Mwana FA: Kuendesha timu Kabla ya kukamilisha taratibu za kisheria za uwekezaji chanzo cha Mgogoro Simba

Mwana FA: Kuendesha timu Kabla ya kukamilisha taratibu za kisheria za uwekezaji chanzo cha Mgogoro Simba

Mangungu na huyo mjumbe hawana tofauti, katiba ya Simba haimpi Mangungu nguvu yoyote..
kwenye bodi sio kwenye Simba taasisi au Simba sport club company acha kuchanganya mambo, Mangungu ndio boss wa Simba , mlinzi wa mali za Simba, yeye ndio kiongozi mkuu kama huelewi kajifunze tena
 
Back
Top Bottom