasa katika hadhira za watu. Bila shaka kuna mazingira inabidi kutambua dhamana ya Boss wako.

Huwa kuna majukumu ya kimaamuzi ya Naibu Waziri kama yeye na kuna mengine yanayomuhitaji Waziri kamili. Katika mambo yanayomuhusu Boss wake inabidi aepuke kutumia neno "NITAHAKIKISHA"

So far atakapokuwa waziri Kamili basi atajivinjari anavyotaka, japo na huko kuna mazingira yatakayomkumbusha kuwa yupo kwa niaba ya PM au Rais.

Wabobezi wa ethics, conduct and protocol mtakuwa mmenielewa.
Kwani hakuudhuria semina elekezi kule Arusha!!
 
Sio kweli hata akitaka kusafiri lazima aombe ruhusa kwa waziri wake
Nimesema hivyo baada ya mdau hapo juu kusema kuwa N/Waziri boss wake ni Rais. Maana yake kwa mtazamo huo anamini kuwa N/Waziri naye ana mamlaka kamili. Ndio nikasema hivyo
 
Juzi kati mawaziri wote waliitwa Arusha 'kung'olewa meno'. Hayo makeke anayatoa wapi?
 
Ukiona naibu waziri ana kiburi jua sio bahati mbaya, aliyemteua keshamwahidi atampa uwaziri kamili hilo mlijue, hivo FA anafanya makusudi kabisa, na soon atapewa wizara
 
Ni ukweli usiopingika jina la MWANA FA ni kubwa sana kutokana na kupata mafanikio katika tasnia ya Muziki na kuwa miongoni mwa Magwiji wa Bongo Flavour.

Pamoja na umaarufu wake lakini ni Kijana ambaye kichwa chake kiko vema sana ndio maana hata ngazi kuu za Maamuzi zimemuona . Hakika anafaa sana.

Ushauri wangu kwake ni kwamba anapotekeleza majukumu ajitahidi kumkumbuka Boss wake(Waziri) hasa katika hadhira za watu. Bila shaka kuna mazingira inabidi kutambua dhamana ya Boss wako.

Huwa kuna majukumu ya kimaamuzi ya Naibu Waziri kama yeye na kuna mengine yanayomuhitaji Waziri kamili. Katika mambo yanayomuhusu Boss wake inabidi aepuke kutumia neno "NITAHAKIKISHA"

So far atakapokuwa waziri Kamili basi atajivinjari anavyotaka, japo na huko kuna mazingira yatakayomkumbusha kuwa yupo kwa niaba ya PM au Rais.

Wabobezi wa ethics, conduct and protocol mtakuwa mmenielewa.
Kwenye Chama boss ni mmoja tu
 
Ni ukweli usiopingika jina la MWANA FA ni kubwa sana kutokana na kupata mafanikio katika tasnia ya Muziki na kuwa miongoni mwa Magwiji wa Bongo Flavour.

Pamoja na umaarufu wake lakini ni Kijana ambaye kichwa chake kiko vema sana ndio maana hata ngazi kuu za Maamuzi zimemuona . Hakika anafaa sana.

Ushauri wangu kwake ni kwamba anapotekeleza majukumu ajitahidi kumkumbuka Boss wake(Waziri) hasa katika hadhira za watu. Bila shaka kuna mazingira inabidi kutambua dhamana ya Boss wako.

Huwa kuna majukumu ya kimaamuzi ya Naibu Waziri kama yeye na kuna mengine yanayomuhitaji Waziri kamili. Katika mambo yanayomuhusu Boss wake inabidi aepuke kutumia neno "NITAHAKIKISHA"

So far atakapokuwa waziri Kamili basi atajivinjari anavyotaka, japo na huko kuna mazingira yatakayomkumbusha kuwa yupo kwa niaba ya PM au Rais.

Wabobezi wa ethics, conduct and protocol mtakuwa mmenielewa.
Me naona yuko Sahihi Maana Mara nyingi Hiyo ni wizara maana yake ni ofisi na sio mtu..ukiona swali limeelekezwa kwa wizara fulani na waziri hayupo yupo naibu kujibu kuwa nitahakikisha maana yake yeye kama ofisi ya waziri atafanya hivyo na sio yeye kama MwanaFA...

Kwa mfano kipindi cha Maswali na Majibu Bungeni ( Kama ni mfatiliaji lakini) Spika wa Bunge huchagua yoyote wa kumpa Swali kujibu bila kujali ni waziri Au naibu waziri ndo maana utasikia "Majibu Naibu waziri" hata kama waziri Husika yupo...
Hii inamaanisha kwamba watu hao wanafnya kazi wizra moja kwa kushirikiana....

Nadhani una Umri mkubwa nikukumbushe kuwa Hii Nafasi ya Naibu waziri Haifanani na Nafasi ya Mawaziri wadogo kipindi cha Nyerere ambao walikuwa hawana sauti kipindi waziri mkubwa yupo hii ni tofauti kasome...Protokali za uwwaziri na kanuni za unaibu waziri na uendeshaji wa wizara ...
 
