sasa unafananisha mjumbe na mwenyekiti wa timu? Mwenyekiti wa timu ndio cheo kikubwa kwenye klabu ya Simba, Mangungu akisema ndio taasisi ya Simba imesema
sasa unafananisha mjumbe na mwenyekiti wa timu? Mwenyekiti wa timu ndio cheo kikubwa kwenye klabu ya Simba, Mangungu akisema ndio taasisi ya Simba imesema
kwenye bodi sio kwenye Simba taasisi au Simba sport club company acha kuchanganya mambo, Mangungu ndio boss wa Simba , mlinzi wa mali za Simba, yeye ndio kiongozi mkuu kama huelewi kajifunze tena