Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaujua mziki Safi sana una sikio zuri sana aliyeweka mdundo kazinguaMashair mazuri Sana,
Video nzuri Sana,
Tatizo beat bovu sana
Kwenye video kaweka masigara sigara yake, imekua kama uchafu kwny videoKonde kamuangusha sana FA,ameimba km amelazimishwa..
Kabisa chief.Hata Sijui,
Ila beat Ni mbovu sana
Inatia hata uvivu kuiskiliza
Yule chinga ni mpuuzi sana, alivyovaa na mashairi + location ya video ni mbingu na ardhiKwenye video kaweka masigara sigara yake, imekua kama uchafu kwny video
Mashair mazuri Sana,
Video nzuri Sana,
Tatizo beat bovu sana
Hizo ndiyo punch line za kufananishwa na Jay Z 😆Hela si matako kwamba kila mtu anazo
Wanazingua sana, kumfananisha Jay Z na vitu vya ajabu ajabuHizo ndiyo punch line za kufananishwa na Jay Z 😆
Bado ni chawa mtiifu wa GSM kama ilivyo kwa Baba levo na Mondi!!!Huyu jamaa kashaacha uchawa kwa yule jamaa wa gsm!?
Itakua P Funk MajaniNi prodyucer yupi aliyewagongea beat mkuu?
Beat mbayaaaaMashair mazuri Sana,
Video nzuri Sana,
Tatizo beat bovu sana
P funk haezi tengeneza upuuzi kama uleItakua P Funk Majani
Gachi B hamna kituBeat ni Gachi B.
Beat haisikiki vizuriP funk haezi tengeneza upuuz kama ule
Mahusiano yao ni ya kibiashara nasikia mwana fa ni mmoja wa waasisi wa silent oceanHuyu jamaa kashaacha uchawa kwa yule jamaa wa gsm!?