Ni ukweli usiopingika jina la MWANA FA ni kubwa sana kutokana na kupata mafanikio katika tasnia ya Muziki na kuwa miongoni mwa Magwiji wa Bongo Flavour.

Pamoja na umaarufu wake lakini ni Kijana ambaye kichwa chake kiko vema sana ndio maana hata ngazi kuu za Maamuzi zimemuona . Hakika anafaa sana.

Ushauri wangu kwake ni kwamba anapotekeleza majukumu ajitahidi kumkumbuka Boss wake(Waziri) hasa katika hadhira za watu. Bila shaka kuna mazingira inabidi kutambua dhamana ya Boss wako.

Huwa kuna majukumu ya kimaamuzi ya Naibu Waziri kama yeye na kuna mengine yanayomuhitaji Waziri kamili. Katika mambo yanayomuhusu Boss wake inabidi aepuke kutumia neno "NITAHAKIKISHA"

So far atakapokuwa waziri Kamili basi atajivinjari anavyotaka, japo na huko kuna mazingira yatakayomkumbusha kuwa yupo kwa niaba ya PM au Rais.

Wabobezi wa ethics, conduct and protocol mtakuwa mmenielewa.
Umemjenga vyema sana mkuu
 
Ni ukweli usiopingika jina la MWANA FA ni kubwa sana kutokana na kupata mafanikio katika tasnia ya Muziki na kuwa miongoni mwa Magwiji wa Bongo Flavour.

Pamoja na umaarufu wake lakini ni Kijana ambaye kichwa chake kiko vema sana ndio maana hata ngazi kuu za Maamuzi zimemuona . Hakika anafaa sana.

Ushauri wangu kwake ni kwamba anapotekeleza majukumu ajitahidi kumkumbuka Boss wake(Waziri) hasa katika hadhira za watu. Bila shaka kuna mazingira inabidi kutambua dhamana ya Boss wako.

Huwa kuna majukumu ya kimaamuzi ya Naibu Waziri kama yeye na kuna mengine yanayomuhitaji Waziri kamili. Katika mambo yanayomuhusu Boss wake inabidi aepuke kutumia neno "NITAHAKIKISHA"

So far atakapokuwa waziri Kamili basi atajivinjari anavyotaka, japo na huko kuna mazingira yatakayomkumbusha kuwa yupo kwa niaba ya PM au Rais.

Wabobezi wa ethics, conduct and protocol mtakuwa mmenielewa.


Kuhakikisha kunaweza kuwa kumhimiza bocy wake
 
Me naona yuko Sahihi Maana Mara nyingi Hiyo ni wizara maana yake ni ofisi na sio mtu..ukiona swali limeelekezwa kwa wizara fulani na waziri hayupo yupo naibu kujibu kuwa nitahakikisha maana yake yeye kama ofisi ya waziri atafanya hivyo na sio yeye kama MwanaFA...

Kwa mfano kipindi cha Maswali na Majibu Bungeni ( Kama ni mfatiliaji lakini) Spika wa Bunge huchagua yoyote wa kumpa Swali kujibu bila kujali ni waziri Au naibu waziri ndo maana utasikia "Majibu Naibu waziri" hata kama waziri Husika yupo...
Hii inamaanisha kwamba watu hao wanafnya kazi wizra moja kwa kushirikiana....

Nadhani una Umri mkubwa nikukumbushe kuwa Hii Nafasi ya Naibu waziri Haifanani na Nafasi ya Mawaziri wadogo kipindi cha Nyerere ambao walikuwa hawana sauti kipindi waziri mkubwa yupo hii ni tofauti kasome...Protokali za uwwaziri na kanuni za unaibu waziri na uendeshaji wa wizara ...
Upo sahihi kabisa, akiwa bungeni mara nyingi ni naibu waziri anayejibu kwa niaba, pia anapokuwa mwenyewe kuna mazingira yanayomuwezesha kuzungumza kama yeye kwaajili ya wizara. Lakini hoja yangu ni pale anapokuwa kwenye shughuli au hafla ambayo yupo pia waziri wake ni lazima UKUU WA BOSS WAKO uuonyeshe na sio kuubeba wewe . Ukifuatilia mwanzoni kabisa alipoteuliwa mara kadhaa walipokuwa kwenye shughuli halafu apewe nafasi ya kuongea alikuwa anajisahau na kuwa kama yeye sio naibu, nadhani hata waziri wake alilijua hilo ndio maana wanapokuwa kwenye hadhira moja waziri hakupenda kuzungumza sana.

So far kwasasa hivi Mwana FA amebadilika sana na anafanya vema kiitifaki
 
Ni ukweli usiopingika jina la MWANA FA ni kubwa sana kutokana na kupata mafanikio katika tasnia ya Muziki na kuwa miongoni mwa Magwiji wa Bongo Flavour.

Pamoja na umaarufu wake lakini ni Kijana ambaye kichwa chake kiko vema sana ndio maana hata ngazi kuu za Maamuzi zimemuona . Hakika anafaa sana.

Ushauri wangu kwake ni kwamba anapotekeleza majukumu ajitahidi kumkumbuka Boss wake(Waziri) hasa katika hadhira za watu. Bila shaka kuna mazingira inabidi kutambua dhamana ya Boss wako.

