ielewemitaa
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 10,764
- 9,477
mwenyekiti wa Simba ni Mangungu sio CPA , Mangungu ndio wa kusikilizwa kabla ya mtu yeyote kwa jambo linalo muhusu simbaNazungumzia cpa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mwenyekiti wa Simba ni Mangungu sio CPA , Mangungu ndio wa kusikilizwa kabla ya mtu yeyote kwa jambo linalo muhusu simbaNazungumzia cpa
Kama Mangungu angekuwa ndio mtu wa kusikilizwa hao wajumbe wamechaguliwa kwa kazi ganimwenyekiti wa Simba ni Mangungu sio CPA , Mangungu ndio wa kusikilizwa kabla ya mtu yeyote kwa jambo linalo muhusu simba
sasa unafananisha mjumbe na mwenyekiti wa timu? Mwenyekiti wa timu ndio cheo kikubwa kwenye klabu ya Simba, Mangungu akisema ndio taasisi ya Simba imesemaKama Mangungu angekuwa ndio mtu wa kusikilizwa hao wajumbe wamechaguliwa kwa kazi gani
Mangungu na huyo mjumbe hawana tofauti, katiba ya Simba haimpi Mangungu nguvu yoyote..sasa unafananisha mjumbe na mwenyekiti wa timu? Mwenyekiti wa timu ndio cheo kikubwa kwenye klabu ya Simba, Mangungu akisema ndio taasisi ya Simba imesema
kwenye bodi sio kwenye Simba taasisi au Simba sport club company acha kuchanganya mambo, Mangungu ndio boss wa Simba , mlinzi wa mali za Simba, yeye ndio kiongozi mkuu kama huelewi kajifunze tenaMangungu na huyo mjumbe hawana tofauti, katiba ya Simba haimpi Mangungu nguvu yoyote..