Huwa kuna majukumu ya kimaamuzi ya Naibu Waziri kama yeye na kuna mengine yanayomuhitaji Waziri kamili. Katika mambo yanayomuhusu Boss wake inabidi aepuke kutumia neno "NITAHAKIKISHA"

So far atakapokuwa waziri Kamili basi atajivinjari anavyotaka, japo na huko kuna mazingira yatakayomkumbusha kuwa yupo kwa niaba ya PM au Rais.

Wabobezi wa ethics, conduct and protocol mtakuwa mmenielewa.
Kwa Sasa atasamehewa haelewi ila msamaha una ukomo wake.

Haoni wenzie kwamba NW boss wake ni Waziri au Rais?

Huwa haoni ziara za VP,PM kokote kule lazima watambue nafasi ya mamlaka,fanya maamuzi lakini ujue wewe ni mtekeleza dhamana Kwa niaba ya Rais.

Utawasilisha salamu za Rais hata kama hajakwambia kawasilishe.
 
Upo sahihi kabisa, akiwa bungeni mara nyingi ni naibu waziri anayejibu kwa niaba, pia anapokuwa mwenyewe kuna mazingira yanayomuwezesha kuzungumza kama yeye kwaajili ya wizara. Lakini hoja yangu ni pale anapokuwa kwenye shughuli au hafla ambayo yupo pia waziri wake ni lazima UKUU WA BOSS WAKO uuonyeshe na sio kuubeba wewe . Ukifuatilia mwanzoni kabisa alipoteuliwa mara kadhaa walipokuwa kwenye shughuli halafu apewe nafasi ya kuongea alikuwa anajisahau na kuwa kama yeye sio naibu, nadhani hata waziri wake alilijua hilo ndio maana wanapokuwa kwenye hadhira moja waziri hakupenda kuzungumza sana.

So far kwasasa hivi Mwana FA amebadilika sana na anafanya vema kiitifaki
Mkuu uko sahihi sana shida ni kuwa waziri wake wa zamani alikuwa anapwaya majukumu na alikuwa sio maarufu kuliko NW Mh Mwinjuma...

Kwahyo wengi walkuwa wanayaamini Majibu ya MwanaFA kuliko walivyokuwa wanamwamini Majibu ya Waziri (ilikuwa Mchezo wa Kisiasa ulifanywa)..

Mkuu unakumbuka kipindi Juma aweso akiwa Naibu waziri na yeye alionekana Kama mwanaFA kwa sababu watu walikuwa hawaamini majibu ya Waziri wake ila walikuwa wanaamini Majibu ya NW ambaye alikuwa Ni Aweso so...Wakaona bora wamupgrade....

Ila kwa sasa mwanaFA kapelekewa Jembe Ambalo linaifahamu Tasnia na Linaaminika na Tasnia kwa muda mrefu nahisi atatulia sasa
 
NB:NW hata kwenye Baraza la Mawaziri Haingii wala kwenye mkutano wa Ushauri Kwa Mh Rais Haingii so ni kweli anatakiwa awe na Heshima kwa Waziri wake lakini ukiona waziri Haongei sana ujue majibu yake hayaamini kwa wananchi kuliko NW
 
Kama Mimi ningekuwa ni huyo Waziri wala nisingajali sababu najiamini na maisha yangu.

Siwezi kujiona duni kwa naibu wangu Eti sababu anatumia neno nitahakikisha!?!

Aseme tu kwa Uhuru kabisa hakuna tatizo maana kwa pamoja tunajenga nchi yetu.

Inferiority complex haina nafasi kwangu.
 
Mkuu uko sahihi sana shida ni kuwa waziri wake wa zamani alikuwa anapwaya majukumu na alikuwa sio maarufu kuliko NW Mh Mwinjuma...

Kwahyo wengi walkuwa wanayaamini Majibu ya MwanaFA kuliko walivyokuwa wanamwamini Majibu ya Waziri (ilikuwa Mchezo wa Kisiasa ulifanywa)..

Mkuu unakumbuka kipindi Juma aweso akiwa Naibu waziri na yeye alionekana Kama mwanaFA kwa sababu watu walikuwa hawaamini majibu ya Waziri wake ila walikuwa wanaamini Majibu ya NW ambaye alikuwa Ni Aweso so...Wakaona bora wamupgrade....

Ila kwa sasa mwanaFA kapelekewa Jembe Ambalo linaifahamu Tasnia na Linaaminika na Tasnia kwa muda mrefu nahisi atatulia sasa
Nimekuelewa. Kutokana na umaarufu wa Mwana FA na kuaminika kwake ndio sababu. Jina la Mwana FA ni kubwa sana nadhani hata huyo waziri Ndumbaro hawezi ku sound sana kama naibu wake.
Nadhani ifike wakati Mwana FA apewe uwaziri kamili. Tayari ameshaonyesha ana uwezo mkubwa tu
 
Japo hakuwa na elimu ya uongozi, ethics and codes of conduct ila atakaa sawa kutokana na seminars na uzoefu anaoendelea kupata.
 
Back
Top Bottom